Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,987
- 24,226
Mie 2009, na nipo nipo sana.
Ni kama ule mkopo wa chuo, silipi hata kwa upinde.
Ni kama ule mkopo wa chuo, silipi hata kwa upinde.
Ya kwangu iliisha 2008 na mpaka leo nadunda na corolla yangu kama kawaida...! Road Licence ni sawa sawa na ile iliyokuwa inaitwa "kodi ya kichwa"...! Ni wizi tu...!