Rooney kweli kawamaliza, duh!

Rooney kweli kawamaliza, duh!

Watu bhaana! Kitu akifanya mzungu wanafurahia, ila kwa kuwa ni mbongo povu linawatoka.
Vitu vya kawaida tu, kumbukeni wakati Beckham yuko kwenye viwango vya juu, alikuwa akienda kutembea nchi za wazungu wenzake, Chumba cha hotel alofikia ilikuwa ikipanda hata mara mbili yake. Waliopenda kupiga naye picha ndiyo usiseme.

Sent from my Infinix HOT 3 using JamiiForums mobile app
 
Mwanaume wa Kitanzania akijisalimisha kwa Muzungu!

DEooDUQV0AADaMm.jpg
Huyu mshkaji sio punga kweli cheki alivyojiachia kukumbatiwa na BuguROONEY

sent from my Samsung smart tv using JamiiForums
 
Tabia za kishoga hizo.dume zima unalilia kumkumbatia mzungu.upumbavu huu
 
Tabia za kishoga hizo.dume zima unalilia kumkumbatia mzungu.upumbavu huu
 
Back
Top Bottom