Harrison Justine
JF-Expert Member
- Jun 19, 2015
- 1,136
- 559
HIYO NDIYO TANZANIA NIIPENDAYO KWA MOYO WANGU WOTE
Eicher si ndio DCM mpya sema tu yamekuwa nyanya kuliko DCM original!Kununua mabasi ya Eicher lilikuwa kosa kubwa sana (grave mistake)... Hayo mabasi hayana uimara wa kuhimili mikiki mikiki ya kibiashara. Bora hata wengenunua ma DCM yangewatoa kibiashara kuliko hayo mabasi ya Eicher...
Hakuna uhusiano kati ya Eicher na DCM. Sema hiyo ilikuwa strategy ya jamaa kuingia sokoni waliwandanganya wateja kuwa DCM imerudi tena sasa inaitwa Eicher. But it was not true. DCM ni gari ya Mjapani ya Toyota (Dyna Cliper) wakati Eicher ni magari ya kihindi yanayotengenezwa kwa uangalizi wa Mitsubishi....Eicher si ndio DCM mpya sema tu yamekuwa nyanya kuliko DCM original!
aHabari wadau,
Mmiliki wa UDA Ndugu Robert Kisena atangaza kufilisika kwa UDA kutokana na Madeni makubwa anayodaiwa ambayo inazidi fedha zilizomo kwenye account ya UDA.
Kampuni hiyo ambayo amesema ina magari kwa sasa 50 ambayo ni spana mkononi.
Madeni hayo ni bilioni 2 alizokwepa mwaka 2012 alipoingiza mabasi nchini na kutopeleka Michango ya NSSF na PAYE za wafanyakazi.
Chanzo: Dira
Ni sawa na mamba na kenge tu.HAHAHA HIVI KUNA TOFAUTI YA UDA NA U DART MAANA NIMESIKIA ZOTE MBILI ZIKITAJWA ASUBUHI KWENYE MAGAZETI
Ok. Kama ndio asilimia 23 tu ndio za serikali inazimiliki basi ni kweli kwa mujibu wa Public Corporation Act Uda sio shirika la umma. Kwani ili liwe shirika la umma inabidi serikali imiliki asilimia 51 or above.Update record zako mkuu. Simon Group anamiliki 76% ya share baada ya kununua share za jiji na serikali (hazina) bado inamiliki 23%, hivyo technically inatuhusu.
Habari wadau,
Mmiliki wa UDA Ndugu Robert Kisena atangaza kufilisika kwa UDA kutokana na Madeni makubwa anayodaiwa ambayo inazidi fedha zilizomo kwenye account ya UDA.
Kampuni hiyo ambayo amesema ina magari kwa sasa 50 ambayo ni spana mkononi.
Madeni hayo ni bilioni 2 alizokwepa mwaka 2012 alipoingiza mabasi nchini na kutopeleka Michango ya NSSF na PAYE za wafanyakazi.
Chanzo: Dira
Serikali haina significant control ila ina significant influence na UDA na uda ikipata hasara anaadhirika pia,maana yeye ni associateOk. Kama ndio asilimia 23 tu ndio za serikali inazimiliki basi ni kweli kwa mujibu wa Public Corporation Act Uda sio shirika la umma. Kwani ili liwe shirika la umma inabidi serikali imiliki asilimia 51 or above.
NotedSerikali haina significant control ila ina significant influence na UDA na uda ikipata hasara anaadhirika pia,maana yeye ni associate