Roho inaniuma balaa, nimekumbuka hela zangu DECI

Roho inaniuma balaa, nimekumbuka hela zangu DECI

Pole sana Mkuu. Nilikoswakoswa sana kuingizwa mkenge. Mshkaji alinishawishi sana lakini roho haikukubali. Nae kila aliniona anakumbuka na kuumwa na roho kama wewe!
 
aisee babaangu hapo wamenila kweli, ila bado nina kaimani kidogo

aiseeeeee babaangu baba v una kaimani gani tena baada ya kuwalaani wate hao alio lamba 4m zako lani nawasiwasi mbegu zako zilikuwa hazina nguvu
 
aisee babaangu hapo wamenila kweli, ila bado nina kaimani kidogo

Teh teh teh imani ya kwamba DECI watafufuka ghafla........!
Wale wa madecoder ya tv hawakukunywa.....! Walikuja ghafla nao wakatokomea wakiwaacha watu na madish yao ya tv na decoder .................!
 
Hahaha Madame B mie napanda mbegu za kiukweli wewe si unazijua halafu mie sina sabuni bhana................!:becky::becky::becky::becky:

Sitaki uchonganishi,hzo mbegu nazijulia wapi mie vrgn girl?
Unituwee
 
Baba v pole sana then tafuta ml 4 zingine leta kwetu "ABUNUWAS FUND GROWERS"
Kwetu hakuna mashaka itazaa tu!
Watiaji mimba wetu tumewatrain German, Chaina, United States na S.Africa.
Warmly welcome.
 
Teh teh teh imani ya kwamba DECI watafufuka ghafla........!
Wale wa madecoder ya tv hawakukunywa.....! Walikuja ghafla nao wakatokomea wakiwaacha watu na madish yao ya tv na decoder .................!

Huko kwenye madecorder hawakunipata, mie mshamba sana kwenye mambo ya dijitali
 
Sitaki uchonganishi,hzo mbegu nazijulia wapi mie vrgn girl?
Unituwee

Ingekuwa siyo kweli basi hata hizo mbegu usingejua zikoje na zinapandwa wapi................!!:becky::becky::becky::becky:
 
Baba v pole sana then tafuta ml 4 zingine leta kwetu "ABUNUWAS FUND GROWERS"
Kwetu hakuna mashaka itazaa tu!
Watiaji mimba wetu tumewatrain German, Chaina, United States na S.Africa.
Warmly welcome.

Hamniibii tena, kwa sasa hata ninapoweka pesa benki huwa najistukia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom