hermanthegreat
JF-Expert Member
- Mar 2, 2021
- 853
- 2,037
Habari Wanajf ,
Roma kwenye account yake ya Twitter ameandika haya kuhusu nay wa mitego. Kukanusha kwamba amemsaidia nay wa mitego baadhi ya mistari kwenye wimbo wake wa "amkeni*
"#YAH: SIHUSIKI KWENYE HILI.
Kwenu @BasataTanzania Husika Na Kichwa Cha Habari Hapo Juu, Huyu Kijana NAY Ni Muongo Sana, Mimi Sijamtumia Kitu Chochote Wala Sijahusika Kwenye Wimbo Wake Huo, Kwanza Hata Namba Yake Ya Simu Sina, Ananisingizia Na Sijapenda!! Mimi Ni Kijana Muadilifu Sana NA MNALIJUA HILO @BasataTanzania
Naipenda Sana Nchi Yangu, Zidumu Fikra Za Mwenyekiti Na Kazi Iendelee……!!
#NB Akija Hiyo Jumatatu, Malizaneni Naye PekeYake, Mimi Nina Familia Na Watoto Wananitegemea Kupitia Mziki, Sitaki HekaHeka!!"
Kwanza Mimi Urafiki Na Mtu FreeMason Wapi Na Wapi? @BasataTanzania Hata Nyie Hamuoni!!?""
Karibu kwa maoniu
Roma kwenye account yake ya Twitter ameandika haya kuhusu nay wa mitego. Kukanusha kwamba amemsaidia nay wa mitego baadhi ya mistari kwenye wimbo wake wa "amkeni*
"#YAH: SIHUSIKI KWENYE HILI.
Kwenu @BasataTanzania Husika Na Kichwa Cha Habari Hapo Juu, Huyu Kijana NAY Ni Muongo Sana, Mimi Sijamtumia Kitu Chochote Wala Sijahusika Kwenye Wimbo Wake Huo, Kwanza Hata Namba Yake Ya Simu Sina, Ananisingizia Na Sijapenda!! Mimi Ni Kijana Muadilifu Sana NA MNALIJUA HILO @BasataTanzania
Naipenda Sana Nchi Yangu, Zidumu Fikra Za Mwenyekiti Na Kazi Iendelee……!!
#NB Akija Hiyo Jumatatu, Malizaneni Naye PekeYake, Mimi Nina Familia Na Watoto Wananitegemea Kupitia Mziki, Sitaki HekaHeka!!"
Kwanza Mimi Urafiki Na Mtu FreeMason Wapi Na Wapi? @BasataTanzania Hata Nyie Hamuoni!!?""
Karibu kwa maoniu