Road licence Kufutwa

Road licence Kufutwa

mkuu Ngongo unaonaje ukitupa source ya habari hii ili kuipa uzito unaostahili?

watu tutalimbikiza deni faini zitatuua lolz... tupe uhakika bana.
 
Last edited by a moderator:
Bibie neggirl nimeshatoa source sasa tusubiri serekali hasa hili bunge la bajeti.

mkuu Ngongo unaonaje ukitupa source ya habari hii ili kuipa uzito unaostahili?

watu tutalimbikiza deni faini zitatuua lolz... tupe uhakika bana.
 
Last edited by a moderator:
Hapa wanataka kuwafanya Trafiki wawe wabunifu zaidi.Maana hiki ni chanzo kikuu cha mapato ya Trafiki.Sijui watawekeza nguvu zaidi kwenye insurance, au watahamishia majeshi kwenye Fire extinguishers.Duh!
Trafiki hawawezi kosa vyanzo vya mapato....vipo vingi tu kama nut za gurudumu, nyufa kwenye vioo, uchafu wa bodi, ku-expire kwa tairi, na michepukao.....
 
ni sawa kabisa..tuchangie na wapanda daladala nk...maana huu ulikua ni mzigo wa mmiliki pekee!!naomba iwe ivyo
 
Bibie neggirl nimeshatoa source sasa tusubiri serekali hasa hili bunge la bajeti.

walahi nimetafuta siioni jamani.. Pliziiiiii nitajie namba ya post... Looo

au Iweke juu kwa ku edit post yako, ili ionekane na watu wasiulize ulize tena.
 
Hahahahah....haiwezekani kufutwa. Watumiaji wa mafuta sio magari tu.
Unawezaje kumpandishia bei ya dizeli mwenye mashine ya kusaga kule Mgambo au Kalya Kigoma kwasababu ya road licence?

Doesnt make sense.
 
Mimi nina baskeli, kwa upande wangu wangeipunguza ile PAYEE wawe wakataka asilimia 10 tu ya mshahara wangu - aisee ningewashukuru sana maana inalima ni balaa kiasi hata kuiangalia pay slip yangu naona karaha.
 
hayo ndio mawazo ya watu wenye akili na busara. hayo yote kukusanya pesa kila sehemu ni kuwazidishia maisha magumu wananchi
 
Hivi nikweli hiyo?maana mimi nina pickup yangu ilikufa mashine tangu 2010,na road lic,ikawa imeisha nikaamua kuitupa garage,kwa neema hii naweza kusamehewa kwa miaka hiyo iliyopita?
 
Hiy itasaidia makusanyo na kuondoa hali ya wizi wa wazi. gari iko garage au imesimama huwa inadaiwa na hakuna utaratibu wa kuweza kuandika au kujulisha kama gari haitumiki. kukusanya kwa mafuta itasaidia hata wale wakwepaji kulipa kwa malipo ni kadiri unavyotumia. ukiweka mafuta umelipa tayari. utaratibu ukiwa mzuri watakusanya hela nyingi sana ukilinganisha na sasa. mfano Lorry au basi hutumia hadi lita 300 kwa siku. wakiweka tsh 20 katika kila lita utaona kuwa lori au basi litalipa hadi mil 2 kwa mwaka tfauti na sasa wanalipa chini ya laki 3 kwa mwaka. ni utaratibu mzuri sana ukitumiwa vizuri. Kenya wameutumia na wamejenga barabara kila kona kwa kiwango kizuri.

TUSUBIRI IWE KWELI
 
Hivi road licence ndiyo motorvehicle licence? Naona kichwa kinaniuma hapa maana nahisi road licence inawahusu sumatra na sio tra moja kwa moja
 
Na sie wakulima tutozwe kwa kuwazalishia chakula na matrekta yetu !!!@@@
 
Kamanda ebu funguka kidogo huyu Nguza alifungwa kwasababu ya SHORI yupi?

Mambo hayo yalianza kipindi kamjamaa kakiwa kawaziri ka nini sijui awamu ile ya mr. clean. Inadaiwa kamjamaa kalipigiwa hawara yake (simjui jina) na baadaye akapigiwa na yule mwanamke aliyeimbwa kwenye wimbo wa papii. Kuanzia hapo muvi likaanza kwa jina la "wamelawiti watoto" lakini nyuma ya pazia inadaiwa muvi lilikuwa na sura tofauti kama ilivyoonekana kwa hadhira.
 
Mambo hayo yalianza kipindi kamjamaa kakiwa kawaziri ka nini sijui awamu ile ya mr. clean. Inadaiwa kamjamaa kalipigiwa hawara yake (simjui jina) na baadaye akapigiwa na yule mwanamke aliyeimbwa kwenye wimbo wa papii. Kuanzia hapo muvi likaanza kwa jina la "wamelawiti watoto" lakini nyuma ya pazia inadaiwa muvi lilikuwa na sura tofauti kama ilivyoonekana kwa hadhira.

tomaso
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom