wachezaji na wasanii wana ushawishi mkubwa kwa jamii sioni tatizo la jamaa tatizo la watanzania ujuaji mwingi mnakosoa hata furaha ya mtu kuna watu walizimia kumuona michael jackson tena ngozi nyeupe
pele na maradona vipi ushawishi wao achilia mbali ronaldo na mess
Sawa kabisa Mkuu.