RIWAYA: Mtumwa wa Ngono

RIWAYA: Mtumwa wa Ngono

atakua alikua anaficha makucha, naye amemisi mambo matamu maana alivyochangamkia tenda mmh
Daah hata mie nimeshtuka sio kwa kuchangamkia ishu hivyo utafikiri alikua anamlia timing boss
 
Rukia alikuwa anasubiria fursa ss imejileta,,,kama.naona atakavyo fanywa kitoweo
 
yessssssss hapo ndipo nilipokuwa napataka sasa!huhuhuhuuuuuuuu yani rahaaaa
 
Wakuu samahani kama nimeingilia kati kuchezesha ngoma zisizonihusu, ila najua adha ya kusubiri, hii story ninayo hadi sehemu ya 50, naweka kama tatu hivi, kama mtaridhia nitazimwaga zote. Sorry mkuu Vin
 
Back
Top Bottom