UDA ilibaki Mnazi mmoja feri.Siamini kufilisika kwa uda, itakuwa usanii tupu, kampuni ilikuwa inaendeshwa kwa faida kubwa, walifanya kusudi kuhujumu kampuni zote na kukamata barabara zote muhimu za jiji, hawa ni wakwepa kodi tu hakuna zaidi
Juzi Kusenha. anayesemekana ndiye mmiliki waaa UDA, amesema wamewekeza Zaidi ya bilioni 90!Wana JF,
Tayari baada ya simtomfahamu ya siku nyingi kati ya UDA na serikali, sasa uDA imefilisika rasmi, wananchi kwa ujumla tumefurahi kwani zilikuwa hazina msaada wowote richa ya kuwa sehemu ilidhaniwa kuwa ni mali ya serikali kumbe tushapigwa changa la macho na watu kujichukulia kwa fedha kiduchu, baada ya hapo wakaanziasha ruti fupi fupi kudhurumu watu, ndipo mkono wa Mungu ukaingilia kati na UDA kufilisika.
Hata hivyo ni janja ya kukwepa kodi, inabidi walipe tu wakishindwa wakauziwe nyumba zao.
Yaani hukumu ya jamaa aliyefuga fisi wenye thamani ya shs 4.8 million (uwezekano mkubwa wameachiwa na kurudi porini) ni kubwa mno (miaka 10) kuliko ya hawa jamaa wawili ambao wamefungwa miaka mitatu kwa kusababishia serikali hasara ya zaidi ya shs bilion 11. Such justice😵😵Lakini pia mkuu tuna sheria nyepesi sana za kupambana na ufisadi...rejea hukumu ya wale mawaziri wawili waliosababisha hasara kwa serikali zaidi ya bilionj tatu lakini hukumu waliyokutana nayo ni kichekesho kitupu....
Mkuu hebu funguka zaidi kuhusu hii Mariedo, inaonekana una data muhimu...ilianza HSC, sasa uda tena bado kdg utaskia na mariedo imefilisika chezea magu ww? Watu wanaingia mitin wenyewe!
Nadhani anataka hapo kwenye....''Hakupeleka hata senti 10 ya kijerumani ya michango ya wafanyakazi (Madereva) NSSF''....paangaliwe kwa macho makali ya kisheria na hao makamanda, kuna harufu ya uvunjaji wa sheria hapo.KISA CHA HII CC YAKO NINI???????
View attachment 319111 View attachment 319111 NAONA UMECC WAKAMANDA
Mkuu,
Kufilisika in Accounting Term means Mali unazozimiliki (Assets) ni Chache kuliko Madeni Unayodaiwa (Liabilities). Yaani ukiuza mali zako ZOTE hazitoweza kulipia madeni unayodaiwa. Kwahiyo sio wote watakaolipwa madeni yao 100%.
Sasa basi although kodi za serikali ni priority katika ulipaji wa madeni lakini inategemea kama hiyo kodi ishakadiriwa na kupitishwa (assessed and due). Kama haiko assessed au/na due basi imekula kwa serikali hiyo.
NDIO NILIVYOSIKIA KWENYE MAGAZETI KUWA ALIDANGANYA ANAWAKATA MISHAHARA ANAWAPELEKEA NSSF KUMBE HOLAAAA KIBAKA SASA SIJUI NANI ATAWALIPA HIZO PESA ZAO?Nadhani anataka hapo kwenye....''Hakupeleka hata senti 10 ya kijerumani ya michango ya wafanyakazi (Madereva) NSSF''....paangaliwe kwa macho makali ya kisheria na hao makamanda, kuna harufu ya uvunjaji wa sheria hapo.
mkuu shark kampuni zinatakiwa zifanye self assessment hivyo tax is always assessed labda useme ifanyike jeopardy assessmentMkuu,
Kufilisika in Accounting Term means Mali unazozimiliki (Assets) ni Chache kuliko Madeni Unayodaiwa (Liabilities). Yaani ukiuza mali zako ZOTE hazitoweza kulipia madeni unayodaiwa. Kwahiyo sio wote watakaolipwa madeni yao 100%.
Sasa basi although kodi za serikali ni priority katika ulipaji wa madeni lakini inategemea kama hiyo kodi ishakadiriwa na kupitishwa (assessed and due). Kama haiko assessed au/na due basi imekula kwa serikali hiyo.
Kuna sheria inayoelekeza mkwepa kodi abembelezwe mkuu??Nayakumbuka maneno ya Membe kuwa hawa wafanyabiashara ni wa kwenda nao taratibu. Bila ya kuwa waanagalifu, wengi watafunga biashara zao na kusababisha matatizo mengine kama vile ukosefu wa ajira na upungufu wa makusanyo ya serikali.
Wabanwe ili waweze kulipa kodi lakini kwa werevu badala ya kuwaendea kama maadui wa Taifa. Wengi wao hawana shida kama wengi tunavyofikiria, na wanaweza kwenda mahali pengine popote na mitaji yao.
Wasiwasi wangu ni kuwa watu washapiga dili kwenye 1. MiKOPO 2. Ujenzi wa barabara 3. Price inflation kwenye manunuzi mengineyo yakiwemo ya magari.amejifilisi au amehamisha, alete mapato na matumizi, afadhali ifilisike tubaki na ya zamani kwani haya msaada na line za kariakoo to feri zitarudi MUNGU amesikia kilio chetu sie wanyonge
hisa za serikali zilikuwa asilimia 49 lini tene alinunua kwani serikali haijawahi kuuza hisa zake bali jijiUpdate record zako mkuu. Simon Group anamiliki 76% ya share baada ya kununua share za jiji na serikali (hazina) bado inamiliki 23%, hivyo technically inatuhusu.