Kinjekitile Jr
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 414
- 1,139
Wasalaam Wakuu.............!!!
Moja kati ya mambo ambayo uwa naumia sana kuyaona kwenye hii nchi ni kuwaona watu wasio staili kukalia nafasi za wale wanao staili
Ukienda Bungeni kuna watu mpaka unashangaa mwenyewe,alitumia mbinu gani mpaka akaupata ubunge? Mtu Kama Babu Tale,Mwana FA,Michael Kembaki (Tarime Mjini),Japhary Chege(Rorya),Stanslaus Mabula (Nyamagana),Eric Shigongo,Mrisho Gambo,Abbas Tarimba,Geoffrey Pinda etc..........inshort 85% ya wabunge hawastaili kuingia bungeni
Mtu Kama Roma Mkatoliki anafaa sana Kiongozi............Kaanza harakati kitambo sana toka anasoma advanced na bado mpaka sasa anaziishi mambo zake,yupo vizuri kwenye kujielezea,Ana uzalendo wa hali ya juu kuliko watz wengi,amezaliwa kwenye harakati,akaishi kwenye harakati na kusimamia ukweli,akatakiwa afe kwa kusimamia ukweli na bado anaishi kwa kusimamia ukweli........jamaa uwa habadili msimamo kama angekuwa hivyo basi leo hii angesha achana na mambo ya kusema ukweli na yeye pia akawa chawa kama wasanii wengine..........Alikuwa mwiba sana wakati wa Jakaya kuliko ata CHADEMA yenyewe ila jiwe alimuogopa sana ikambidi amsigine
Nay WA Mitego;Huyu jamaa bwana anastaili sana kuingia bungeni,asisubiri siku zikatike ndio agombee,2025 achukue form Nina hakika atashinda kwani vijana wengi wanamkubali na harakati zake kwenye jamii zinaonekana............alianza kusimama kwa ajili ya ukweli toka Enzi za JK akaja Pombe na mpaka sasa SSH bado haogopi,anaendelea kuuelimisha umma kupitia muziki ila kwa sasa anapaswa akawe Rais wa kitaa pale Bungeni
Watu mlio karibu na hawa Mabwana ninawaomba muwafikishie hizi Salam,nchi inawahitaji kuliko ambavyo wao wanaihitaji nchi hii
Mjomba paschal Mayalla na wewe tafuta jimbo ila shida ushaanza kuwa chawa sana
Moja kati ya mambo ambayo uwa naumia sana kuyaona kwenye hii nchi ni kuwaona watu wasio staili kukalia nafasi za wale wanao staili
Ukienda Bungeni kuna watu mpaka unashangaa mwenyewe,alitumia mbinu gani mpaka akaupata ubunge? Mtu Kama Babu Tale,Mwana FA,Michael Kembaki (Tarime Mjini),Japhary Chege(Rorya),Stanslaus Mabula (Nyamagana),Eric Shigongo,Mrisho Gambo,Abbas Tarimba,Geoffrey Pinda etc..........inshort 85% ya wabunge hawastaili kuingia bungeni
Mtu Kama Roma Mkatoliki anafaa sana Kiongozi............Kaanza harakati kitambo sana toka anasoma advanced na bado mpaka sasa anaziishi mambo zake,yupo vizuri kwenye kujielezea,Ana uzalendo wa hali ya juu kuliko watz wengi,amezaliwa kwenye harakati,akaishi kwenye harakati na kusimamia ukweli,akatakiwa afe kwa kusimamia ukweli na bado anaishi kwa kusimamia ukweli........jamaa uwa habadili msimamo kama angekuwa hivyo basi leo hii angesha achana na mambo ya kusema ukweli na yeye pia akawa chawa kama wasanii wengine..........Alikuwa mwiba sana wakati wa Jakaya kuliko ata CHADEMA yenyewe ila jiwe alimuogopa sana ikambidi amsigine
Nay WA Mitego;Huyu jamaa bwana anastaili sana kuingia bungeni,asisubiri siku zikatike ndio agombee,2025 achukue form Nina hakika atashinda kwani vijana wengi wanamkubali na harakati zake kwenye jamii zinaonekana............alianza kusimama kwa ajili ya ukweli toka Enzi za JK akaja Pombe na mpaka sasa SSH bado haogopi,anaendelea kuuelimisha umma kupitia muziki ila kwa sasa anapaswa akawe Rais wa kitaa pale Bungeni
Watu mlio karibu na hawa Mabwana ninawaomba muwafikishie hizi Salam,nchi inawahitaji kuliko ambavyo wao wanaihitaji nchi hii
Mjomba paschal Mayalla na wewe tafuta jimbo ila shida ushaanza kuwa chawa sana