RIWAYA: Mtumwa wa Ngono

RIWAYA: Mtumwa wa Ngono

hata huo ubwege huwa una mwisho wake!sasa huo umbulula uliopitiliza wa nick me unanitia hasira kweli kweli
Mariawangu
hujanielewa, wanawake wengi wanatupenda sisi akina Nick na ndivyo haswa tunavyo takiwa kuwa, hapo tatizo ni Glory, tabia za Glory ndizo zinakufanya wewe mpaka umuone Nick kama bwege. .Hebu jiulize kama Glory asingekuwa na tabia hizo, je Nick ungeendelea kumuona bwege?
 
Yani Gulo kamtia inzi wa kijani Nick wa Rukia masikini.. roho inaniuma sanaa..!
 
SLAVE SEX(mtumwa wa ngono)…….(35)
MTUNZI…..EMMANUEL F.KWAY
Contact….+255718 862176
AGE…..(18+)
ILIPOISHIA.
“Ohh alafu nimesahau kukwambia mume wangu,hapa nachat na Mama upendo,kesho tunaenda kwenye usharika mwingine kufanya maombi huko Tanga,ameniomba sana niende kesho,tutalala huko mpaka kesho kutwa hapa ndio ninamjibu kama nitaenda,ila nimeona kwanza nikuombe wewe ruksa”
Gloria alizungumza,kwa nia ya kujitetea hakuelewa kuwa Nickson anajua kila kitu.Alizidi kuongea mambo ya uongo huku Nickson akizidi kumsikiliza akashindwa kuelewa amfanye nini mwanamke huyu mpumbavu!
SONGA NAYO.
Siku zote anayekudanganya kwa maneno nawewe mdanganye kwa kumsikiliza,hiyo ndiyo kauli iliyomjia kichwani kwake Nickson akiwa kitandani pembeni akiwa amekaa Gloria anajaribu kupiga fix zake.Muda wote alioutumia Gloria akijaribu kuongea vitu vingi akidhani wenda Nickson haelewi chochote kile ilikuwa ni kazi bure kwani alikuwa anaongea na mtu anayeufahamu ukweli,akawa anachorwa.
“Ndiyo Ivyo Mume wangu kipenzi,naomba uniruhusu ili nikafanye kazi ya Mungu”
“Unatakaa kwa muda gani umesema?”
“Kama siku mbili tatu hivi,inategemea na mambo yatakavyo kwenda”
“Mimi sina neno,nitabaki na Sonia”
“Nakupenda sana Mume wangu,wewe ni mume bora na ndiyo maana kila siku namshukuru Mungu kwa kila jambo”
Nickson alijitahidi kupachika tabasamu ya plastiki usoni mwake,moyoni alikuwa amejawa na hasira kupita kiasi, jasho lilianza kumtoka machozi yakaanza kumlenga akajitahidi jambo hilo lisionekane kwa mke wake lakini likashindikana,kutokana na macho yake kubadilika rangi na kuwa mekundu ghafla.
“Nickson,upo sawa?”
Mke wake akauliza baada ya kuona hali hiyo imejitokeza.
“Nipo sawa,nimekuzoea sana mke wangu,Moyo unaniuma sana sitoweza kuishi bila wewe”
“Usijali nitarudi tu”
Usiku mzima Nickson hakupata usingizi hata kidogo,alikuwa ameyafumbua macho yake anatizama juu darini,usingizi kwake haikuwepo alikuwa akimuwaza mke wake na familia nzima kwa ujumla.Jambo alilotaka kulifanya ni kumfuata mke wake ili ajue ni wapi atakapoishia na nia yake kutaka kumjua ni nani hasa aliyekuwa ana kula naye tunda moja.Hakuelewa atamfanya nini endapo akimgundua.
Hatimaye kukakucha Gloria akawa wa kwanza kutoka kitandani,akaingia bafuni na kuoga, kichwani alikuwa ana fikiria shilingi laki tano alizoambiwa atapewa,kupanua miguu kwake haikuwa tatizo likitokea swala la pesa,Gloria alikuwa mtumwa wa Ngono tena bila kinga yoyote,aliichukia sana Condom katika maisha yake akidai kuwa ‘hawezi kula pipi na maganda yake’.Alivyojipulizia marashi vizuri akaingia kabatini na kubeba nguo fupi fupi na kuziweka ndani ya begi kisha kuvaa gauni ndefu kama zuga.
“Nickson mimi ndiyo naenda Mume wangu”
“Sawa mamii,safari njema,nikusindikize?”
“Hapana Lov,kuna costa litakuja kutuchukua”
“Hakuna shida”
“Okay ubaki salama,utaniagia kwa Sonia”
“Kila lakheri”
Nickson akajifanya kugeuka upande wa pili na kujifunika Shuka,alivyohakikisha mlango umefungwa na Gloria katoka Nje alichungulia dirishani na kuona Gloria anachukua Taxi kisha kuondoka zake.Kama swala, Nickson akaruka na kuvaa kaptula iliyokuwa karibu akabeba funguo huku shati akiliweka begani,akazama ndani ya landcruiser v8 na kuanza kufuatilia Taxi aliyokuwepo Gloria ndani yake,alijitahidi kukaa umbali wa mita mia moja ili isiwe rahisi kugundulika,Kila Taxi ilipokunja kona Nickson alilala nayo.Ubungo, taa nyekundu zikawaka gari zikasimama.Taratibu zikaanza kuchomoka baada ya taa za kijani kuwaka, Nickson akaweka gia akawa bado yupo na Taxi nyuma yake,wakanyoosha barabara ya kwenda mikoani mpaka walipofika Kimara Mwisho,Taxi ikakunja kushoto kuingia Kimara bunyokwa barabara ya Vumbi.Mwendo kama wa mita mia mbili Taxi ikasimama nje ya nyumba yenye geti la rangi nyeusi.Kwa macho yake akamshuhudia Gloria anashuka na mabegi mikononi akamlipa Dereva taxi kisha kufungua geti jeusi akaingia ndani,
Nickson akapitisha gari karibu na geti akaenda kulipaki mbele kidogo umbali wa maili moja.
****
“Baby huyooo,nilijua ungepotea”
Gloria alipokelewa na mabusu na Mzee Mmoja Mfupi mwenye mvi chache kichwani.
“Wala, siku hizi mimi ni mtoto wa town,nilivyomuelekeza Dereva taxi hakuleta shida”
“Vizuri,hii ndio nyumba yangu nyingine huwa napenda sana kupumzika huku kila mwisho wa wiki”
“Ni pazur….”
Mzee Mfupi alisogea karibu ya Gloria na kumuendea mdomoni.
“Aaaah subiri kwanza,pesa ziko wapi?”
“Nitakupa zipo kwenye begi,una wasiwasi?”
“Wala”
“Sasa kumbe”
Gloria alisogea karibu na kumtupa Mzee huyu kitandani,akampandia juu na kuanza kumnyonya midomo yake huku akianza kumvua shati,Mzee alihisi damu yake inamwenda mbio,akaona kama anapandwa na presha, Gloria akawa anacheza na kifua huku mzee akiwa anafungua vifingo vya Gloria akabaki na blazia peke yake huku Mzee akibakiwa na Suruali peke yake,kitambi nje.
BAHATI NZURI ILIKUWA KWAKE, SABABU GETI LILIKUWA WAZI AKAINGIA NDANI NA KUPITILIZA MPAKA KWENYE MLANGO MKUBWA akazama ndani,alimsikia sana Gloria anaongea,hasira zikazidi kumpanda kifuani,kitu kilichomchanganya akili yake ni sauti aliyoisikia chumbani, aliitambua lakini bado hakutaka kulipa wazo lake kipaumbele!
“Ngo ngo ngoooo”
Nickson akajitosa na kugonga mlango,akasikia kitanda kinanesa na miguu ya mtu inatembea, mlango ukafunguliwa na Mzee mfupi mwenye kitambi kikubwa kama kwenye katuni za kuchorwa,uso wake ulijisikia aibu alipoyagonganisha macho yake na Nickson.
“Shikamoo Mzee Mtui”
Nickson alimsalimia Mzee huyo aliyekuwa anamuheshimu kama baba yake wa kumzaa na ndiye alikuwa mzee wa Kanisa.MZEE MTUI hakujua ni kitu gani akifanye ni kweli alifahamu kwamba Nickson ni mume wa Gloria.Alivyotaka kuongea alihisi mdomo wake mzito ilikuwa ni aibu kubwa.
“Vipi,Bwana asifiwe naona ghafla na…..”
“Nimekuja kumfuata mke wangu,namuomba”
Nickson aliongea kistaarabu huku akitia huruma, machozi yalimlenga hakutegemea kuwa Mzee kama huyu angeweza kufanya mambo ya kuchepuka tena na mtoto mdogo kwake kama Gloria.
“Mke…”
“Gloria naomba utoke twende nyumbani mke wangu”
Nickson akapaza sauti,Gloria aliyekuwa ndani alisikia kila kitu, alijihisi amekuwa mdogo kama pipi ya tofi,alivyotaka kusimana alirudi tena kitandani kutokana na nguvu za miguu kumuishia.
“Gloria,tafadhali mama twende nyumbani chukua begi lako turudi kwetu”
Gloria akatokeza Mlangoni huku akiangalia chini wote wakatoka nje,Nickson akamshika mkono akamfungulia mlango wa mbele, Gloria akaingia ndani ya gari,Nickson akazunguka upande wa usukani na kukaa,kabla ya kuwasha gari aliweka kichwa chake juu ya usukani,alivyoinua kichwa chake alikuwa akimwaga machozi ya uchungu akamtizama Gloria kwa simanzi.
“Na..kupenda sana”
Akaweka mkono wake pembeni ya gia akatoa kama kitabu kidogo,ilikuwa ni hundi ya benki akachukua peni akaandika maneno Fulani juu yake na kumkabidhi Gloria.
“Laki sita hizo,ulikuwa unashida na pesa hizo hapo nenda kachukue benki”
Nickson akawasha gari akalitoa kwa kasi bila kuongea chochote na Gloria,Udhaifu wa Nickson siku zote ulikuwa ni kulia,alikuwa ana machozi ya karibu alishuka kwenye gari huku akiwa analia.
“Daaaaaaad!”
Sonia alimkimbilia baba yake lakini alivyomtizama machoni aliyaona machozi ya baba yake tena kwa mara ya kwaza,alihisi kuna kitu kibaya sababu alielewa nini maana ya machozi.
“Why are you crying Dad?”(Kwanini unalia baba)
Sonia aliuliza akimtizama baba yake,alimpenda sana mzazi wake huyo kuliko kitu chochote.Nickson akambeba mwanaye mikononi.
“I love you,I love you Sonia My Daughter”(Nakupenda,nakupenda Sonia Mwanangu)
Nickson alimfariji mwanaye.
“Dad tell me why are you crying,who caned you?”(Baba nambie kwanini unalia,nani kakuchapa)
Mtoto alizidi kudadisi.
“Sonia,umefanya homework?”
“Ndio Dad….chitaki nambie kwanini unalia”
“Nina mafua”
“Dad nataka kekiii na iachikrimu”
“Baadaye Sonia”
“Daaaaad,sawa tu”
“Baadaye,ngoja nikabadili nguo”
Hakukaa sana chumbani akatoka akamchukua SONIA mpaka ndani ya gari, wakaenda supamarket ya karibu akamnunulia Sonia anachokitaka wakarudi nyumbani.Maisha yakaendelea kama kawaida nyumbani,Nickson hakutaka kumkumbusha mke wake kwa lolote lililotokea.Ugeni wa ghafla ukatokeza, wazazi wa Nickson wakawa wamekuja kutoka mkoani Moshi ili kuwasalimia watoto wao.Nickson alifurahi kupita kiasi akawachangamkia wazazi wake.Siku moja asubuhi Wakiwa Seblen Mzee Shayo mke wake pamoja na Nickson, ghafla akatokeza Gloria,nguo alizokuwa amevaa zilitia aibu asuhuhi hiyo, alivaa sketi fupi iliyoonesha mapaja yake mbele ya wakwe zake.Mbali na hapo badala ya kutoa salamu ya heshima yeye alisema ‘Mambo zenu’ jambo hilo liliwashangaza sana wazee hawa.Nickson alihisi joto mwilini mwake.Nguvu zilimuishia lilikuwa ni jambo la aibu.
“GLORIA”
Nickson akaita.
“Una shida gani?Sema shida yako na……”Gloria aliongea kwa nyodo.
Kama chui Nickson akasimama, kwa kasi ya Umeme akamvaa Gloria akamvuta mkono na kumpiga kofi kali ya shavu,akamzungusha akampiga kofi lingine kali,ilikuwa ndio mara yake ya kwanza kukasirika.Nickson alitetemeka kwa hasira kama mwenye kifafa, jasho lilimtoka aliangalia pembeni na kuona kikombe cha chai cha udogo akakichukua na kumpiga nacho kichwani.
“Wewe una unajibu jeuri leo nakuuuwa,leo nakuuuwa nimekuchoka”
Nickson alifoka na Gloria alikuwa akilia kwa uchungu.Alikuwa amekabwa ukutani Mzee Shayo alivyotaka kumtoa Nickson haiwekuwezekana hata kidogo.
“Nic…k son naku..faaaaa”
“Nakuuuwa leo”
Kutokana na hasira mbaya alizokuwa nazo Nickson jambo la kuuwa lilikuwa asilimia themanini na tano.
Sasa unaweza kusoma hadithi za mtunzi kway insta@storyzakway
ITAENDELEA.
(kwa hadihi nyingi za kusisimua fuata hii link www.facebook.com/STORYZAKWAY)
 
SLAVE SEX(mtumwa wa ngono)…….(36)
MTUNZI…..EMMANUEL F. KWAY
Contact….+255718 862176
AGE….(18+)
ILIPOISHIA.
Nickson alifoka na Gloria alikuwa akilia kwa uchungu.Alikuwa amekabwa ukutani Mzee Shayo alivyotaka kumtoa Nickson haiwekuwezekana hata kidogo.
“Nic…k son naku..faaaaa”
“Nakuuuwa leo”
Kutokana na hasira mbaya alizokuwa nazo Nickson jambo la kuuwa lilikuwa asilimia themanini na tano.
SONGA NAYO.
Hakukuwa na dalili yoyote ya Nickson kumuachia Gloria ingawa alikuwa amempiga mpaka akampasua usoni, bado aliendelea kumshindilia vibao na vichwa,hasira zilikuwa zimemkaba vibaya sana, kitendo alichokifanya cha kumjibu vibaya mbele ya wazazi wake kilimkera kupita kiasi,hicho ndicho kilimfanya akusanye na makosa yote aliyokuwa akimtendea kipindi cha nyuma.Hasira zilimuendesha akabadilika rangi akawa mwekundu, kifua chake kilipanda juu na kushuka,Gloria alipiga kelele za kuomba msaada lakini Mzee Shayo na Mke wake walivyojaribu kuinglia walishindwa, Nickson alimng’ang’ania Gloria kama Mbwa na mfupa.Kila sekunde iliposogea ndipo hasira ziliongezeka alivyoangalia pembeni aliona televisheni aina ya flat skrin nchi thelathini na nane ya kampuni ya samsung akaisogelea na kuing’oa, kwa hasira alizokuwa nazo ilikuwa rahisi kuing’ofoa ukutani, akaibeba na kutaka kumshushia Gloria kichwani,hapo ndipo Mzee Shayo alipoikamata mikono yake akamzuia.
“Nickson tulia mwanangu,utaua bure ni nini unafanya?”
Mzee Shayo alijaribu kutoa maneno ya ki utu uzima.
“Baba Niache niaueee”Nickson alipayuka.
Kelele alizokuwa akipiga Gloria ziliweza kupaa na kufika nje,watu wakaanza kujaa mmoja baada ya mwingine,ghafla watu watano wakaingia wakamshika Nickson.
“Nickson,punguza jazba hasira hasara,mambo gani unafanya rafiki yangu?”
Jirani mmoja alisema huku akiwa amemshika Nickson mikono yote miwili.
“Saidi niachie,embu niachie tafadhali nimuoneshe huyu Mwanamke”
“Siwezi Nickson kukuachia”
“Acha niuwe tuu”
Dakika kumi nzima walijaribu kumtuliza Nickson hatimaye akatulia.
“Jamani embu tufanye ustaarabu wa kumpeleka huyu dada hospitali,Amani si una gari?”
“Sawa ngoja nikachkuwe hapo mbele”
Gloria alikuwa akivuja damu puani na mdomoni Analia machozi kama mfiwa,Nickson alikuwa pembeni analia kwa hasira huku kamasi zikimtoka, alitamani kumvaa tena Gloria lakini alitulizwa, aliamini kipigo alichompiga hakikumtosha kabisa.Watu walizidi kujaa nyumbani kwa Nickson, wengi hawakuamini kama Nickson kijana mpole ndiye aliyempiga mke wake na kumuharibu uso wake.
“Huyu kapigwa na Nickson?”
Mama mmoja wa jirani alimuuliza jirani yake kwa sauti ya kunong’ona.
“Ndio,aise kampiga vibaya sana mpaka namuonea huruma”
“Huruuuma?huyu mwanamke kazidi kama nini,Nick kamvumilia sana mimi nawasikia kila siku tangu siku ya kwanza kumtoa Moshi alivyokuja mjini hapa,akawa kama mbwa kila bwana anampa tu mambo”
“Sema ukweli!”
“Huyu Mwanamke ni kicheche balaa,mimi namuogopa sana nilishawahi kumuona viwanja vingi tofauti lakini sukutaka kufungua kinywa changu,atakuja kumuuwa mkaka wa watu kwa magonjwa”
“Duu”
WAMAMA walizidi kuteta pembeni.Dakika tano baadaye wakaingia vijana wawili wakamchukua Gloria na kumuingiza ndani ya gari kwa safari ya kwenda hospitali kwa matibabu Zaidi!
Nickson akagoma kwenda nao wakamwacha kama alivyo.
***
Kwa kipigo alichochezea kutoka kwa Nickson ili kumnyoosha na kumrudisha kwenye mstari, hospitali ilimladhimu alazwe hospitali kwa wiki nzima na kuandikiwa dawa,Nickson hakutaka kabisa kwenda hospitali, alihofia angeenda kummaliza,ili kuepuka hilo alivyotoka kazini alipitiliza moja kwa moja nyumbani,taarifa za Gloria alipewa tu kupitia simu na madaktari,siku mbili zilivyopita tangu Gloria apigwe wazazi wake waliaga wakimsihi mtoto wao akae kwa Amani, wakaondoka zao.
“Hodi humu jamani”
Sauti hiyo ilimshtua Nickson aliyekuwa seblen anasikiliza Redio usiku wa saa tano,hakuweza kuitambua sauti hiyo harakaharaka lakini alivyotuliza mawazo aliikumbuka ilikuwa ni ya jirani yake aliyeitwa Upendo Mrangi mwanafunzi wa chuo cha Ustawi,akasimama na kufungua mlango.
“Karibu jirani”
“Ahsante”
Upendo akapita ndani,ugeni huo kwa Nickson ulikuwa wa ghafla, hakuwahi kujenga mazoea na binti huyo tangu aanze kumfahamu isipokuwa salamu tu za ‘mambo vipi’ basi!
“Pole kwa kila kitu Nickson”
“Ahsante sana,nishapoa ni mambo tu ya kupishana maneno,niambie nikulete nini?”
“Chochote tu,hata maji sawa”
Nickson akasimama na kutembea mpaka jikoni na kurudi na jagi la maji ya baridi pamoja na Glasi akamimina maji akamkabidhi Upendo,Badala ya msichana huyu kunywa maji yeye alibaki kumtizama Nickson jinsi alivyokuwa mzuri,akaziangalia lips za midomo yake na weupe wa Nickson uliobeba sura nzuri yenye macho makubwa ya kulegea,akahisi mwili wake umepigwa na ganzi akazidi kumtathimin.
“Vipi?”
Nickson akahoji.
“Hakuna kitu,hakuna kitu Nickson,vipi wifi bado hajaruhusiwa?”
“Yupo hospitali,mpaka wiki ijayo”
“Nani,huyu mwanao Sonia je?”
“Yupo chumbani kwake amelala”
“Inabidi usimwambie kilichotokea”
“Wala siwezi, hata hajui kama mama yake yupo Hospitali”
“Et..i etii …I eeeh”
Kadri maongezi yalivyozidi kufanyika ndipo Upendo alizidi kujihisi vibaya mwilini,alikuwa amebanwa na ugonjwa wa kikubwa taratibu akaanza kujisogeza kwa Nickson akajikaza kisabuni na kumshika kidevu.
“Vipi,mbona ivyo?”
“Nickson,acha unifikirie vibaya nimeshindwa, mimi nakupenda sana tafadhali jua ivyo”
“Lak…”
Nickson akashindwa kumaliza sentensi yake Upendo akamvaa mdomoni na kumnyonya mdomo wake wakaanza kulana denda.Tendo la Kunjunju kwa Nickson siku nyingi hakuwahi kulifanya mpaka wakati huo tayari alikuwa amekamatika,akatulia kama maji mtungini, Upendo akazidi kucheza na ulimi wake ndani ya mdomo wa Nickson akasogeza meza ya Kioo pembeni akashusha mkono wake mpaka chini ya Suruali ya Nickson na kuitoa POWER BANK ya Nickson iliyokuwa tayari ina moto, taratibu akaanza kuichua,alivyoona haitoshi akapiga magoti na kuiweka mdomoni, aste aste akawa anailamba mithili ya mtoto mdogo alambavyo koni ya Bakhresa,Nickson akahisi roho yake inaacha mwili akabaki kuzishika nywele za upendo zilizokuwa ndefu kiasi,Ulimi wa Upendo ukazidi kulamba POWER BANK kutokana na joto la ulimi chaji ilianza kujaa taratibu,Nickson akazidi kuyatoa macho yake kama mjusi kafiri, akawa anatoa mihemo ya ki utu uzima.Mambo hayakuishia hapo, Nickson alisukumizwa akalazwa chali kama yupo ‘Martenity labour’ anasubiri kujifungua.Utamu aliousikia ukapita mpaka kwenye mishipa ya medulla oblongata akahisi akili yake imeacha kufanya kazi kwa muda na kushindwa kujua ni saa ngapi shati lake lilitolewa,alishtukia tu yupo kifua wazi Upendo akavamia chuchu zake na kuanza kuzinyonya hapo ndipo Nickson akahisi anasimama na ukucha,Mwanamke huyu alikuwa hodari sio masihala,akatoa nguo yake ya juu kisha blazia kufuata,akalala chali kifuani mwa Nickson,maziwa yaliyochongoka yalivyotua tu kifuani mwa Nickson akazidi kupagawa,Upendo akasogea karibu na shingo ya Nickson akaanza kumnyonya shingo huku akiwa kama anampuliza.
“U…pend…o”
“Ab…..eeee”
“Up..oo up..o una… mpe..nzi?”
Nickson akauliza swali la kipumbavu kwa kigugumizi ilhali alijua fika kuwa binti huyu mwenye rangi ya maji ya kunde mzuri hawezi kukosa mwanaume.
“Ndi..o ninaye”
“Ach..ana naye na ubak..i namimi”
“Kweeeli?”
“Nd..io”
“Twe..nde chu..mani”
Kuambiwa ivyo Nickson kama paka shume akasimama na Kumbeba Upendo,haraka haraka wakazama chumbani na kufunga mlango,Upendo akatupwa kitandani puu Nickson akafuata juu yake na kuanza kubadilishana mate,Nickson nayeye hakutaka masihala siku hiyo vilevile hakutaka kuharibu mechi hiyo ya ghafla,alichofanya ni kuitoa suruali laini ya Upendo na kuiweka kando, ikafuata chupi,Upendo akabaki kama alivyozaliwa miguu ikapanuliwa Nickson akaingiza kichwa katikakti yake,akatoa ulimi na kuanza kulamba TAMU ya Upendo taratibu sana huku akitumia kidole chake kimoja kukichomeka ndani,Upendo nayeye akasalimu amri akatulia kama Ngamia aliyetaka kuchinjwa.Ikawa zamu ya Nickson kufanya yake,akaenda mpaka kifuani kwa upendo na kuanza kumnyonya maziwa hususani chuchu za mrembo huyu ambazo zilikuwa zimesimama imara na kumfanya Upendo aanze kujikunja kama nyoka aliyemwagiwa mafuta ya taa.
Akajinyonga nyonga akishika mashuka huku na kule akiyatibua,hakuelewa ashike kipi aache kitu gani,raha alizosikia hazikuweza kuelezeka hata kidogo.
“Asssh Nicki….son aaaaashhh aaaaaah mmmhhhh aissshhhhh aaaaah Nikiii…ivy…o ivyoooo”
Upendo alitoa sauti ya puani bila kujijua huku akiwa ameyafumba macho yake,vitu kama maji maji vilianza kutoka ndani kwa Ndani, Nickson akaelewa nini maana yake lakini hakutaka kuwa na papara mpaka atakapofika ndani ya kumi na nane ili akiachia shuti ashinde bao.
Na ivyo ndivyo ilivyokuwa, mahesabu yake aliyapanga vizuri Upendo alivyokuwa anaibana miguu yake huku anautoa mkono wa Nickson mgodini,hapohapo aliipanua na kuingiza power bank kwenye chaji,taratibu sana akaamsogelea mdomoni wakaanza kulana denda,Nickson alikinyonga kiuno chake lakini pia Upendo hakuwa mzito.Hazikupita hata dakika mbili Upendo akamng’ang’ania Nickson kwa nguvu hapo ndipo Nickson akapiga shuti kali mpaka nyavuni wote wakatoka ‘draw’.Bila kutoa Mashine ndani Nickson akalala kifuani kwa Upendo huku jasho kwa mbali likiwa linamtoka.
“Upendo”
“Abee”
“Nani kakufundisha haya yote?”
“Kunifundisha nini?”
Upendo alijibu kwa swali.
“Utundu kitandani”
“Mimi ni mtoto wa kike lazima nijue”
“Mhhh”
Nickson alibaki kuguna, kwa kuwa siku hiyo ilikuwa ya ghafla walibaki wakiongea na ilipofika saa kumi alfajiri Nickson akamtoa Upendo nje,hakutaka Sonia amuone pia alitaka kuendelea kujijengea heshima mtaani,alitaka jambo hilo lizidi kuwa siri kubwa.
***
UKWELI ULIKUWA WAZI KUWA MCHUNGAJI Patrick alikuwa ana maambukizi hatari ya ugonjwa wa ukimwi,siri hiyo alibaki nayo kifuani mwake, hata siku moja mke wake hakuelewa lolote mbali na hapo hakutaka kumwambia,alimuonea sana huruma sababu aliamini ni jisni gani ugonjwa huo unavyotesa kabla ya kukuondoa duniani,ugonjwa huo aliamini aliutoa kwa Msichana wa kiarabu alivyokwenda nchini Israeli kwenda kuangalia nyayo za bwana Yesu na huko ndipo aliporudi na ugonjwa wa UKIMWI,akakasirika ajabu,hakutaka kufa peke yake ivyo alikuwa anafanya kama kisasi kwa wanawake wote,aliwachukia wanawake ndani ya mtima wake,aliamini kwamba kila mwanamke aliyelala naye teyari alishampa virusi vya ukimwi,kwa asilimia tisini na tano Gloria alikuwa tayari ana maambukizi hayo hata huyo alimsikitikia sababu aliamini ni lazima pia Mume wake Nickson, angeupata endapo angefanya naye tendo la Ndoa.
Asubuhi ya saa tano kama kawaida yake alienda ofisini kwake na kuchukua vidonge aina ya ARV na kuvimeza ilikuwa ni lazima kila siku ameze vidonge ivyo saa tano asubuhi ili azidi kurefusha maisha yake.Hakuna hata mmoja aliyeweza kugundua kwamba Mchungaji Patrick alikuwa ni muathirika wa ugonjwa hatari wa Ukimwi.
“Mpaka nilimalize kanisa zima,ndiyo nitafurahi ili nichomwe moto vizuri huko jehanam”
Alisema Mchungaji Patrick na kuweka dawa zake ndani ya droo akafunga na funguo.
Sasa unaweza kusoma hadithi za mtunzi kway insta@storyzakway
ITAENDELEA.
(kwa hadithi nyingi za kusisimua fuata hii link www.facebook.com/STORYZAKWAY.)
 
SLAVE SEX(mtumwa wa ngono)…….(37)
MTUNZI….EMMANUEL F.KWAY
Contact….+255718 862176
AGE….(18+)
*****

Gloria aliruhusiwa kutoka hospitalini baada ya hali yake kuonesha matumaini,akarudi nyumbani akapumzika.
“Mama ulikuwa unaumwa?”
Sonia akamuuliza Mama yake baada ya kumuona ana bandeji na P.O.P mkononi,moyoni alitaka kujua nini kilimsibu Mama yake ambaye aliambiwa amesafiri kwenda Mkoani Singinda,Badala ya Gloria kumjibu Mwanaye, alipita tu mpaka chumbani akajilaza na kutafakari ni kitu gani akifanye.Bado hakuamini kama ni kweli Nickson aliyemfahamu kampiga nusura amuuwe,alibakia kuamini kwamba ilikuwa ni ndoto tu.Kutokana na uchovu mwingi alipitiliza na kulala fofofo.
Kilichomzindua kutoka usingizini ni Nickson kuufungua mlango wa chumbani.Nickson hakutoa salamu yoyote akapitiliza mpaka bafuni kutoa haja ndogo na kurudi kitandani akamtizama Mke wake na kukaa kitako kitandani.
“Vipi hali yako?”
Lilikuwa ni swali kutoka kwa Nickson,Gloria akalichukulia kama ni usanifu wa hali ya juu, badala ya kujibu akaangalia pembeni.Nickson hakuangaika naye akatoa nguo zake mwilini akavaa taulo na kuzama bafuni kuoga,alivyotoka alivaa kaptula na tshirt.
“Unaenda wapi?”
Gloria akauliza baada ya kuona maandalizi hayo ya usiku usiku!
“Nipo hapo Seblen na Sonia”
“Aya”
Nickson akatoka mpaka Seblen, ni kweli alikuwa na mtoto wake Sonia,anamfundisha mambo mbalimbali.
“Ujifunze kusamehe siku zote,usiwe una dharau mwanangu,hata ukiwa mkubwa una pesa usiwanyanyase maskini”
“Dad,hata mimi shuleni mwalimu huniambia hivyo hivyo,ananiambia eti mimi ni mzuri sana”
“Ndio wewe ni mzuri mwanangu kama malaika,hakuna mtu mbaya hapa Duniani,Wote tumeumbwa na Mungu”
“Dad….”
“Yes”
“Mama amefanya nini?”
“Mama yako?”
Sio kwamba Nickson hakusikia swali,alitaka kulijibu ki utu uzima ili mtoto wake asijue lolote, hakutaka kumuweka wazi kwa lolote lililotokea kwani alikuwa bado mdogo sana kuyabeba mambo mazito.
“Kwani umemuuliza?”
“Ndiooooo”
“Akasemaje?”
Sonia akatingisha kichwa kukataa kuwa ajaambiwa chochote. Japokuwa alikuwa ni mtoto mdogo lakini alikuwa ana upeo mkubwa wa kuchanganua mambo, alimpenda sana baba yake kuliko kitu kingine chochote kile duniani.
“Home work umefanya?”
Nickson akauliza akipoteza mada, hakutaka mwanaye amuulize habari yoyote kuhusiana na Mama yake kupata majeraha.Siku zikazidi kwenda mbele, Nickson na Gloria wakawa hawapikiki chungu kimoja wakiwa chumbani, lakini wakitoka nje walijifanya kuongea,hakuna mtu yoyote aliyekuwa akijua siri ya nini kiliendelea chumbani kwao.
“Gloria,Gloriiia,si nakuita”
Nickson aliita lakini hakuitikiwa, Zaid tu aliitikiwa kwa misonyo kutoka kwa Mke wake huku akijifunika shuka Gubigubi.asubuhi wakiwa na Sonia ndipo walipopata muda wa kuongea.
“Mama Sonia”
“Abeee Baba”
“Jumamosi kuna semina,inabidi twende na Sonia kwenye maombi”
“HAKUNA SHAKA,Sonia umesikia?”
“Ndio Mama”
Huo ndiyo ulikuwa mchezo wao, Sonia alifurahi kuwaona wazazi wake wakiwa pamoja,aliwaona wakiwa wenye furaha kuliko wazazi wowote wale aliowahi kuwaona,walikula pamoja walicheka pamoja na kukumbatiana mbele ya Sonia, lakini walipofika Chumbani,walikuwa ni maadui wakubwa.
“Sasa tutaishi kwa kuakti mpaka lini Gloria?”
Ulikuwa ni usiku wa saa saba, Nickson alikaa kitako na kumuuliza mke wake,alichoka na maisha hayo.
“Mpaka kifo,usiniongeleshe una shida gani?wewe bwege nini”Gloria alijibu kwa hasira na kurudisha kichwa chake upande wa pili.
“Gloria nakupenda mama,ile ni misunderstanding tu ya kawaida,jaribu kusahau tusonge mbele mimi nakupenda,hivi ni mwanaume gani utakayampata kama mimi,jaribu kuvuta kumbukumbu ni mambo mangapi umenifanyia nikasahau mke wangu?yaliyopita si ndwele tugange yajayo”
Nickson alijaribu kutumia kila aina ya maneno matamu akaweka na mithali, akimuimbisha mke wake aweze kumsamehee ili waweze kusonga mbele na maisha, wasahau yaliyopita.Nusu saa nzima alikuwa akipiga saundi za mjini lakini hazikuzaa matunda,Gloria alikuwa upande wa pili amejifunika amempa mgongo hana habari, maneno aliyoambiwa yalipita sikio ya kushoto na kutokea upande wa pili,Nickson hakukata tamaa ni wazi kwamba alimpenda sana Gloria kupita maelezo yaliyojitosheleza,akasimama kutoka kitandani na kuzunguka mpaka upande wa Gloria akapiga magoti akaweka mikono yake kifuani kama mtu anaye sujudu!
“Gloria, am so sorry my WIFE” (Gloria nisamehe mke wangu)
Kitu kama mkanda wa filamu vikapita kichwani kwa Gloria ukapiga ‘rewind’akaona mambo yote yaliyotokea katika maisha yake, jinsi alivyotolewa kijijini Moshi akiwa katika mateso ya kukata kuni migombani,akajiona jinsi alivyokuwa mshamba wa kutupwa akaletwa mjini akaoga maji safi ya Dar es salaam.Moyo wake ulimsuta kupita kiasi alijiona ni aliyestaili moto wa shetani akaelewa kwamba Mwanaume aliyekuwa mbele yake hakustaili kupiga magoti,akili ikamjia hapohapo hakuelewa ni kitu gani kilimkumba, kwa mara ya kwanza akaanza kulia huku akimtizama Mume wake Nickson aliyekuwa mbele yake kapiga magoti.
“Nic…kson”
Gloria aliita akiwa katika kwikwi.
“Naa..m”
“Nakupenda,naomba nisamehee”
Maneno hayo yalitamkwa na Gloria akiwa katika hali ya majuto,wote wakakumbatiana wakaanza kunyonyana midomo yao kama njiwa!
Hakuna kitu kilichofuata hapo Zaidi ya kuanza kushikana shikana kila sehemu ya miili yao,Mkono wa Gloria japokuwa ulikuwa bado mbovu lakini hakuyasikia tena maumivu, alihisi ana Amani ya moyo,kwa kuwa tayari Gloria alikuwa ndani ya vazi ya kulalia yaani ‘Night dress’iliyokuwa laini inaonesha kila kitu ndani yake,ukichanganya na Weupe wa msichana huyu Gloria na Mapaja manene aliyojaaliwa, Nickson akajikuta tayari amesimamisha fimbo yake bila kutegemea akamfuata mdomoni na kutoa ulimi wake,Gloria akaumeza wakaanza kulana denda taratibu sana ndimi zao zikawa zinacheza ndani kwa ndani huku kila mtu akiguna na kutoa mihemo ya ndani kwa ndani.Kutokana ma Gloria Kucheza mechi nje nyingi ilimfanya awe mbunifu akasogeza kichwa chake kwa chini kidogo akaitoa boxa ya mume wake akatoa kombola na kuliweka mdomoni, akaanza kulinyonya huku mkono wake mmoja ukiwa juu kifuani kwa Nickson unapapasa ‘garden love’Nickson akahisi kupaa akajiona yeye ndiye mmiliki wa dunia nzima na sio Mungu tena,akajihisi yupo juu yake anaviangalia viumbe vingine vyote kwa chini,Gloria hakuishia hapo,akazidisha njonjo na madoido akatoka hapo akaenda sikioni kwa Nickson na kupitisha ulimi wake ndani,Nickson akahisi kama amepigwa na shoti ya umeme mwilini wake wote ukawa umekakamaa.Katika hali ya ghafla nayeye akampindua mke wake akawa juu yake akabinua kamab ya ‘night dress’Gloria akabaki kifua wazi,hapo ndipo Nickson alipoanza kuyanyonya maziwa haya yenye chuchu nyeusi kwa juu huku mkono mmoja taratibu ukishuka kwenye ikulu,akakitafuta kinyama kilichokuwa juu kidogo kiilchofanana na kiharage akaanza kukisugua taratibu sana akitumia kidole kimoja,Gloria akawa hajiwezi tena anahangaika akawa anavuta vuta mashuka huku akiinua shingo yake juu mara anamshika Nickson mkono wake.
Akahisi raha za ajabu kupita kiasi akajiona yupo angani ana paa.Nickson akazidi kufanya shughuli yake, hakukomea hapo tu,alishusha mdomo wake baada ya kutoka kuyanyonya maziwa ya Gloria akaanza kumyonya kitovu mara akashuka mpaka chini akawa ameishika Miguu ya Gloria huku na kule akaweka kichwa chake katikati ya miguu akazama chumvini akatoa ulimi wake akaanza kulamba akautumbukiza kabisa ndani ya mgodi akawa kama anapiga denda.Hapo ndipo Gloria alianza kuongea kichaga.
“Yes…. Aaaa aaaah sshhsss kereeeeeu…..wiii Uuuuuuh aaaaah ssshss hapoha…po Nick….son us..ito…e ul..imi ivy….o ivyo”
Kelele hizo zilizotoka puani mwa Gloria zikazidi kumpa Stimu Nickson na kuzidisha kasi ya mashambulizi,alivyohisi ndani ya mgodi kuna utelezi Nickson akatoa Boxa yake kisha kumseti nyoka wake aina ya KUBOKO vizuri, akamtumbukiza ndani ya shimo vizuri nayeye akapita vizuri mpaka mwisho,filimbi ikapigwa mechi ikaanza hapo hapo.
****
“Noo siwezi Patrick,haya mahusiano yetu yaishe,ukiendelea kunisumbua nitaliambia kanisa zima,mambo unayoyafanya”
Maneno hayo alitamka Gloria akiwa mkavu, kwa mara ya kwanza Mchungaji Patrick alidhani wenda ni maigizo na Gloria hakuwa Siriazi.Akaendelea kumtomasa.
“Patrick niache nakwambia”
Mkono wa Mchungaji Patrick ukatupwa mbali,Gloria akasimama kutoka kitini,malumbano hayo yaliendelea wakiwa ndani ya Ofisi ya mchungaji.
“Mbona sikuelewi Gloria eeeh?”
“Hunielewi nini?Nimechoka siwezi. Na huu mchezo naomba uishe leo hii hii mambo tuliyofanya yabaki kuwa historia tu,nimerudiana na Mume wangu rasmi sitaki tena mambo yako,nampenda Nickson”
“Haiwezekani”
“Itawezekana tu,utake usitake”
Mchungaji Patrick alimtizama Gloria kwa macho ya masikitiko makubwa sababu alikuwa tayari amechelewa yaani amekumbuka shuka kumeshakucha.Uhakika wake ulikuwa kwamba Gloria tayari keshapata maambukizi ya virusi vya ukimwi.
“Okay,lakini umechelewa”
“Nimechelewa nini?”
“Safari njema,Mimi nitajua cha kufanya”
“Usinitishie wala nini”
Gloria alijitamba hakuelewa Mchungaji Patrick ana maana gani,akasimama na kuondoka zake.
****
UKWELI NI KWAMBA GLORIA ALIAMUA KUBADILIKA NA KUZIDISHA UPENDO KWA NICKSON,akampenda kupita kiasi ili mapenzi kuyanogesha ilikuwa kila Jumamosi na Jumapili watoke kwenda maeneo mbalimbali ya jiji la Dar es salaam wakiwa na mtoto wao Sonia.Siku hiyo waliamua kwenda kula chakula cha mchana NEW AFRICA HOTEL ili mradi tu wabadili mazingizra,Gloria akafurahi,Sonia ndiyo usiseme akajihisi ni mtoto wa Kishua,Hotel hiyo ilikuwa ya kisasa,walivyomaliza kula,wakatoka nje sababu jioni ilikuwa teyari imefika.Wakaingia ndani ya gari lao la kifahari LANDCRUISER V8 wakaanza safari,Nickson akawa bize kwenye usukani muda wote anatabasamu.Ghafla walivyofika maeneo ya Kariakoo mtaa wa kongo, kupitia ‘site mirror’ za nje pembeni Nickson aliona Deffender zinakuja kwa kasi ya ajabu nyuma yake, mbili zikampita kwa spidi na mbili zikabaki nyuma yake.Katika hali ya kushangaza Diffenda zilizompita zilipiga breki za ghafla wakashuka askari watano ardhini huku wakiwa na mitutu mabegani kumi wakatoka kwenye magari ya nyuma,Nickson akaweka mguu kati akapiga Breki,hapo hapo maaskari wakaliliweka gari lake kati,Wakalizingira!
“’Fungua Kioo”
Askari mmoja aliamuru,kwa mbali Nickson aliisikia sauti hiyo,akakubali kushusha kioo.
“Habari za wakati huu afande?”
“Salama shuka ndani ya gari”
Gloria na Sonia walikuwa wakitetemeka kupita kiasi, lilikuwa ni tukio la kutisha kwao.Nickson akatoa mkanda wa gari na kuteremka, akatii amri ya jeshi la polisi.
“Twende huku,fungua boneti fanya upesi”
Askari mmoja aliamuru akiwa na mtutu begani,raia walikuwa tayari wameanza kujazana ili kushuhudia tukio zima,kama kawaida ya wabongo wenye simu za kisasa walianza kupiga picha.Nickson akajiamini na kuvuta boneti la gari mlango wa nyuma ukafunguka.Macho yake yakashangaa kuona boxi kubwa,katika akili yake hakukumbuka kama aliweka kitu kama hicho ndani ya gari lake.
“Hicho nini?”
LILIKUWA ni swali kutoka kwa Kamishna wa polisi wa wilaya ya Ilala, afande Miraji.
“Sijui afande”
“Hujui sio?”
“Ndiyo”
“Litoe”
Nickson alilitizama boxi hilo,kabla ya kufanya lolote aligeuka kwa maaskari.
“Hapana siwezi kuligusa,nyie ndiyo mlitoe au kama kuna askari mwenye gloves afanye ivy….”
Nickson kabla ya kumalizia sentensi alipigwa na kitako cha mtutu akajing’ata ulimi damu zikaanza kumvuja akalazimishwa alishike boxi lililokutwa ndani ya gari lake,Kwakuwa alikuwa ni mwanasheria na anajua sheria hakutaka kufanya ivyo kuogopa kusingiziwa kesi au kupoteza ushahidi.Wakazidi kumpiga mpaka akadondoka chini akawa anavuja damu.Gloria na Sonia walivyotaka kutoka nje walitulizwa.
“Af…ande siiwe…zi kushika hilo boxi mimi silijui”
Nickson aliongea akiwa katika hali ya uchungu,akapigwa kirungu cha kichwa kikampasua vibaya sana akawa anavuja damu nyingi sana zinamchuruzika kama mchuzi unaovuja kwenye sufuria.
“Afande Moses,embu toa hilo boxi”
Boxi likavutwa,likafunguliwa hapohapo Askari wote wakatupa macho ndani, wakashtuka baada ya kukuta kichwa cha ALBINO.
Sasa unaweza kusoma hadithi za mtunzi kway insta@storyzakway
ITAENDELEA.
(kwa hadithi nyingi za kusisimua fuata hii link www.facebook.com/STORYZAKWAY.)
[12:25, 2/28/2016] EMMANUEL RIWAYA: SLAVE SEX(mtumwa wa ngono)…….(39)
MTUNZI….EMMANUEL F.KWAY
Contact…+255718 862176
AGE…..(18+)
ILIPOISHIA.
.Akapanda ngazi,lakini baada ya kufika alipigwa na butwaa la ajabu alivyokumkuta Mke wa Bosi wake Magugu akiwa na kanga moja peke yake amejilaza chumbani huku mapaja yake manene yakiwa wazi.
“Karibu Nickson”
Mama Jenifa alilegeza sauti yake na kusimama kitandani,mapigo ya moyo ya Nickson yakazidi kupiga kwa nguvu.
SONGA NAYO.
Mwili wake aliuhisi una ganzi,akatamani kufanya ngono wakati huohuo na Nickson, ni wazi kuwa alimpenda kijana huyu mdogo wa umri kwake, akawa yupo tayari kwa lolote lile, ilimradi aonje ndizi yake.Nickson alikuwa kama mtu aliyepigwa na shoti ya umeme haelewi ni kitu gani akifanye, macho yake yalitua juu ya mapaja ya Mke wa bosi wake,mwili wake ukamsisimka.
“Naomba nie nie niende,au vaa basi uniambie hiyo kesi”
Nickson akashikwa na kigugumizi cha ghafla, hakuelewa kimetoka wapi.
“Nickson sogea karibu basi,mbona upo mbali?”
“Hapana,hapa pananitosha”
“Sawa, basi ngoja nikufate”
Mama Jeni au Mke wa Bosi Magugu akasimama akiwa na kanga moja, ambayo iliyafunika maziwa yake ikawa imeishia mapajani,mguu wake mnene ulibeba makalio makubwa kiasi,akatembea mpaka kwa Nickson na kumshika mashavu.
“Unajua kuwa wewe ni mzuri sana?”
“Ma..ma naomba nien…nde niwahi ofifisini”
“Unawahi wapi Nickson jamani”
Mama akapitisha mkono wake kwenye kitasa na kuufunga na funguo kisha kuzichomoa kwenye kitasa,akamuendea Nickson karibu yake,akamfuata midomoni akatoa ulimi wake, lakini Nickson akakwepesha mdomo wake.
“Nicsk…”
“Mama,mimi naomba niende bwana”
“Nickson naomba, nakuomba,nip….”
Mama akashika mashavu ya Nickson akaanza kumnyonya mdomo wake taratibu,Damu ya Nickson ikazidi kumwenda mbio, akahisi kama amepigwa shoti ya Umeme, mama huyu alichukua mkono wake na kuushusha mpaka kwenye suruali ya Nickson na kuanza kuchua Pump.Akili ya Nickson haikuwa hapo tena ilisafiri maili nyingi sana akakumbuka mateso aliyokuwa anateswa na bosi wake kazini,
akatafakari jinsi alivyodhalilishwa kama mbwa,na leo hii yupo na mke wa bosi huyohuyo aliyekuwa ana mdharau.Ilikuwa ni kama mbuzi kafia kwa mpika supu,akapata hasira akaapia kwamba ni lazima amdatishe mke huyu wa bosi ili kesho arudi tena,japokuwa mama huyo alikuwa ana mwili mkubwa Nickson alimbeba na kumtupa puu! Kitandani kisha yeye kufuata juu yake,akaitoa kanga ya Mama Jeni akaanza kumnyonya maziwa taratibu huku akiupitisha mkono wake taratibu kwenye Pango akagusa kinyama cha juu kilaini,
hapo ndipo Mama huyu alipoanza kutoa milio ya ajabu.
“Mt…ukane Mum..eo”
Nickson akatingisha kiberiti,akamkumbuka rafiki yake Akinyemi Malekano mpenda wake za watu,kila akilala na mke watu ni lazima amwambie hilo neno akazidi kukumbuka stori mbalimbali za kihuni.
“Mtukane Mum.eo”
“Mum..e aaah aaaah Mu..me wangu Msen** aaaaaah aaah Nicks..on”
“Mtukane tena”
“Mu..me wa..ngu hanisi ha…nisi ha..na lol…t..te aaaah aaah shhsss aaah”
Mama Jeni alizidi kutoa sauti za huba,Nickson hakuishia hapo alishusha ulimi wake mpaka chini akaishika miguu ya mama huyu huku na kule akaingiza kichwa chake katikati, akatoa ulimi wake na kuanza kudeki bahari taratibu sana tena bila madoido huku akitumia kidole,alitema mate juu ya mgodi na kuendelea kuulamba.
Mama Jeni alishindwa kuvumilia alichofanya ni kuendelea kushika kichwa cha Nickson, akizidi kukikandamiza kwa ndani huku akiyashikashika maziwa yake.
Hayo yote yalitokea akiwa hajitambui yupo hoi bin taaban hajiwezi.Ni kweli kwamba Nickson aliipania mechi hiyo, alitaka amkomeshe bosi wake,ikawa vita vya panzi furaha kwa kunguru.Mama Jeni alizidi kujikunja kunja, Nickson akapanda juu ya maziwa yake na kuanza kunyonya chuchu za Mama huyu mtu mzima.
Haraka haraka akavua shati lake, Mama Jeni akamsaidia kuitoa suruali yake kisha Boxa kufuatia,kabla ya Nickson kufanya lolote Mama Jeni akashika AK47 yake haraka akaiingiza ndani ya msitu wa solondo ili vita ianze.Kitendo cha Mtutu kuingia ndani ya ikulu, Mama Jeni aliachia mdomo wazi akazidi kuusikilizia,akaanza kukatika taratibu akiwa chini amewekwa kifo cha mende.Nickson akamtoa kitandani.
“Shika hapa Mama”
“Mhhh”
“Shika vizuri”
Mama akabong’oa, akawa ameshika pembe ya kitanda, Nickson akamshika kiuno kwa mikono yake miwili,akaingiza Turbo ndani ya Gear box ya Mama Jeni,hapo ndipo Mama huyu alihisi joto la hali ya juu,Urefu na unene wa Gunzi la Nickson ulimfanya Mama Jeni aanze kukatika kama feni,Nickson hakutaka kwenda mbio,Mechi hiyo alitaka asiharibu hata kidogo,akazidi kupeleka misumbwi.Mguu wa Mama Jeni mmoja ukawa umepanuliwa Nickson akachomoa akaingiza tena.
Mambo yalienda asteaste.Mama Jeni akaanza kusema siri zote za mume wake.
“Uhhh..ahaaa Nick…son na..ungu..a Mume wa..ngu ana ki..pipi hana uwezo wa kuni.fi.kisha Nickson ivyo i..vyo Ba..by aaaashhhh aaaaah”
Mama Jeni alizidi kusema kwa sauti ya huba.Huku Nickson akisikiliza kwa umakini sana siri hizo.
*****
“Nickson yuko wapi?”
Mzee Magugu alikuwa ofisini, alimuulizia Nickson baada ya kupiga simu yake bila kupokelewa.
“Aliaga,kuna kesi anafuatilia”
“Ndivyo alivyoaga hivyo?”
“Ndio bosi”
“Katoka saa ngapi?”
“Tangu saa tatu asubuhi”
Mzee Magugu alipoangalia saa yake ya mkononi ilikuwa imegonga saa tisa ya alasiri.
“Anyway endelea na kazi”
Mzee Magugu akaenda mpaka ofisini kwake na kuketi,akawa anakagua kagua makaratasi ndani ya ofisi yake,akavuta madroo akaonekana kuchanganyikiwa mno, kuna kitu alionekana akiwa anakitafuta lakini akakikosa,akatafakari kwa muda na kutoa simu yake mfukoni akaenda mpaka kwenye majina akatafuta neno WIFE akaipa simu ‘ok’ ili itoke,Simu ya Mke wake au Mama Jeni ikaanza kuita.
“Halloo Mama Jeni”
Mzee Magugu alisema baada ya simu kupokelewa.
“Abee”
“Sasa hapo Mezani!upo nyumbani kwanza?”
“Mimi?mimi ndiyo nipo Nyumbani”
Mama Jeni alidanganya.
“Hapo chumbani kuna document yangu,ndani ya kabati embu niangalizie vizuri kama ipo,ukifungua droo la katikati chini kuna bahasha kubwa ya kaki”
“Ngoja kidogo nitakupigia subiri niiangalie”Simu ikakatwa.
Mama Jeni alikuwa akiongea maneno hayo akiwa juu ya kifua cha Nickson wala sio kwake,tena amejiachia kama ndiye mume wake halali wa ndoa,akasahau kwamba alikuwa ni mchepuko tu,raha alizopewa dakika tano zilizopita zilimpagawisha mno!
Hakutamani kurudi tena nyumbani kwake akamchukia mume wake kupita kiasi,kwa kumnyima haki anayostaili.
“Sasa itakuwaje?”
Nickson akauliza huku akitabasamu,alishaelewa ni aina gani ya dozi aliyotoa, hata yeye alijikubali.
“Nicskon”
“Naam Mama”
“Usiniite Mama”
“Naam,Mpenzi”
“Nakupenda sana,hatuwezi siku tukatoka nje ya mji huu tafadhali hata ikiwezekana tutoroke tu”
“Tutoroke!?”
“Ndio”
“Twende wapi?”
“Popote pale,ili mradi tu niwe nawewe”
“Mimi nina Mke ujue”
“Hata kama Nickson,mimi sijali ili mradi nitakuwa nawewe, nipo kukufanyia chochote unachotaka”
“Kweli unataka kutoroka namimi?”
“Niamini Mpenzi,umenipagawisha sana”
“Nitafutie Milioni Mia mbili”
“Nickson!nitatoa wapi pesa zote hizo?”
“Iba hata kwa mumeo,kwani hujui akaunti zake za benki,kama hutaki basi achana na mimi”
Nickson akatingisha kiberiti.Alifanya ivyo makusudi,nia yake ilikuwa Mzee Magugu aibiwe pesa katika akaunti zake zote hata za ofisi ili afikuzwe kazi, kwa upande mwingine Mzee Magugu alikuwa ni muhasibu mkuu na huo ndiyo ulikuwa wakati wa Nickson kumtesa Mzee Magugu,akataka kumfunza adabu na kulipiza yote yaliyotokea nyuma.
“Sawa,nitajaribu Mpenzi”
Ni kweli, kwa jinsi Mama Jeni alivyopagawishwa alikuwa yupo radhi kufanya chochote ilimradi Nickson afurahi.
Sasa unaweza kusoma hadithi za mtunzi kway insta@storyzakway
ITAENDELEA.
(kwa hadithi nyingi za kusisimua fuata hii link www.facebook.com/STORYZAKWAY.)
 
SLAVE SEX(mtumwa wa ngono)……..(38)
MTUNZI…EMMANUEL F. KWAY
Contact…+255718 862176
AGE….(18+)
ILIPOISHIA.
“Afande Moses,embu toa hilo boxi”
Boxi likavutwa,likafunguliwa hapohapo Askari wote wakatupa macho ndani, wakashtuka baada ya kukuta kichwa cha ALBINO.

SONGA NAYO.
Butwaa alilopigwa Nickson halikuwa na kipimo chake,hakuamini macho yake hata kidogo, hakuelewa kichwa Cha Albino ni nani aliyekiweka kwenye kiboxi ndani ya gari lake,alitetemeka kwa hofu sababu alishaelewa nini maana ya kesi hiyo,akiwa bado anatafakari alikudwa shati na kusogezwa karibu na Boxi.
“Nini hiki?”
Lilikuwa ni swali kutoka kwa afande huku akiwa ameukunja uso wake,ni wazi kwamba jibu lilikuwa wazi.
“Afa..”
“Nimeekuuliza nini hichi?Nyie ndiyo serikali inawatafuta ndiyo kwamba mnataka utajiri kwa kuchukua viungo vya binadamau wenzenu”
“Hap…”
“Nyamaza”
Kabla ya Nickson kutaka kujitetea alitulizwa na kitako cha mtutu cha mdomoni akapasuka mdomo,akavutwa mpaka ndani ya Diffenda huku akisindikizwa na virungu visivyokuwa na idadi kamili.Gloria alikuwa ndani ya gari alishuhudia kila tukio, alikuwa ni kama amechanganyikiwa, mpaka Difenda zinampita mbele yake alikuwa akilia na Sonia tu,Kama chura akaruka upande wa Usukani akaweka gia na kuanza kufukuzia Difenda za polisi ili ajue ni wapi Nickson angepelekwa,Kwa kasi ya ajabu Diffenda zikazidi kusonga mbele mpaka walipofika Buguruni kituo cha polisi.Nickson akateremshwa.
“Andika maelezo yako hapo”
Askari aliamuru baada ya kumfikisha Nickson mapokezi.
“Afande Maria chukua maelezo ya huyu Muuaji”
Nickson alitia huruma Jicho lake moja la kulia lilikuwa teyari limevulia damu akawa kama chongo,uso umeharibika kutokana na virungu alivyokuwa akipigwa.
“Unaitwa nani?”
“Ni..ckso Shayo”
“Unaishi wapi?”
“Tabata Segerea”
Afande Maria alihisi huruma ndani ya moyo wake,Sura ya Nickson ya kipole ilimfanya aguswe na kipigo alichopokea,Kabla ya usahili kuendelea akatokeza Gloria akiwa Analia machozi kama Mfiwa akaingia mapokezi.
“Gl..oria nyamaza,mpigie simu Dastan,Mpigie simu Dastani sasa hivi mwambie kila kitu kilichotokea”
Nickson alizungumza maneno hayo huku akionesha matumaini kwa mbali.
***
“Griii griiiiii,Griii Griiiii”
Mlio wa simu ulisikika ndani ya gari aina ya DISCOVER nyeusi,mwanaume mrefu kiasi maji ya kunde,aliingiza mkono ndani ya suruali yake na kuitoa,juu ya kioo ilisomeka jina GLORIA SHAYO, ulikuwa ni usiku wa saa tano tayari,Kwa furaha kijana huyu akatabasamu,akaiweka simu sikioni baada ya kuipokea.
“Shem,Shem up…o wap…i?”
Upande wa pili wa simu ulisikika kwa sauti ya Kwikwi ukafanya kijana aliyekuwa anaendesha gari abadili simu aweke sikio la kulia,kilio kilimtisha.
“Shemeji,nini tena mbona unalia,kuna msiba?”
“Hapana Dastan,naomba uje hapa kituoni”
“Kituo gani?nani amekamatwa tena?kuna shida gani?”
“Nickson,Nickso…n ameka..twa Shemeji”
“Kituo gani?”
“Subiri niulize”
Baada ya dakika moja Gloria alirudi kwenye laini.
“Ni Bugu…runi Buguruni hapa kituo cha Polisi”
Namna Alivyogeuza gari Dastan kila mtu aliweka mikono yake kichwani,akapanda tuta la katikati akarudi alipotokea,Japokuwa alikuwa tayari amefika karibu na Nyumbani kwake Msasani lakini hakujali.Akazidi kubadili gia na kulikimbiza gari kama mwendawazimu huku akiwa ameukunja uso wake,kutoka na mwendokasi dakika thelathini zilikuwa nyingi kwake, akapiga breki kituo kidogo cha Polisi Buguruini Sokoni,akashuka haraka akaingia mpaka mapokezi.
“Shemeji”
Dastan alimuita Gloria.
“Dastan bora umekuja Nickson,Ni..ckson Mume wa..ngu ame…”
Kabla ya Gloria kumalizia Sentensi yake akaingia Askari mfupi mwenye kitambi.
“Afande,Mimi naitwa Dastan”
“Nikusaidie nini?”
“Nimekuja kumuona Ndugu yangu,huyu ni mke wake,ilikuwaje?”
“Kesho asubuhi njoo,huyu ana kesi kubwa mno”
“Naomba kumuona”
“Hapana,njoo kesho nimesema”
Hakuna watu waliokuwa wasumbufu kama Jeshi la polisi.Dastan alikuwa ni miongoni mwa wanasheria wakubwa kutoka katika kikundi cha Law Legal Chember, kilichokuwa na wanasheria wakubwa walioheshimika hata serikalini.Kujibiwa ivyo na askari kukamfanya azidi kukasirika Zaidi, mbali na hapo Nickson alikuwa ni Zaidi ya Ndugu yake,akiwa mdogo alikuwa akiishi kwa Mzee Shayo baada ya likizo kipindi anasoma shule ya sekondari Vunjo, akawa kama baba yake Mzazi, akamchukulia Nickson kama mdogo wake wa damu,Walipendana kama mapacha, mpaka Dastan alivyorudi kutoka masomoni Marekani kuhitimu Masters ya sheria alimkuta teyari Nickson ameoa,alisikitika sana kuikosa harusi yake,kilichokuwa kinawatenganisha muda mwingi walikuwa wana majukumu ya kikazi!
“Afande,unanikatalia kiumuona ndugu yangu?”
Dastan hakufanya kitu kingine Zaidi ya kupiga jicho lake juu ya shati la askari akameza namba,akatoka nje na kupiga simu kwa Kamishna wa Mkoa wa Dar es salaam George JOHNSON MWANGUKU.Akamueleza kila kitu na kutaja namba,simu ilivyokatwa akasikia simu ya mezani kituo cha polisi inaita.Akapokea Afande Maria.Afande mfupi mwenye kitambi akaitwa.Jinsi alivyokuwa anaongea na upande wa pili wa simu ni dhahiri kuwa alikuwa akiongea na mkuu wake wa kazi,sura yake ilionesha upole na utii wa hali ya juu.
“Ndio Mkuu,Ndio…sawa hakuna shida”
Bila kuongea chochote akaenda mpaka kwenye nondo akamfungulia Nickson,Dastan kidogo amwage machozi, hali aliyomuona nayo Nickson ikampandisha hasira kupita kiasi.
“Afande nani alifanya hivi?”
Lilikuwa ni swali kutoka Kwa Dastan tena kwa ukali kama mtu mwenye madaraka!
“Nauliza nani kahusika kumpiga?”
Akauliza tena.Hapo hapo akapiga tena simu, safari hii simu ilienda moja kwa moja Kwa Mwanasheria wa Raisi wa Jamhuri ya Muungamo wa Tanzania Vital Kamere,japokuwa ilikuwa usiku sana akamueleza mambo yalivyokwenda kesi ikanunuliwa,Ikafunguliwa tena upya,Dastan akakata rufaa kwa kosa la Askari kumpiga Nickson.
“Polisi hana mamlaka ya kumpiga mtu yoyote yule,sasa basi hii kesi mimi naifufua naamini hicho kichwa alichowekewa amesingiziwa mtatajana tu”
Dastan aliongea kwa Hasira maaskari wakaanza kutafutana.Ni kweli Dastan akafuatilia kesi ya Nickson faili likaandaliwa mashtaka yakapelekwa mahakamani,
kila kitu kilikuwa chini ya wanasheria makini kutoka katika kikundi cha LAW LEGAL CHAMBER.Maaskari waliohusika walianza kuhama mji wakitaka kutoroka lakini wote walikamatwa,Kamishna Mponda alipotaka kutorokea Kenya hakufanikiwa kwani alikamatiwa mpakani Namanga, akarudishwa na kufunguliwa shtaka jingine,kila mtu alianza kutaja.
“Ni Mr.ZUMO wa Afrika Kusini alitupa hiyo kazi kusema ukweli sina haja ya kuwadanganya”
Siku hiyo afande Mponda alitoboa siri mbele ya mahakama,akasema kila kitu.
“Alikuwa akitaka kumfungisha Nickson ili yeye awe kimapenzi na Mke wake,kila askari aliyeshiriki alipewa dola elfu mbili huo ndio ukweli wangu”
Kila kitu kiliwekwa wazi,kutokana na mambo yalivyokwenda Mr.Zumo alisakwa kwa wudi na Uvumba,Dastan alihakikisha atakula naye sahani moja mpaka dakika ya mwisho.Ndani ya mwezi mmoja akakamatwa akiwa Jiji la Mogadishu akafungwa jela.
****
Mwaka mzima ulipita tangu kesi la Nickson ilipotulia akawa anaishi kwa raha mustarehe na familia yake,Uzuri wa mtoto wao Sonia ukazidi kukolea ingawa alikuwa mdogo lakini kiuno chake kilikuwa kimechongwa vizuri akabinuka kwa nyuma akapewa nyama nyingi kifupi Mungu alimpendelea.Weupe wake aliouchukua kutoka kwa wazazi wake wote wawili ukamfanya azidi kushangaza jamii inayomzunguka!Mama yake alianza kumvalisha vimini akiwa bado mdogo mapaja yakawa nje muda wote, hilo ndilo likawa tatizo kubwa mtaani.
“Gloria,Mtoto usiwe unamvalisha nguo kama hizo”
Siku hiyo Nickson alisema,hakupendezeshwa na mavazi aliyovalishwa Mtoto wake.
“Mambo ya mjini”
“Hapana,mbali na hapo sisi ni watu wa Mungu”
“Hata kama,unataka sasa nimvalishe nguo zinazomfunika magotini na joto hili la Dar es salaam?”
Gloria alimtetea mwanaye,Nickson hakuwa na la kusema.Sonia alivyotimiza miaka kumi na sita,akazidi kuwa mzuri mara sabini yake,Kifua chake kilianza kuota maziwa taratibu, ngozi yake ikaanza kubadilika na kuwa laini,tayari alianza kupevuka,akawa anaanza kuhisi vitu vya ajabu ndani ya mwili wake, aliuhisi una mabadiliko makubwa mno.
Vijana wakaanza kumpigia misele, lakini hakuna hata mmoja wapo aliyeambulia.Sonia aliringa kupita kiasi, akajua kuongea kwa dharau jibu lake moja tu,lilikata maini!
“Sonia,Soniiiia”
Siku hiyo akiwa anatoka darasani alisikia sauti ya kijana ikimuita.
“Sema”
Jinsi alivyomtizama kijana huyu hakutofautishwa na mtu anayetizama Kinyesi,alimpandisha juu mpaka chini kwa dharau na kuangalia pembeni.
“Ongea shida yako,nina haraka Frank”
“Sasa kwanza umependeza…ninahitaji muda kidogo tukae chini tuongee”
Frank alijibiwa kwa msonyo mkali,Sonia akaondoka zake akitembea kwa mwendo wa taratibu huku nyuma akiacha mtikisiko wa ajabu kwenye makalio yake.
****
NDOTO YAKE SIKU ZOTE ILIKUWA ni kufanya tendo baya la kuzini na Gloria,aliamini ipo siku ndoto yake itatimia tu.Magugu aliamua kufanya sherehe ndogo nyumbani kwake akawaalika watu wachache ikiwemo familia ya Nickson.Furaha waliyokuwa nayo ilizidi kifani, wakafurahi na kunywa ndani ya nyumba ya Mzee Magugu, lakini wakati wote jicho lake lilikuwa kwa Gloria, Licha ya kuwa na mke wake lakini alimuhitaji Gloria kimapenzi.
“Mama Jenifa,huyu ni mfanyakazi mwenzangu anaitwa Nickson, huyu unayemuona hapo pembeni yake ni mke wake”
Mzee alitoa utambulisho mfupi kwa Mke wake,na kuanza kupeana mikono, lakini alivyopeana mkono na Nickson kitu kama shoti ya umeme akahisi imemuingia mwilni mwake,Sura ya Nickson ilimpagawisha mke wa Bosi Magugu,ili lisigundulike hilo akatoa mkono wake haraka.Wakaendelea na Vinywaj lakini mwanamke huyu hakuwa hapo kimawazo.
***
ULIKUWA NI KAMA mchezo wa kuigiza tu lakini ndiyo ukweli, Mama Jenifa alipagawishwa na Nickson akawa anatafuta namna ya kumnasa,kichwani mwake alianza kufikiria mikakati mingi kabambe.
Siku moja aliivizia simu ya Mume wake na kuchomoa namba za Nickson, akasevu kwenye simu yake.Akili yake yote ilivurugika, kichwani alikuwepo Nickson na sio Magugu tena.
“Huyu kijana anaonekana hata kitandani ni mjuzi sana,lazima nimnase sijui inakuwaje hapa”
Aliwaza Mama Jenifa huku akijipaka mafuta mwilini asubuhi.Akatoka na kuwasha gari na kuanza safari ya kuelekea Shekilango, alivyofika Rombo Hotel akapaki gari na kuulizia kama kuna vyumba.
“Vyumba vipo ndio”
Dada wa mapokezi akampokea na hapohapo akapatiwa chumba,Mama Jenifa alipanda haraka ngazi mpaka gorofa namba tatu akaingia chumba namba 59.Kitanda kilichokuwa mbele yake kilivuta hisia zake,akajiona akiwa na Nickson wanafanya Ngono.Bila kupoteza muda akachukua simu yake na kuzipiga namba za Nickson.
“Halloo Nickson,Upo wapi?”
Hilo ndilo swali la kwanza kulitupa Mama Jenifa baada ya upande wa pili wa Simu kupokelewa.
“Nipo kazini, nani mwenzangu?”
“Mteja wako, napiga simu kutoka Shekilango kuna jambo nataka unisaidie nataka kufungua kesi”
“Kwanini usije ofisini kwetu?”
“Hapana Nickson, tafadhali naomba unisaidie,nipo chini ya Miguu yako”
Mama Jenifa alizidi kuomba na Kusihi,sauti ya Mama Jenifa hakuweza kuikumbuka tena, kutokana simu hiyo ilikuwa ni ya kazi vilevile, alijikuta anasimama na kuwaaga wafanyakazi wenzake.Ilikuwa ni saa sita ya mchana tayari,akawasha gari mpaka Shekilango alipoelekezwa.
Akaingia mpaka chumba alichokuwemo Mteja wake.Akapanda ngazi,lakini baada ya kufika alipigwa na butwaa la ajabu alivyokumkuta Mke wa Bosi wake Magugu akiwa na kanga moja peke yake amejilaza chumbani huku mapaja yake manene yakiwa wazi.
“Karibu Nickson”
Mama Jenifa alilegeza sauti yake na kusimama kitandani,mapigo ya moyo ya Nickson yakazidi kupiga kwa nguvu.
Sasa unaweza kusoma hadithi za mtunzi kway insta@storyzakway
ITAENDELEA.
(kwa hadithi nyingi za kusismua fuata hii link www.facebook.com/STORYZAKWAY.)
 
SLAVE SEX(mtumwa wa ngono)…….(39)
MTUNZI….EMMANUEL F.KWAY
Contact…+255718 862176
AGE…..(18+)
ILIPOISHIA.
.Akapanda ngazi,lakini baada ya kufika alipigwa na butwaa la ajabu alivyokumkuta Mke wa Bosi wake Magugu akiwa na kanga moja peke yake amejilaza chumbani huku mapaja yake manene yakiwa wazi.
“Karibu Nickson”
Mama Jenifa alilegeza sauti yake na kusimama kitandani,mapigo ya moyo ya Nickson yakazidi kupiga kwa nguvu.
SONGA NAYO.
Mwili wake aliuhisi una ganzi,akatamani kufanya ngono wakati huohuo na Nickson, ni wazi kuwa alimpenda kijana huyu mdogo wa umri kwake, akawa yupo tayari kwa lolote lile, ilimradi aonje ndizi yake.Nickson alikuwa kama mtu aliyepigwa na shoti ya umeme haelewi ni kitu gani akifanye, macho yake yalitua juu ya mapaja ya Mke wa bosi wake,mwili wake ukamsisimka.
“Naomba nie nie niende,au vaa basi uniambie hiyo kesi”
Nickson akashikwa na kigugumizi cha ghafla, hakuelewa kimetoka wapi.
“Nickson sogea karibu basi,mbona upo mbali?”
“Hapana,hapa pananitosha”
“Sawa, basi ngoja nikufate”
Mama Jeni au Mke wa Bosi Magugu akasimama akiwa na kanga moja, ambayo iliyafunika maziwa yake ikawa imeishia mapajani,mguu wake mnene ulibeba makalio makubwa kiasi,akatembea mpaka kwa Nickson na kumshika mashavu.
“Unajua kuwa wewe ni mzuri sana?”
“Ma..ma naomba nien…nde niwahi ofifisini”
“Unawahi wapi Nickson jamani”
Mama akapitisha mkono wake kwenye kitasa na kuufunga na funguo kisha kuzichomoa kwenye kitasa,akamuendea Nickson karibu yake,akamfuata midomoni akatoa ulimi wake, lakini Nickson akakwepesha mdomo wake.
“Nicsk…”
“Mama,mimi naomba niende bwana”
“Nickson naomba, nakuomba,nip….”
Mama akashika mashavu ya Nickson akaanza kumnyonya mdomo wake taratibu,Damu ya Nickson ikazidi kumwenda mbio, akahisi kama amepigwa shoti ya Umeme, mama huyu alichukua mkono wake na kuushusha mpaka kwenye suruali ya Nickson na kuanza kuchua Pump.Akili ya Nickson haikuwa hapo tena ilisafiri maili nyingi sana akakumbuka mateso aliyokuwa anateswa na bosi wake kazini,
akatafakari jinsi alivyodhalilishwa kama mbwa,na leo hii yupo na mke wa bosi huyohuyo aliyekuwa ana mdharau.Ilikuwa ni kama mbuzi kafia kwa mpika supu,akapata hasira akaapia kwamba ni lazima amdatishe mke huyu wa bosi ili kesho arudi tena,japokuwa mama huyo alikuwa ana mwili mkubwa Nickson alimbeba na kumtupa puu! Kitandani kisha yeye kufuata juu yake,akaitoa kanga ya Mama Jeni akaanza kumnyonya maziwa taratibu huku akiupitisha mkono wake taratibu kwenye Pango akagusa kinyama cha juu kilaini,
hapo ndipo Mama huyu alipoanza kutoa milio ya ajabu.
“Mt…ukane Mum..eo”
Nickson akatingisha kiberiti,akamkumbuka rafiki yake Akinyemi Malekano mpenda wake za watu,kila akilala na mke watu ni lazima amwambie hilo neno akazidi kukumbuka stori mbalimbali za kihuni.
“Mtukane Mum.eo”
“Mum..e aaah aaaah Mu..me wangu Msen** aaaaaah aaah Nicks..on”
“Mtukane tena”
“Mu..me wa..ngu hanisi ha…nisi ha..na lol…t..te aaaah aaah shhsss aaah”
Mama Jeni alizidi kutoa sauti za huba,Nickson hakuishia hapo alishusha ulimi wake mpaka chini akaishika miguu ya mama huyu huku na kule akaingiza kichwa chake katikati, akatoa ulimi wake na kuanza kudeki bahari taratibu sana tena bila madoido huku akitumia kidole,alitema mate juu ya mgodi na kuendelea kuulamba.
Mama Jeni alishindwa kuvumilia alichofanya ni kuendelea kushika kichwa cha Nickson, akizidi kukikandamiza kwa ndani huku akiyashikashika maziwa yake.
Hayo yote yalitokea akiwa hajitambui yupo hoi bin taaban hajiwezi.Ni kweli kwamba Nickson aliipania mechi hiyo, alitaka amkomeshe bosi wake,ikawa vita vya panzi furaha kwa kunguru.Mama Jeni alizidi kujikunja kunja, Nickson akapanda juu ya maziwa yake na kuanza kunyonya chuchu za Mama huyu mtu mzima.
Haraka haraka akavua shati lake, Mama Jeni akamsaidia kuitoa suruali yake kisha Boxa kufuatia,kabla ya Nickson kufanya lolote Mama Jeni akashika AK47 yake haraka akaiingiza ndani ya msitu wa solondo ili vita ianze.Kitendo cha Mtutu kuingia ndani ya ikulu, Mama Jeni aliachia mdomo wazi akazidi kuusikilizia,akaanza kukatika taratibu akiwa chini amewekwa kifo cha mende.Nickson akamtoa kitandani.
“Shika hapa Mama”
“Mhhh”
“Shika vizuri”
Mama akabong’oa, akawa ameshika pembe ya kitanda, Nickson akamshika kiuno kwa mikono yake miwili,akaingiza Turbo ndani ya Gear box ya Mama Jeni,hapo ndipo Mama huyu alihisi joto la hali ya juu,Urefu na unene wa Gunzi la Nickson ulimfanya Mama Jeni aanze kukatika kama feni,Nickson hakutaka kwenda mbio,Mechi hiyo alitaka asiharibu hata kidogo,akazidi kupeleka misumbwi.Mguu wa Mama Jeni mmoja ukawa umepanuliwa Nickson akachomoa akaingiza tena.
Mambo yalienda asteaste.Mama Jeni akaanza kusema siri zote za mume wake.
“Uhhh..ahaaa Nick…son na..ungu..a Mume wa..ngu ana ki..pipi hana uwezo wa kuni.fi.kisha Nickson ivyo i..vyo Ba..by aaaashhhh aaaaah”
Mama Jeni alizidi kusema kwa sauti ya huba.Huku Nickson akisikiliza kwa umakini sana siri hizo.
*****
“Nickson yuko wapi?”
Mzee Magugu alikuwa ofisini, alimuulizia Nickson baada ya kupiga simu yake bila kupokelewa.
“Aliaga,kuna kesi anafuatilia”
“Ndivyo alivyoaga hivyo?”
“Ndio bosi”
“Katoka saa ngapi?”
“Tangu saa tatu asubuhi”
Mzee Magugu alipoangalia saa yake ya mkononi ilikuwa imegonga saa tisa ya alasiri.
“Anyway endelea na kazi”
Mzee Magugu akaenda mpaka ofisini kwake na kuketi,akawa anakagua kagua makaratasi ndani ya ofisi yake,akavuta madroo akaonekana kuchanganyikiwa mno, kuna kitu alionekana akiwa anakitafuta lakini akakikosa,akatafakari kwa muda na kutoa simu yake mfukoni akaenda mpaka kwenye majina akatafuta neno WIFE akaipa simu ‘ok’ ili itoke,Simu ya Mke wake au Mama Jeni ikaanza kuita.
“Halloo Mama Jeni”
Mzee Magugu alisema baada ya simu kupokelewa.
“Abee”
“Sasa hapo Mezani!upo nyumbani kwanza?”
“Mimi?mimi ndiyo nipo Nyumbani”
Mama Jeni alidanganya.
“Hapo chumbani kuna document yangu,ndani ya kabati embu niangalizie vizuri kama ipo,ukifungua droo la katikati chini kuna bahasha kubwa ya kaki”
“Ngoja kidogo nitakupigia subiri niiangalie”Simu ikakatwa.
Mama Jeni alikuwa akiongea maneno hayo akiwa juu ya kifua cha Nickson wala sio kwake,tena amejiachia kama ndiye mume wake halali wa ndoa,akasahau kwamba alikuwa ni mchepuko tu,raha alizopewa dakika tano zilizopita zilimpagawisha mno!
Hakutamani kurudi tena nyumbani kwake akamchukia mume wake kupita kiasi,kwa kumnyima haki anayostaili.
“Sasa itakuwaje?”
Nickson akauliza huku akitabasamu,alishaelewa ni aina gani ya dozi aliyotoa, hata yeye alijikubali.
“Nicskon”
“Naam Mama”
“Usiniite Mama”
“Naam,Mpenzi”
“Nakupenda sana,hatuwezi siku tukatoka nje ya mji huu tafadhali hata ikiwezekana tutoroke tu”
“Tutoroke!?”
“Ndio”
“Twende wapi?”
“Popote pale,ili mradi tu niwe nawewe”
“Mimi nina Mke ujue”
“Hata kama Nickson,mimi sijali ili mradi nitakuwa nawewe, nipo kukufanyia chochote unachotaka”
“Kweli unataka kutoroka namimi?”
“Niamini Mpenzi,umenipagawisha sana”
“Nitafutie Milioni Mia mbili”
“Nickson!nitatoa wapi pesa zote hizo?”
“Iba hata kwa mumeo,kwani hujui akaunti zake za benki,kama hutaki basi achana na mimi”
Nickson akatingisha kiberiti.Alifanya ivyo makusudi,nia yake ilikuwa Mzee Magugu aibiwe pesa katika akaunti zake zote hata za ofisi ili afikuzwe kazi, kwa upande mwingine Mzee Magugu alikuwa ni muhasibu mkuu na huo ndiyo ulikuwa wakati wa Nickson kumtesa Mzee Magugu,akataka kumfunza adabu na kulipiza yote yaliyotokea nyuma.
“Sawa,nitajaribu Mpenzi”
Ni kweli, kwa jinsi Mama Jeni alivyopagawishwa alikuwa yupo radhi kufanya chochote ilimradi Nickson afurahi.
Sasa unaweza kusoma hadithi za mtunzi kway insta@storyzakway
ITAENDELEA.
(kwa hadithi nyingi za kusisimua fuata hii link www.facebook.com/STORYZAKWAY.)
 
SLAVE SEX(mtumwa wa ngono)…….(40)
MTUNZI…..EMMANUEL F. KWAY
Contact….+255718 862176
AGE….(18+)
ILIPOISHIA
Alifanya ivyo makusudi,nia yake ilikuwa Mzee Magugu aibiwe pesa katika akaunti zake zote hata za ofisi ili afikuzwe kazi, kwa upande mwingine Mzee Magugu alikuwa ni muhasibu mkuu na huo ndiyo ulikuwa wakati wa Nickson kumtesa Mzee Magugu,akataka kumfunza adabu na kulipiza yote yaliyotokea nyuma.
“Sawa,nitajaribu Mpenzi”
Ni kweli, kwa jinsi Mama Jeni alivyopagawishwa alikuwa yupo radhi kufanya chochote ilimradi Nickson afurahi.

SONGA NAYO.
Moyo wa Nickson ulijawa furaha ajabu,aliamini kwamba muda wake wa kulipiza kisasi umewadia tena kwa njia ya kufanya ngono na Mke wa Magugu,mambo yaliyopita nyuma ya kudhalilishwa mbele ya wafanyakazi wenzake yalimuumiza moyo bado,kwa muda mrefu sana alifikiria ni kitu gani akifanye ili amkomoe Bosi wake Magugu,Kwake ikawa kama ‘Ahsante Mungu’.
Wakapigana madenda na Mama Jeni kisha kusimama na kuchukua Suruali yake.
“Darling,hauogi sasa?”
Mama Jeni aliuliza akiwa bado kitandani amelishikilia shuka.
“Wacha niwahi ofisini,nitaoga home”
Furaha aliyokuwa nayo hata kuoga alisahau.Simu ya Mama Jeni iliita na aliyepiga alikuwa ni Mume wake,alijua kwamba aliataka kujua amefikia wapi kuhusu Documents.
Hakutaka kuipokea simu, akazidi kumuangalia Nickson kwa jicho la huba.
“Nitakumisi Nickson,kesho uje tena basi”
“Nawewe usisahau,nilichokwambia”
“Mimi siwezi kusahau wiki hii tu nakupa hiyo pesa,lakini usije ukaniacha kwenye mataa baada ya kuchukua hizo pesa”
“Siwezi kukuacha Mpenzi wangu,nakupenda”
Nickson akajifanya kumsifia mke wa bosi wake.Baada ya Nickson kuondoka na kumuacha Mama Jeni Rombo Hotel akiwa mwenye furaha kedekede akaamua kunyoosha moja kwa moja nyumbani kwake,kwa kuwa muda ulikuwa tayari umekwenda,hakutaka tena kurudi ofisini kwake.Akafika nyumbani kwake saa kumi na moja.
“Mbona leo mapema Love?”
Gloria alimtupia swali mume wake!
“Uchovu,uchovu tu sijisikii freshi hata hivyo”
“Pole Mume wangu,ukaoge basi alafu upumzike”
“Poa poa,Sonia kesharudi kutoka shule?”
“Bado”
“Okay”
Nickson akapita chumbani akavaa taulo na kuingia bafuni,akaoga na kutoka, hapo alijitupa kitandani na usingizi ukampitia.
***
AKILI YAKE HAIKUWA KWA MAGUGU TENA,ikahama akawa kila wakati anamkumbuka Nickson,mapenzi motomoto aliyompa kitandani siku chache zilizopita yalimfanya ashindwe kufikiria sawasawa,alikiri kwamba kijana mdogo Nickson ambaye ni kama ‘Serengeti boy’kwake,aliyajua mambo sio kitoto, alidiriki kusema kwamba,hakuna mwanaume kama Nickson.Na kumbatiza Jina na kumuita ‘Mwanaume wa Shoka’.Kwenye simu yake alimsevu DICKSON II akimaanisha kuwa kuna DICKSON mwingine ndani ya simu yake,huyo alikuwa ni mdogo wake.
Mama Jeni alikuwa mwenye akili kupita kiasi,huo ndiyo ujanja alioutumia hata ikitokea siku Nickson kapiga simu akiwa na mume wake asingeweka mashaka yoyote yale.Kilichomuumiza kichwa wakati wote ni jinsi gani atakavyoenda kupakua shilingi milioni Mia mbili ili amkabidhi Nickson,aliwaza na kuwazua.
Kadi za mume wake sio kwamba hakujua zilipo lakini kilichomnyima raha ni namba za siri,hakuwa nazo.
“Mhh,sijui itakuwaje anipe namba za siri za akaunti yake”
Aliwaza Mama Jeni,akijaribu kutafakari ni mbinu gani aitumie.Akili ya Mama Jeni ilifanya kazi kwa kasi, mithili ya kompyuta isiyokuwa na mafaili,akasubiri siku iliyofuata Mume wake yupo kazini akampigia simu,akimueleza kuwa yupo kwenye mashine za ATM na kadi yake imemezwa na mtambo,hivyo anahitaji pesa ana dharura.
“Sasa itakuwaje?”
Mama Jeni akauliza.
“Alafu…juzi hukunijibu ulikuwa wapi,kila nikikuuliza unapindisha swali langu,nilikupigia simu ukadai upo nyumbani ukanikatia simu yangu leo unaniambia una shida, nashindwa kukuelewa ujue Mama Jeni”
“Mume wangu,naomba tuongee hayo maswala baadaye,tutamalizana baadaye sasa hivi nimekwama hapa,nahitaji msaada wako naomba nitajie pin zako ili nitoe pesa kwenye akaunti yako”
“Ina maana umebeba mpaka kadi yangu?”
“Uliisahau mezani”
“Tisa,tisa,mbili,nne”
“Tisa au sita?sijakusikia vizuri”
Mama Jeni alisikia vibaya ikamfanya aulize tena.
“Tisa,Nine”
“Okay ahsante Mume wangu”
Hapo hapo Mama Jeni akachomeka kadi ndani ya mashine ya ATM kitu cha kwanza kuangalia ni salio,alipigwa na butwaa baada ya kukuta kuna salio ya shilingi milioni mia sita na laki tatu na tisini na mbili.Moyo wake ukapiga paa!akabaki akitetemeka hakuelewa ni kitu gani akifanye,alichofanya siku hiyo ni kutoa kiasi kidogo cha pesa shilingi laki moja ili mume wake asije kushutuka baadaye,Maadam alishajua namba za siri hakupata shida yoyote, alivyomaliza kuchota pesa aliingia ndani ya gari na kurudi haraka nyumbani kwake, akifikiria ni kwa namna gani aibe pesa za mume wake na kumkabidhi Nickson maana tayari alishakuwa MTUMWA WA NGONO kwa Nickson,hakuwahi kupewa dozi kama hiyo.
***
Miguu ya Mama Jeni ilikuwa imepanuliwa huku na kule yupo uchi wa mnyama,kichwa cha Nickson kikiwa katikati ya miguu ametoa ulimi wake anadeki bahari,Mama Jeni alikuwa hajiwezi tena keshatoa sauti zote mpaka akachoka, kwa raha alizohisi hata angetokea simba asingethubutu kukimbia.Ni kwa mara ya pili kukutana na Nickson na siku hiyo aliona kama dozi ilizidi.
Siku hiyo Nickson aliipania sababu alikuwa amepaka asali juu ya mgodi wa mama Jeni akawa anaunyonya barabara!Ni dhahiri kwamba mama huyu alihisi mambo kama hayo hayapo duniani,Nickson alimpatia sio utani,Nido zake zilikuwa zikitomaswa na vidole vya Nickson hususani juu ya chuchu,ndiyo likawa tatizo lingine,Nickson akatoa ulimi wake na kuanza kulamba kitovu akapanda juu shingoni akamnyonya shingo akapita na kuingiza ulimi wake sikioni.Mama Jeni alihisi mwili wake kama umepigwa na shoti ya umeme, aliweweseka hakuelewa ashike kipi aache kipi,mara amkwaruze mgongoni Nickson na kucha zake mara avute vute mashuka ili mradi vurugu tupu.
Nickson hakujali hayo aliendelea na kibarua chake utadhani ameajiriwa vile,akazidi kuchapa kazi.Taratibu akaanza kupitisha kidole chake chini ambapo alikumbana na nyasi chache chache ambazo zilikuwa zinaota kwa mbali, akazidi kuupeleka mkono wake chini mpaka kwenye andazi la mama Jeni, akaingiza kidole cha katikati ndani,mara akiingize mara akitoe, mchezo huo ukaendelea na kumfanya Mama Jeni aanze kukatika taratibu akahisi raha za ajabu,kidole cha Nickson kilizidi kupenya ndani kikatoka nje kikakumbana na nyama laini ya juu ya MAMA JENI,alivyohisi ameishika vizuri, Nickson akashusha kichwa chini na kuanza kukilamba kitu hicho kilichofanana na kiharage.Hata angekuwa mwanamke wa aina gani kwa jinsi alivyofanyiwa Mama Jeni asingeweza kutoka sababu ndiyo sehemu ya udhaifu ya wanawake wengi.
Nickson hakuwa na papala mpaka alivyohisi kidole chake kina maji maji,hapo ndipo alipoona ndiyo muda muafaka wa kucheza mechi ambapo wachezaji wake watakuwa wanateleza tu bila kuchubuka.Taratibu akauchukua mguu wa Mama Jeni wa kulia na kuuweka begani kwake, akajisogeza karibu na kuingiza MKUNGU wake ndani,akauzamisha taratibu mno mpaka akahisi hapo ndiyo ukingoni akautoa na kuuweka tena, mambo yalikuwa yanaenda taratibu sana huku midomo yao ikiwa imegusana yaani wanapigana denda.Mama Jeni alitoa miguno ya ki utu uzima,akawa anahema ndani kwa ndani mikono yake miwili imeshika makalio ya Nickson anamkandimizia ndani ya Mgodi wake.Nickson akazidi kupeleka majeshi majeshi akazidi kuupeleka Mwiko wake kila pembe, kama mtu anayepiga mswaki, mara magharibi, kidogo Mashariki hakusahau Kusini na kumalizia na Kaskazini kila pembe aliigusa,Mama Jeni akapinduliwa akawa amelalala chali,Nickson akavuta mto akamuwekea chini ya tumbo, akawa amebinuka kwa nyuma yaani ‘dog style’Hapo ndipo mama huyu mtu mzima alihisi kuchanganyikiwa,

Nickson akawa anampiga makofi kwenye makalio ‘paaaaa’ yakawa yanalia kwa nguvu,hapo Mama Jeni alizidisha spidi.
“Ahhhs aaaah,Mhhh aaashsss mhhh Nick….son na…ku..peeeeeeeeeenda baaab…y aaashh aashsss”
Mama Jeni alitoa sauti za puani akibubumia kwa raha zisizoweza kuhesabika hata kidogo! Ni wazi kwamba milioni mia mbili zilikuwa za Nickson bila ubishi wowote ule.Kwa uhodari wa hali ya Juu Nickson alivyoshinda goli la kwanza hakuweka mpira kati, aliunganisha hapohapo juu kwa juu,Mama Jeni akashindwa kuelewa mchezo huo ni wa aina gani,itawezekana vipi goli lifungwe bila ya mpira kuwekwa kati?alijiuliza Mama Jeni huku jasho likimtoka sababu ya kukosa mapumziko,Nickson akazidi kupeleka misumbwi,kila dakika alimuweka mikao tofauti,Mpaka anashinda goli jingine Mama jina alishinda magoli tisa bila ya kutegemea.
“Nikiiii”
Mama Jeni akaita kwa sauti ya uchovu,Nickson alikuwa amempa Mgongo,amelala.
“Yes”
“Nakupenda,nakuhakikishia kuwa milioni mia mbili nakupa leoleo hata kwa kuvamia benki,Nita muuwa hata mume wangu”
Mama Jeni alijikuta akiongea maneno hayo,kudhihirisha alipagawishwa kupita kiasi.HIVYO NDIVYO ILIVYOKUWA jioni ya siku hiyo Mama Jeni alinyoosha mpaka CRDB mnazi mmoja tawi la vijana,akaingia kwenye mashine za ATM akachota milioni Moja,alipotaka kujaribu kutoa tena ikashindikana, kiwango cha pesa kilikuwa kimefika mwisho kutoa kwa siku hiyo,akakasirika, akaingia kwenye akaunti zake nyingine nne na kuchota Milioni moja katika kila akauti,akarudi ndani ya gari mkuku mpaka nyumbani kwake.
Fikra zote zilikuwa kwa kijana Nickson, ilikuwa ni lazima amkabidhi shilingi milioni Mia mbili za Kitanzania kivyovyoite vile,kila sekunde mkanda kama wa sinema ulimiminika kichwani mwake akaona jinsi walivyokuwa wakifanya ngono na Nickson,akatamani tena na tena!
“Mama Jeni”
Mzee Magugu aliita siku hiyo wakiwa seblen usiku baada ya kumuona mke wake ameganda akiwa kama anatafakari kitu.
“Abee”
“Upo sawa?”
“Ndio nipo sawa”
“Kweli?”
“Ndio,Nickso…ooh Mume wangu”
Mzee Magugu hakusikia vizuri,akamtizama mke wake.
“Punguza Mawazo,utakufa kwa presha”
“Sawa Baba”
Mama Jeni aliwaza na kuwazua usiku kucha hakupata usingizi hata kidogo,mikakati mingi ilikuwa ikipita kichwani mwake ni jinsi gani atapata milioni mia mbili na kumkabidhi Nickson.Akatabasamu kidogo baada ya kukumbuka kitu.
“Nauza gari yangu moja,kumbe jibu nipo nalo nina magari mawili nauza moja kesho kesho,Alafu mimi bwana….”
Hicho ndicho kilichotokea ndani ya akili yake,kulivyokucha tu, akaanza kuwapigia simu madalali.
“Ndio Safi,Marced benz… ndio ndio unasema? ni cc 3200 ni mpya kabisa hata mwaka haijafikisha,ndio sasa sikia, njoo ulione mwenyewe uangalie vitu vingine mwenyewe,okay okay leoleo njoo saa nane,ndio hapa nyumbani,Ahsante”
Mama Jeni alikuwa simuni anazungumza na dalali maarufu wa magari nchini Tanzania aliyejulikana kwa jina la SAFI GUSHU,akafurahi na kuingia bafuni kuoga.
***
Nickson alishaona nguo ya ndani ya Mke wa bosi wake akaujua uchi wake. Zaidi na hapo alikuwa akisubiri kitita cha milioni Mia mbili,udenda ulimtoka, kila alivyokumbuka maneno ya Mama Jeni kuhusu Bosi wake Magugu alikuwa akicheka na kutabasamu.Alijiona yeye ndiye mwanaume wa shoka!
“Tito mwanangu embu njoo nikwambie”
Siku hiyo Nickson alipita na kumuita Tito,jinsi uso wake ulivyokuwa na tabasamu Tito akatamani kujua ni kitu gani.
“Nije ofisini kwako?”
Tito akauliza.
“Ndio,njoo nikwambie”
Tito akamfuata swaiba wake nyuma na wote kuzama ndani ya ofisi kubwa yenye fanicha za bei mbaya.Nickson akachukua rimoti na kubonyeza kitufe chekundu, Kiyoyozi kikaanza kupiga kelele,ubaridi wa AC ukaanza kutoka.
“Za siku nyingi mshkaji?pole na safari vipi Mbeya huko?kwanza hongera”
Mazungumzo yalianza baada ya salamu.
“Ahsante,kesi ile nilishinda lakini kwa mbinde ujue,namshukuru Mungu lakini Niki mwanangu sikufichi Mbeya kuna mademu hatari,wanyakyusa wazuri khaaaa,wanagongana hao watoto wana mauno kishenzi”
“Inabidi kwanza wik endi hii tukutane tuongee vizuri,unipe stori zote maana najua ukianza hutomaliza”
“Hilo pigia mstari,nimerudi akaunti inasoma wife nimempiga pesa zake katulia,sasa nataka hiyo Wik end niwe na Neema,unamkumbuka?”
“Namkumbuka vizuri,yule aliyekuja na Pendo sijui Wema Sepetu?”
“Ewaaa huyo huyo,embu niambie kwanza umeniitia nini?”
“Si unakumbuka Bosi alikuwa akileta dharau bwana,kumbe hana lolote ndani”
“Mhh,Kivipi?sijakuelewa”
“Mke wake kanibwagia manyanga,mimi ndiyo namtia siku hizi,kaniuzia ubuyu wote”
Nickson alizungumza Kiswahili cha geto!
“Acha masihala”
Hapo ndipo Nickson alipoanza kumsimulia swaiba wake kila kitu kilichoendelea, lakini hakumwambia kuhusu milioni Mia mbili, hiyo ilibaki kuwa siri yake.
“Safi sana mwanangu,safi sanaaaaa,mimi ndiyo nilitaka ufanye ivyo ana mwanaye pia anaitwa Jenifa,unamfahamu?”
“Hapana”
“Yupo Morogoro chuo,nayeye pita naye kudadeki,fanya hivyo yeye si anakuonesha dharau wewe tulia alafu fanya manuva,mto*** mwanaye pia,ayayaya mwanangu umenifurahisha,nitakununulia kreti tano za bia,nipe gwala”
Moyo wa Tito ulifurahi kupita kiasi, wakagonga tano,alimpongeza Nickson mara mbili mbili.
****
Alikuwa ni mtu kama asiyeamini macho yake,ndani ya begi kulijaa mabunda ya pesa.Akazidi kumtizama Mama Jeni aliyekuwa mbele yake wapo ndani ya hotel,chumba kimoja.
“Hizo hapo mpenzi wangu tena ni milioni Mia tatu love”
Nickson alizidi kuyatumbua macho yake kama mjusi aliyebanwa na Mlango!
“Lakini nakuomba kitu kimoja”
“Kitu gani?”
“Nataka tutoroke,maana hizo pesa zingine nimeziiba,na ikijulikana nitauwawa”
Sasa unaweza kusoma hadithi za mtunzi kway insta@storyzakway
ITAENDELEA.
(kwa hadithi nyingi za kusisimua fuata hii link www.facebook.com/STORYZAKWAY.)
 
Duuuuh tito nae hajambo kwa kumshauri ufirauni mwenzake... Mi naisubilia tu safari ya moro ya kwenda kumgegeda na mtoto.. Jenifa ajiandae kabisaaaaaaa maana Nikki anataka kula kuku na mayai yake
 
Na ngoma pia anaisambaza asee
Duuuuh tito nae hajambo kwa kumshauri ufirauni mwenzake... Mi naisubilia tu safari ya moro ya kwenda kumgegeda na mtoto.. Jenifa ajiandae kabisaaaaaaa maana Nikki anataka kula kuku na mayai yake
 
Back
Top Bottom