Rooney kweli kawamaliza, duh!

Rooney kweli kawamaliza, duh!

wachezaji na wasanii wana ushawishi mkubwa kwa jamii sioni tatizo la jamaa tatizo la watanzania ujuaji mwingi mnakosoa hata furaha ya mtu kuna watu walizimia kumuona michael jackson tena ngozi nyeupe

pele na maradona vipi ushawishi wao achilia mbali ronaldo na mess


Sawa kabisa Mkuu.
 
Nasubiri 100Khalifa aje Bongo, dadeki lazima nimkumbatie na nimuombe nimwoneshe shoo ya kibabe


sent from my Samsung smart tv using JamiiForums
mkuu yule atabaki carlfonia tuuu sidhani kama atatoka nje ya hapo ila akija usisahau kuleta uzi hapa

sent from my SM-galaxy s8+ using jamiiforums mobile app
 
Lkn tofauti ni wao kwa wao, huyo Rooney siyo wetu hivyo ni ajabu kwa mtu ambaye hata hajui kuandika Everton achilia mbali hata kujua ilipo kwenye ramani kumpapatikia Muzungu namna hiyo!

Mapenzi hayana mipaka ndio maana hata wazungu na waafrika huingiliana na kuzaa.
 
Mwenzenu alivyotoka hapo hakuoga...

Sasa hivi kitaani kwake anamtoza kila mtu buku buku kwa kila anayehitaji kumkumbatia maana bado ana ile harufu ya Rooney...

Hahahahahahaa upooo?
Uwe na wakati mwema.
 
Kama wewe ni shabiki wa soka na unamshangaa jamaa ujue kabisa wewe ni shabiki uchwara. Mimi mwenyewe ningekuwa karibu ningembeba Wayne Rooney begani...

Nangoja siku Chelsea ikija Bongo nitatembea kutoka huku niliko hadi Dar kwa mguu na nitawahug wachezaji wote, Antonio Konte hadi bench zima la ufundi, hao policcm wanaojifanya kuingilia furaha za watu ndo mtashuhudia ninavyowavuruga kwa kichapo.

Binafsi Chelsea ni miongoni mwa vitu vichache vinavyonipa furaha hapa chini ya jua. So simshangai mshikaji na mapenz yake kwa Man Utd& Wayne Rooney in general...

Sent from my Nokia-toch using JamiiForums mobile app
 
Mnashangaa nin wakat diamond kwny show zake watu mnalia hadi kulia

Sent from my HUAWEI LUA-U22 using JamiiForums mobile app
 
Acha wivu, wewe shule imekusaidia nn kama huwezi somo dogo kama hili, "hobbies"!

Sent from my SM-N9005 using JamiiForums mobile app


Ukute hata kibarua hana na shule ilimshinda
 
Mwanaume wa Kitanzania akijisalimisha kwa Muzungu!

DEooDUQV0AADaMm.jpg
Inamsaidia nini? Huyu akiambiwa fanya.................... atakubali kwa huyo mzungu, rubbish!
 
Hata sijui yupi pande ipi siku hizi...sijamuona kitambo.

Haya maadam ni binadamu basi iko siku mtakuwa na tuu, ambayo haikutani ni milima.

Wakati mwema hapo ulipo.
 
Back
Top Bottom