Mtende
JF-Expert Member
- Sep 27, 2010
- 6,385
- 7,335
Mmh rukia nae kwa kutoa ushirikiano kwa boss yuko vizuri
inaelekea ni mzoefu wa hayo mambo
tena hapo nahisi kama ni ngoma naye kaambukizwa
Mmh rukia nae kwa kutoa ushirikiano kwa boss yuko vizuri
Hahaaaa mbona rukia alikua ana adabu sijui kimempata nini jamaniinaelekea ni mzoefu wa hayo mambo
tena hapo nahisi kama ni ngoma naye kaambukizwa
Hahaaaa mbona rukia alikua ana adabu sijui kimempata nini jamani
Daah hata mie nimeshtuka sio kwa kuchangamkia ishu hivyo utafikiri alikua anamlia timing bossatakua alikua anaficha makucha, naye amemisi mambo matamu maana alivyochangamkia tenda mmh
Daah hata mie nimeshtuka sio kwa kuchangamkia ishu hivyo utafikiri alikua anamlia timing boss
Yani sana chezea boss kuendesha V8 weye kakamatia fursa fastahaha alikua anasubiria hiyo nafasi kwa hamuuuu
Leo vipi mkuu hutupiii episode kadhaa?hahahah mna maneno
mmmmmmmh wanaume kana Nick wapo duniani
Hahaaaa mbona rukia alikua ana adabu sijui kimempata nini jamani