FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,506
- 123,776
Ulivoipack unajiona bonge la mjanja sio
Dah, lugha za watu hizi jamani, kama hamjui si mtumie mtandao kutafuta neno sahihi? Unapata na kujifunza.
Ulivoipack unajiona bonge la mjanja sio
Sasa watabebeshwa mzigo wanaonunua mafuta kwa ajiri ya matumiz mengine kama kuendesha mitambo, majenereta
Wadau wenye magari kuna taarifa kwamba ile fee ya road licence uenda ikafutwa kuanzia tarehe 1 July 2014 na badala yake tutailipia kwenye mafuta moja kwa moja.
Gari langu lilikuwa garage kwa matengenezo na nilitakiwa kulipa kuanzia 20 May 2014 nimeamua kulipaki nyumbani hadi mwezi July 2014 nadandia daladala mtindo mmoja.
Nawasilisha.
Wadau wenye magari kuna taarifa kwamba ile fee ya road licence uenda ikafutwa kuanzia tarehe 1 July 2014 na badala yake tutailipia kwenye mafuta moja kwa moja.
Gari langu lilikuwa garage kwa matengenezo na nilitakiwa kulipa kuanzia 20 May 2014 nimeamua kulipaki nyumbani hadi mwezi July 2014 nadandia daladala mtindo mmoja.
Nawasilisha.
Wadau wenye magari kuna taarifa kwamba ile fee ya road licence uenda ikafutwa kuanzia tarehe 1 July 2014 na badala yake tutailipia kwenye mafuta moja kwa moja.
Gari langu lilikuwa garage kwa matengenezo na nilitakiwa kulipa kuanzia 20 May 2014 nimeamua kulipaki nyumbani hadi mwezi July 2014 nadandia daladala mtindo mmoja.
Nawasilisha.
Ngongo habari hii ni ya ukweli? Nimeshapataga fununu ila bado sijadhibitisha!
Nani kakuhabarisha Mkuu?
Hebu funguka kidogo angalau!
hahaha....mimi road licence iliisha tokea 2011 na sina mpango wa kulipia na gari nazunguka nayo karibia tanzania nzimaYaani road licence imaeisha May 2014 unaogopa kuendesha? Aissee wewe ni mzalendo. Yaani kama ni mie hilo naliendesha mbele ya mkuu wa ma trafiki duniani na hanikamati.
hahaha....mimi road licence iliisha tokea 2011 na sina mpango wa kulipia na gari nazunguka nayo karibia tanzania nzima
hahaha....mimi road licence iliisha tokea 2011 na sina mpango wa kulipia na gari nazunguka nayo karibia tanzania nzima
Ukweli mtupu..mara chache sana askari wa usalama barabarani hunikamata labda kwa mwaka mara 3 na huwa sitoi zaidi ya 5000 hivyo basi road licence yangu kwa mwaka ni 15000..Tanzania nakupenda nchi yangu MaarufuuuPrivate cars zoote za.police. wanajeshi. usalama wa taifa na wahuni wahuni wakubwa serikalini hazina road licence. Wakileta hii sheria mbona itakua poa sana. Tuone kama hawa wahuni watapunguziwa bei ya petroli. Yaani haka ka nji kajitu kakipata kanafasi kaupenyo kiduchu anataka akojoe akiwa amekaa.
Mmmmmh !nakubaliana na wewe sasa hapo huna jinsi zaidi ya kujenga nao urafiki ili wasikufanye ATM.Mimi huwa nakamatwa na kutoa rushwa hata mara 3 kwa mwaka na sitoi zaidi ya 5000 kwa dar...kwa mikoani sipandi zaidi ya 2000.Mara ya mwisho nimekamatwa Igunga nikitokea Mwanza kuja Dsm nikashuka na pakti na sigara sports nimeikunja vizuri wakajua noti ya 10000 wana boxi lao wameweka chini ya mti wanakwambia urushe humo...Mkuu Rural Swagga inategemea na logistics ya mahali unapoishi na unapopiga mzigo.Mimi nakaa Njiro ukifika maeneo ya reli mkabala na General tyre asubuhi unakutana na rundo la matraffic wasiopungua watano ukikatiza barabara ya mabwa ya majitaka kabla haujafika fire unakutana nao niambie unakwepa kwepaje ?.
picchu naona kama kuna point hapo. Gari iko garage na unaokoteza mchuzi 2yrs hapo hapo na hii road license wapi na wapi? Waanzishe na garage license basiiii
hahaha....mimi road licence iliisha tokea 2011 na sina mpango wa kulipia na gari nazunguka nayo karibia tanzania nzima