Rooney kweli kawamaliza, duh!

Rooney kweli kawamaliza, duh!

Kwa shabiki wa kandanda hili si lakushangaza sana.

Upenzi uliopitiliza na mihemuko hufanya shabiki kupagawa vilivyo japo si kwa shabiki wote.

Watu wasiofatilia kabumbu hili tukio Ndio wataliona la ajabu lakini si la ajabu kwa wapenda kandanda!

Hebu muangalie shabiki huyu alijyejitosa uwanjani kupiga selfie na Neymar Jr.
View attachment 542011

Kwa hiyo matukio kama haya yapo katika viwanja!!
Me mwenyewe shibiki! kilichonitisha kushikwa kiuno tuuu..
 
afu ww mtoto unapenda sana ngono.
Manake umekomaa sana na kushikwa kiuno mara umnyime mmeo papuchi wakati mme mwenyewe huna na hutakuwa nae leo wala kesho.
Yani wewe leo sijui umeamkaje. Au zimejaa?


[Color= yellow]Triple A[/color]
 
Mwanamme wa mkoani huyu lazma,! halafu ukute kikwapa kinatemaaa si mnajua jinsi wanaume wa mikoani wanavokuwa hawajui kuweka manukato basi mmmh! Rooney mbona alikoma!
 
kuwa na kibend ndo kinachofanya
Upge show za,wazwaz kabsa
Kuonesha umeshamchoka eeh


Cc inna ulitoka,wap na huyu
Fatak

[Color= yellow]Triple A[/color]
Wewe jamaa pambe kweli.
Wapi ambapo nimepiga show za nje wazi wazi?
Inna ni mke wangu.
Mbona unachombeza chombeza maneno yako aisee ili niachwe?
Usiwe kama daby sasa hivi kakamatea na wolper. Ila jina lake limekuwa sasa hivi kama famous daby
 
Kuna wanafunzi wa havard wamefanya fujo juzi kuwaona na kuomba saini ya wachezaji wa Madrid juzi huko USA

Nguvu ya Mpira marais wenu wastaafu na viongozi walienda taifa

Calm down kijana


Ukute hata kibarua hana na shule ilimshinda
 
Huu uzi umejaa watu wenye stress za maisha kama mimi huku watu wana ponda...

Angekuwa kafanya mzungu ingekuwa ni ishu ya kawaida....

Huyo jamaa ndoto yake imetimia aliyo kuwa nayo ya kum hug star kama wyne..

Mtu kushikwa kiuno ni kawaida akili unazihamishia kitandani, watu wanatembea na akili za usiku....
 
Dume zima kushikwa kiuno na dume mwenzio......
Ni kweli mkuu huyo jamaa ni mkubwa mno kitendo cha kukumbatiwa vile haileti picha poa ila ingekuwa kwa mtoto mdogo picha ingenoga sana..!!

Sent from my TECNO-Y4 using JamiiForums mobile app
 
Aseee

Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
 
Ushabiki Wa kijinga kama ni Mme wangu nampa likizo ya miezi mitatu .
wanawake kwa hz comment siez kuwashangaa
hvi vitu kwenye mpira viko kila mahar dunian
hapa mm namsubiria hazard na c ronaldo

Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
 
Kwahiyo kama wazungu wanafanya na sisi tufanye????
sport mbona daimond kuna watu kibao wanampapatikia wengne walikua wanaenda kupiga nae pic sijui alivobeba tuzo
michael jackson watu walikua hadi wanazimia
dinho hayo mambo keshazoea
imagine kwa mtu ambae umekua ukiamin hutokuja kumuona ghafla yuko mbele yako

kila mtu ana furaha yake msipamgiane

Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
 
Lkn tofauti ni wao kwa wao, huyo Rooney siyo wetu hivyo ni ajabu kwa mtu ambaye hata hajui kuandika Everton achilia mbali hata kujua ilipo kwenye ramani kumpapatikia Muzungu namna hiyo!
dinho mbrazil mashabiki wa korea wanaingia uwanjan kumkumbatia hio ndo sport

Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
 
Mwanaume wa Kitanzania akijisalimisha kwa Muzungu!
Aibu iliyoje! tena vijana wa Dar! Katudhalilisha mno huyu, ngoja nimuite @DR Kigwangala amshughulikie huyu fala! Sio kawaida aise! Angekuwa Wema au Mange sawa, ila mwanaume mwenzetu tena wa Dar?! Blasphemy kwa wanaume...😕🙁😡
 
wanawake kwa hz comment siez kuwashangaa
hvi vitu kwenye mpira viko kila mahar dunian
hapa mm namsubiria hazard na c ronaldo

Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
Ozil, bale,benzema,
wakitua hebu unishtue
Aiseee

[Color= yellow]Triple A[/color]
 
Back
Top Bottom