Romney kushinda kesho...

Status
Not open for further replies.
ABC: Its all over......Jaluo 275 electoral college votes so far!

Source: Wavuti
 
Nimekubali Kushindwa.............dahhh
Mkuu umechukuwa muda sana.BTW CNN wamesha project kuwa Obama kashinda uchaguzi wa 2012,na party kidogo kisha naenda kulala,poleni sana na mtabiri wako Mwankijiji,nadhani atakuwa dissapointed sana.Sijui hii thread atachangia tena ama vipi?Poleni sana manazi wa wabaguzi(no pun)
 
Reactions: BAK
 
Last edited by a moderator:
Wapi MM na Ogah, 275EV as we speak, vp tunaendelea?
 
miye bado sijaweka manyanga chini.. kwani hapa Michigan amepewa Obama... lakini kura ndio zinazidi kupigwa ngoja waiondoe ila kama FL inaenda kwa Obama.. well mjaluo anarudi
 

Huu si uchaguzi kama wa Afrika ambapo mshindi anajulikana mapema
 
Game over!!!!Kumbe maskini ngoma ya kitoto....,.
 
Ukweli husemwa:


MMK, that was zero prediction. No more tea party.

Yes we can part 2
 
miye bado sijaweka manyanga chini.. kwani hapa Michigan amepewa Obama... lakini kura ndio zinazidi kupigwa ngoja waiondoe ila kama FL inaenda kwa Obama.. well mjaluo anarudi
Duh!Michigan tena?Ha ha ha!Duuh!Goodnight anyaways maana naona siyo kwamba sintokuelewa,bali hatuta elewana,btw unatizama fix?Daah!
 

Usheikh Yahya hukugraduate.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…