Roho inaniuma balaa, nimekumbuka hela zangu DECI

Roho inaniuma balaa, nimekumbuka hela zangu DECI

Washkaj tabia gani hii ya kukumbushana vilio vilivyokwishaanza kusahaulika!
 
Sina haja ya kukupa pole.Hiyo ni sawa sawa kukipigia chama fulani kura ya Urais wakati unajua hakita shinda

Haina shida mkuu Wingu , hata ukinipa pole yako haitasaidia kurudisha pesa yangu aisee
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Pole sana Baba v
NB gambling is not covered under insuarance
Nilipanga mbegu DECI kama milioni nne hivi,kufikia leo sijui ningevuna ngapi jamaani, dah si bora ningeweka heshima TBL nikachangia pato la taifa, roho inauma
 
ndugu yangu Wajad na wewe ni muhanga mwenzangu nini!????

Aaaagh, wee acha tu kaka! Iiiiiiiii iiiiii pe pe es a za- nguuu iiiii (na usinibembeleze umeyakumbusha mwenyewe)
 
Last edited by a moderator:
Nilipanga mbegu DECI kama milioni nne hivi,kufikia leo sijui ningevuna ngapi jamaani, dah si bora ningeweka heshima TBL nikachangia pato la taifa, roho inauma

Kama ungekuwa ni mkopo basi naamini kabisa ungepata pressure, pole sana Baba V
 
Last edited by a moderator:
nilikuwa nabembelezwa sana na dada mmoja ambaye kwanza alikuwa senior kwangu sana tuuu halafu muumini mwenye itikadi kali ya dini ya fulani ambapo tayari yeye alishavunaga, i was impressed lakini limoyo likawa linagoma.... mweeeeeeee
kumbe wakati mwingine bora kufuata ile sauti ya ndani eeeeeeeenh

Pole Baba V
 
Last edited by a moderator:
Nilipanga mbegu DECI kama milioni nne hivi,kufikia leo sijui ningevuna ngapi jamaani, dah si bora ningeweka heshima TBL nikachangia pato la taifa, roho inauma

Hivi hizo hela nani kazila? Si jamaa walifikishwa mahakamani?
 
Arifu kumbe na wewe ni Lofa ee?

Anyway, Pole sana. Milioni nne kwa wakati ule ungepata viwanja kadhaa maeneo mazuri tu, leo hii ungeviuza hata x3 ya bei uliyonunulia. Kama kweli ulitaka kuotesha pesa...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom