Rooney kweli kawamaliza, duh!

Rooney kweli kawamaliza, duh!

Kuna mswahili hapo pembeni..huyo captain wa Swansea wa zamani naona kamind kinyama..!!
 
Wee angalia vizuri Huyo mtanzania alivyokamatiwa kiuno.
Kwa shabiki wa kandanda hili si lakushangaza sana.

Upenzi uliopitiliza na mihemuko hufanya shabiki kupagawa vilivyo japo si kwa shabiki wote.

Watu wasiofatilia kabumbu hili tukio Ndio wataliona la ajabu lakini si la ajabu kwa wapenda kandanda!

Hebu muangalie shabiki huyu alijyejitosa uwanjani kupiga selfie na Neymar Jr.
1500030092447.jpg


Kwa hiyo matukio kama haya yapo katika viwanja!!
 
Huo ni kama ujinga flani hivi mtu mwenye akili timamu huwezi fanya ujinga kama huo kwa sabab unapoenda kumkumbatia mwanaume mwenzio unapata faida gani its better bora angekua demu tungesema either kamzimia out of work

Sent from my Halotel H8401 using JamiiForums mobile app
 
Halafu nyie wanawake mbona mnaendaga jukwaani kukumbatia akina diamond, tena unakuta mtu yupo na bwana yake kabisa anamuacha anakimbia jukwaani kumkumbatia diamond.
 
Mwanaume wa Kitanzania akijisalimisha kwa Muzungu!

DEooDUQV0AADaMm.jpg
Jamaa utaishia kupasuliwa na wabongo,ulitamani kuwa na Rooney ila ndo basi

Sent from my Siemens A-35 using JamiiForums mobile app
 
Halafu hii ziara ya hii timu imewauma sana wana lumumba sijui tatizo nini hasa

Sent from my Siemens A-35 using JamiiForums mobile app
 
Yaani watu wamekaa kingonongono tu. What's wrong with you people?
 
afu ww mtoto unapenda sana ngono.
Manake umekomaa sana na kushikwa kiuno mara umnyime mmeo papuchi wakati mme mwenyewe huna na hutakuwa nae leo wala kesho.
Yani wewe leo sijui umeamkaje. Au zimejaa?
Kwani vip?kuna tatizo?
 
Back
Top Bottom