Rooney kweli kawamaliza, duh!

Rooney kweli kawamaliza, duh!

Embu achen wivu jamaa
Analikua anatimiza furaha
Ya moyo wake

[Color= yellow]Triple A[/color]
 
Yaani wabongo jamani mbona wazungu wanafanya sana hayo ni. Mapenzi kwa huyo mchezaji mbona nyie mnakimbilia ma star wenu uchwara mkiwaona wanaotoa mipasho mitandaoni
 
Yaani wabongo jamani mbona wazungu wanafanya sana hayo ni. Mapenzi kwa huyo mchezaji mbona nyie mnakimbilia ma star wenu uchwara mkiwaona wanaotoa mipasho mitandaoni

Dangote ashuke airport
Sasa utaona wote wanamkumbatia

[Color= yellow]Triple A[/color]
 
Ni mapenzi tu ya kishabiki hakuna tatizo hapo! Jamaa ni mjasiri na amefanya kile kitu alichotamani kufanya. Mnamponda tu lkn ndo hivyo kashatimiza ndoto zake
 
Je huyu alieingia uwanjani akamuabudu messi kama mungu kwa sababu ya ushabiki ingekua huyu jamaa aliemfata rooney kafanya hvyo simngeongea mwaka mzima
520b3ae543c915a6125dfcbca7c242ff.jpg


sent from My GooglePixel using JamiiForums mobile app
Hii ingetokea Tanzania aisee sipati picha!!

Mleta mada na baadhi ya wachangiaji ni vichwa maji kwelikweli,Jambo kama hulijui omba upewe darsa la bure!!
 
Hametimiza ndoto yake..

Sent from my TECNO_W4 using JamiiForums mobile app
 
Kila mtu ana haki ya kufanya chochote ila asivunje sheria.

Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
Ni kweli. Hata ni mimi kama ni shabiki wa mtu flani nitatamani siku moja nimuone live au hata nimguse mkono. Kiubinadamu ipo hivyo..na jamaa ametimiza lengo lake amefarijika!
 
Back
Top Bottom