Role Model wako ni nani ndani ya Jf?

Role Model wako ni nani ndani ya Jf?

Role Model: a person whose serves as ana example, whose behaviour is emulated by others.

Wh having a Role Model:
By having a role model, we can see how others live their lives and learn from their mistakes and success. Rather than having to grope arround in the dark, we have a roadmap put in front of us.

kwani ni lazima? Hizo ni dalili za kuiga iga..tuna copy na kupaste tabia za watu.
soma hiyo post hapo juu.
nimeisoma. But bado sioni ulazima wa kunifanya niwe naigaiga ID ya mtu.
 
Mkuu tatizo lao unapenda kila kitu kiende kwa style yako lol. Waache watu na thread zao, mtu kajiskia tu .

Ajabu sijakuona kwenye jukwaa la man united jumapili, au wewe unatuandama sisi tu?

Kaka sjazuia uzi,matter of fact, nimeupaisha kwa kuchukua muda wangu adhimu na adimu kutoa yangu mawili matatu.

Btw, mambo ya mpira sku izi sina speedy broadband mwana, ni mwendo wa kujilundika baa
 
am a self-made everything..role model, superstar, stupidazz, etc...sidhani kama nahitaji "kutazamia" maisha au life style ya any "role-model" ili niishi...role model ma-azz... ni maoni tuu wadau
 
Wangu Ashadii nampenda sana huyu dada, she knows what she is writting na si kukurupuka tu! Ashadii am ur secret admirer
 
Mkuu tatizo lao unapenda kila kitu kiende kwa style yako lol. Waache watu na thread zao, mtu kajiskia tu .

Ajabu sijakuona kwenye jukwaa la man united jumapili, au wewe unatuandama sisi tu?

umeona eh , ndio maana wakikutana na member flani humu Njiwa huwa haziendani kabisa ..
 
Back
Top Bottom