Tai Ngwilizi
JF-Expert Member
- Apr 20, 2010
- 781
- 211
Watu wamebaki kupiga ramli sasa, no pools no predictions no maths nor whatever.....
Believe me there are exceptions to the rule. Ni kweli Obama being an incumbent - a popular one for that matter - ana nafasi kubwa sana ya kushinda. Lakini factors nyingi ambazo zimetokea hapa katikati zimefanya ushindi wake kutokuwa kirahisi. Nadhani the so called "conventional wisdom" haitaapply hapa na watu watajaribu kuelezea kwanini Obama amekataliwa.
Kinachotisha ni kuwa maelezo mengi yatakuja na suala la "race"...
Kama uchaguzi hautakuwa na drama za 2000 baso Mitt Romney atashinda urais jwa kati ya 52% ya electoral votes. Obama hata hivyo anaweza kushinda popular votes. Kwa kufuatilia hizi siasa Romney atashinda VA, WI na OH pamoja na FL nai have strong feelings kuwa atachukua PA.
That's my guess work
Mwanakijiji,
Nadhani ingekuwa vyema ukajikita kwenye uchambuzi wa siasa za Tanzania; kwani, utabiri wako wa hapo juu umekuwa biased sana. Unasema Romney OH? Campaign ya Romney iko kwenye desperation mode, kila anavyopiga mahesabu hapati kura 270 na ndio maana hata leo siku ya kupiga kura amerudi Ohio ku-campaign. Jana niliwasikiliza maconservative wote Rush Limbaugh, Glen Beck, Hugh Hewitt na Dennis Prager, na kitu kikubwa nilichokiona (underlying theme) ni kuwa wanaona ya kuwa this thing is slipping away. Hata move ya Romney kwenda PA, ilikuwa ni ya kijinga.
Romney kama hasingetafuta credibility kwa maconservative na kuandika article yenye title ya kijinga kwenye New York Times aliyoipa jina la " Let Detroit Go Bankrupt" angeshinda Ohio na Michigan na kushinda uchaguzi! Trust me kama akishindwa leo basi hiyo article ndiyo itakuwa imemmaliza.
Kwa mtazamo wangu, scenario ya Romney kushinda ni moja tu - pale ambapo kila mmoja atakosa enough electoral votes na hivyo kupelekea mpira kupelekwa bungeni kupigiwa kura; Bunge la sasa lina republicans wengi zaifi hivyo Romney atapita under that scenario, vinginevyo ushindi wa Obama kwa point chache za electoral votes ni more feasible; Obama anahitaji Ohio, Wisconsin na Nevada, akizipata hizi, romney hawezi fikisha 270 kwani as of now Obama ana uhakika wa like 230 electoral votes na hii ni namba ya chini sana kwani predictions nyingi zinampa Obama more points; All in all, possibilities za Obama Ohio na Nevada ni kubwa sana, tuombee apate Wisconsin pia;
You are missing the point kuhusu Ohio; Ohio kama other Midwestern states zimepigwa sana na recession na ndizo ambazo kwa kweli zilimpa ushindi Obama 2008. Maisha ya wengi hawa hayajabadilika; ile njozi ya 'hope' and 'change' ilipotea kama wingu lisilo na mvua. Sasa japo mwanzoni OH ilikuwa ni ya Obama lakini kwa kadiri kampeni zilivyooenda watu ambao walikuwa hawajaamua watampigia nani wakaamua kuanza kumuangalia tena Romney. His 'five point plan' imewagusa wengi sana hasa wafanyakazi wa kawaida ambao sidhani kama wanataka miaka minne mingine ya majaribio ya sera za kiliberali.
Matokeo yake OH imekuwa ni battleground kwa sababu yoyote atakayeshinda atashinda kwa asilimia ndogo na ndio sababu Romney hajaamua kuiachia tu.
So what?labda obama atafikiria africa mara hiii ya pili maana ya kwanza...anajua
So what?Safari hii obama akishinda lazima aje kenya na kunauwezekano wa kushuka na hapa tz,tumuombeen ashinda me na mkubali sana mungu mmbarik ashinde na lema ashinde,hiyo tarehe 8
Mchambuzi mark my words; this ends here tonight.. hakuna kutokujulikana mshindi. Baada ya OH kuanguka na PA kuanguka Obama will deliver his concession speech late tonight maana hakutakuwa na ujanja. The American people bwana they are predictable but also very precise. Nilikuwa nafikiria kuna uwezekano wa kudrag huu uchaguzi but I don't see it; the big upsets zitawashtua wengi ambao wamekuwa wakiamini uliberarli una mvuto. But for now ni uhafidhina ndio ambao unaonekana kuhitajika zaidi sasa hivi.
Huyu Mzee Mwanakijiji bhana, naona hapa anatania. Unemployment rate ya Ohio ni the lowest in the nation!.Hivi unemployment rate ya Ohio ni kiasi gani?
Chei chei mwanawane, long time no see!.hope mmepiga kura na nyie jamani...!! Go Barack!!!
Chei chei mwanawane, long time no see!.
Romney atashinda OH ,VA,WN CO,Huku watu wamemchoka ObAMA amepewa miaka 4 ameshindwa we need a real change ,its Romney now