Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 29,858
- 31,885
Ingekuwa siyo kweli basi hata hizo mbegu usingejua zikoje na zinapandwa wapi................!!:becky::becky::becky::becky:
Sizijui na ndo mana naziuliza.
Bado uko pale Kinondoni nije?
Ingekuwa siyo kweli basi hata hizo mbegu usingejua zikoje na zinapandwa wapi................!!:becky::becky::becky::becky:
Huko kwenye madecorder hawakunipata, mie mshamba sana kwenye mambo ya dijitali
Sizijui na ndo mana naziuliza.
Bado uko pale Kinondoni nije?
Nilipanga mbegu DECI kama milioni nne hivi,kufikia leo sijui ningevuna ngapi jamaani, dah si bora ningeweka heshima TBL nikachangia pato la taifa, roho inauma
Baba v pole sana then tafuta ml 4 zingine leta kwetu "ABUNUWAS FUND GROWERS"
Kwetu hakuna mashaka itazaa tu!
Watiaji mimba wetu tumewatrain German, Chaina, United States na S.Africa.
Warmly welcome.
Unawakumbuka walikuwa Wanaitwaje vile kama ma -GLOBAL TV vile duh waliacha watu wamening'iniza midish na juu ya mapaa ya nyumba zao .....wakafunga ofisi wakatokomea zao...........!:becky::becky::becky::becky:
Wawe na imani kama mimi, hao jamaa watarudi tu siku moja, watunze vizuri hizo decorder
Si walisema kesi iko mahahakamani, subirini mtarudishiwa mbegu zenu? Au walikuwa wanawaingiza tu mjini?
mbona kwenye kesi huonekani mkuu!Yaani nikikumbuka, ila basi tu we can't turn back the hands of time