SLAVE SEX(mtumwa wa ngono)…….(37)
MTUNZI….EMMANUEL F.KWAY
Contact….+255718 862176
AGE….(18+)
*****
Gloria aliruhusiwa kutoka hospitalini baada ya hali yake kuonesha matumaini,akarudi nyumbani akapumzika.
“Mama ulikuwa unaumwa?”
Sonia akamuuliza Mama yake baada ya kumuona ana bandeji na P.O.P mkononi,moyoni alitaka kujua nini kilimsibu Mama yake ambaye aliambiwa amesafiri kwenda Mkoani Singinda,Badala ya Gloria kumjibu Mwanaye, alipita tu mpaka chumbani akajilaza na kutafakari ni kitu gani akifanye.Bado hakuamini kama ni kweli Nickson aliyemfahamu kampiga nusura amuuwe,alibakia kuamini kwamba ilikuwa ni ndoto tu.Kutokana na uchovu mwingi alipitiliza na kulala fofofo.
Kilichomzindua kutoka usingizini ni Nickson kuufungua mlango wa chumbani.Nickson hakutoa salamu yoyote akapitiliza mpaka bafuni kutoa haja ndogo na kurudi kitandani akamtizama Mke wake na kukaa kitako kitandani.
“Vipi hali yako?”
Lilikuwa ni swali kutoka kwa Nickson,Gloria akalichukulia kama ni usanifu wa hali ya juu, badala ya kujibu akaangalia pembeni.Nickson hakuangaika naye akatoa nguo zake mwilini akavaa taulo na kuzama bafuni kuoga,alivyotoka alivaa kaptula na tshirt.
“Unaenda wapi?”
Gloria akauliza baada ya kuona maandalizi hayo ya usiku usiku!
“Nipo hapo Seblen na Sonia”
“Aya”
Nickson akatoka mpaka Seblen, ni kweli alikuwa na mtoto wake Sonia,anamfundisha mambo mbalimbali.
“Ujifunze kusamehe siku zote,usiwe una dharau mwanangu,hata ukiwa mkubwa una pesa usiwanyanyase maskini”
“Dad,hata mimi shuleni mwalimu huniambia hivyo hivyo,ananiambia eti mimi ni mzuri sana”
“Ndio wewe ni mzuri mwanangu kama malaika,hakuna mtu mbaya hapa Duniani,Wote tumeumbwa na Mungu”
“Dad….”
“Yes”
“Mama amefanya nini?”
“Mama yako?”
Sio kwamba Nickson hakusikia swali,alitaka kulijibu ki utu uzima ili mtoto wake asijue lolote, hakutaka kumuweka wazi kwa lolote lililotokea kwani alikuwa bado mdogo sana kuyabeba mambo mazito.
“Kwani umemuuliza?”
“Ndiooooo”
“Akasemaje?”
Sonia akatingisha kichwa kukataa kuwa ajaambiwa chochote. Japokuwa alikuwa ni mtoto mdogo lakini alikuwa ana upeo mkubwa wa kuchanganua mambo, alimpenda sana baba yake kuliko kitu kingine chochote kile duniani.
“Home work umefanya?”
Nickson akauliza akipoteza mada, hakutaka mwanaye amuulize habari yoyote kuhusiana na Mama yake kupata majeraha.Siku zikazidi kwenda mbele, Nickson na Gloria wakawa hawapikiki chungu kimoja wakiwa chumbani, lakini wakitoka nje walijifanya kuongea,hakuna mtu yoyote aliyekuwa akijua siri ya nini kiliendelea chumbani kwao.
“Gloria,Gloriiia,si nakuita”
Nickson aliita lakini hakuitikiwa, Zaid tu aliitikiwa kwa misonyo kutoka kwa Mke wake huku akijifunika shuka Gubigubi.asubuhi wakiwa na Sonia ndipo walipopata muda wa kuongea.
“Mama Sonia”
“Abeee Baba”
“Jumamosi kuna semina,inabidi twende na Sonia kwenye maombi”
“HAKUNA SHAKA,Sonia umesikia?”
“Ndio Mama”
Huo ndiyo ulikuwa mchezo wao, Sonia alifurahi kuwaona wazazi wake wakiwa pamoja,aliwaona wakiwa wenye furaha kuliko wazazi wowote wale aliowahi kuwaona,walikula pamoja walicheka pamoja na kukumbatiana mbele ya Sonia, lakini walipofika Chumbani,walikuwa ni maadui wakubwa.
“Sasa tutaishi kwa kuakti mpaka lini Gloria?”
Ulikuwa ni usiku wa saa saba, Nickson alikaa kitako na kumuuliza mke wake,alichoka na maisha hayo.
“Mpaka kifo,usiniongeleshe una shida gani?wewe bwege nini”Gloria alijibu kwa hasira na kurudisha kichwa chake upande wa pili.
“Gloria nakupenda mama,ile ni misunderstanding tu ya kawaida,jaribu kusahau tusonge mbele mimi nakupenda,hivi ni mwanaume gani utakayampata kama mimi,jaribu kuvuta kumbukumbu ni mambo mangapi umenifanyia nikasahau mke wangu?yaliyopita si ndwele tugange yajayo”
Nickson alijaribu kutumia kila aina ya maneno matamu akaweka na mithali, akimuimbisha mke wake aweze kumsamehee ili waweze kusonga mbele na maisha, wasahau yaliyopita.Nusu saa nzima alikuwa akipiga saundi za mjini lakini hazikuzaa matunda,Gloria alikuwa upande wa pili amejifunika amempa mgongo hana habari, maneno aliyoambiwa yalipita sikio ya kushoto na kutokea upande wa pili,Nickson hakukata tamaa ni wazi kwamba alimpenda sana Gloria kupita maelezo yaliyojitosheleza,akasimama kutoka kitandani na kuzunguka mpaka upande wa Gloria akapiga magoti akaweka mikono yake kifuani kama mtu anaye sujudu!
“Gloria, am so sorry my WIFE” (Gloria nisamehe mke wangu)
Kitu kama mkanda wa filamu vikapita kichwani kwa Gloria ukapiga ‘rewind’akaona mambo yote yaliyotokea katika maisha yake, jinsi alivyotolewa kijijini Moshi akiwa katika mateso ya kukata kuni migombani,akajiona jinsi alivyokuwa mshamba wa kutupwa akaletwa mjini akaoga maji safi ya Dar es salaam.Moyo wake ulimsuta kupita kiasi alijiona ni aliyestaili moto wa shetani akaelewa kwamba Mwanaume aliyekuwa mbele yake hakustaili kupiga magoti,akili ikamjia hapohapo hakuelewa ni kitu gani kilimkumba, kwa mara ya kwanza akaanza kulia huku akimtizama Mume wake Nickson aliyekuwa mbele yake kapiga magoti.
“Nic…kson”
Gloria aliita akiwa katika kwikwi.
“Naa..m”
“Nakupenda,naomba nisamehee”
Maneno hayo yalitamkwa na Gloria akiwa katika hali ya majuto,wote wakakumbatiana wakaanza kunyonyana midomo yao kama njiwa!
Hakuna kitu kilichofuata hapo Zaidi ya kuanza kushikana shikana kila sehemu ya miili yao,Mkono wa Gloria japokuwa ulikuwa bado mbovu lakini hakuyasikia tena maumivu, alihisi ana Amani ya moyo,kwa kuwa tayari Gloria alikuwa ndani ya vazi ya kulalia yaani ‘Night dress’iliyokuwa laini inaonesha kila kitu ndani yake,ukichanganya na Weupe wa msichana huyu Gloria na Mapaja manene aliyojaaliwa, Nickson akajikuta tayari amesimamisha fimbo yake bila kutegemea akamfuata mdomoni na kutoa ulimi wake,Gloria akaumeza wakaanza kulana denda taratibu sana ndimi zao zikawa zinacheza ndani kwa ndani huku kila mtu akiguna na kutoa mihemo ya ndani kwa ndani.Kutokana ma Gloria Kucheza mechi nje nyingi ilimfanya awe mbunifu akasogeza kichwa chake kwa chini kidogo akaitoa boxa ya mume wake akatoa kombola na kuliweka mdomoni, akaanza kulinyonya huku mkono wake mmoja ukiwa juu kifuani kwa Nickson unapapasa ‘garden love’Nickson akahisi kupaa akajiona yeye ndiye mmiliki wa dunia nzima na sio Mungu tena,akajihisi yupo juu yake anaviangalia viumbe vingine vyote kwa chini,Gloria hakuishia hapo,akazidisha njonjo na madoido akatoka hapo akaenda sikioni kwa Nickson na kupitisha ulimi wake ndani,Nickson akahisi kama amepigwa na shoti ya umeme mwilini wake wote ukawa umekakamaa.Katika hali ya ghafla nayeye akampindua mke wake akawa juu yake akabinua kamab ya ‘night dress’Gloria akabaki kifua wazi,hapo ndipo Nickson alipoanza kuyanyonya maziwa haya yenye chuchu nyeusi kwa juu huku mkono mmoja taratibu ukishuka kwenye ikulu,akakitafuta kinyama kilichokuwa juu kidogo kiilchofanana na kiharage akaanza kukisugua taratibu sana akitumia kidole kimoja,Gloria akawa hajiwezi tena anahangaika akawa anavuta vuta mashuka huku akiinua shingo yake juu mara anamshika Nickson mkono wake.
Akahisi raha za ajabu kupita kiasi akajiona yupo angani ana paa.Nickson akazidi kufanya shughuli yake, hakukomea hapo tu,alishusha mdomo wake baada ya kutoka kuyanyonya maziwa ya Gloria akaanza kumyonya kitovu mara akashuka mpaka chini akawa ameishika Miguu ya Gloria huku na kule akaweka kichwa chake katikati ya miguu akazama chumvini akatoa ulimi wake akaanza kulamba akautumbukiza kabisa ndani ya mgodi akawa kama anapiga denda.Hapo ndipo Gloria alianza kuongea kichaga.
“Yes…. Aaaa aaaah sshhsss kereeeeeu…..wiii Uuuuuuh aaaaah ssshss hapoha…po Nick….son us..ito…e ul..imi ivy….o ivyo”
Kelele hizo zilizotoka puani mwa Gloria zikazidi kumpa Stimu Nickson na kuzidisha kasi ya mashambulizi,alivyohisi ndani ya mgodi kuna utelezi Nickson akatoa Boxa yake kisha kumseti nyoka wake aina ya KUBOKO vizuri, akamtumbukiza ndani ya shimo vizuri nayeye akapita vizuri mpaka mwisho,filimbi ikapigwa mechi ikaanza hapo hapo.
****
“Noo siwezi Patrick,haya mahusiano yetu yaishe,ukiendelea kunisumbua nitaliambia kanisa zima,mambo unayoyafanya”
Maneno hayo alitamka Gloria akiwa mkavu, kwa mara ya kwanza Mchungaji Patrick alidhani wenda ni maigizo na Gloria hakuwa Siriazi.Akaendelea kumtomasa.
“Patrick niache nakwambia”
Mkono wa Mchungaji Patrick ukatupwa mbali,Gloria akasimama kutoka kitini,malumbano hayo yaliendelea wakiwa ndani ya Ofisi ya mchungaji.
“Mbona sikuelewi Gloria eeeh?”
“Hunielewi nini?Nimechoka siwezi. Na huu mchezo naomba uishe leo hii hii mambo tuliyofanya yabaki kuwa historia tu,nimerudiana na Mume wangu rasmi sitaki tena mambo yako,nampenda Nickson”
“Haiwezekani”
“Itawezekana tu,utake usitake”
Mchungaji Patrick alimtizama Gloria kwa macho ya masikitiko makubwa sababu alikuwa tayari amechelewa yaani amekumbuka shuka kumeshakucha.Uhakika wake ulikuwa kwamba Gloria tayari keshapata maambukizi ya virusi vya ukimwi.
“Okay,lakini umechelewa”
“Nimechelewa nini?”
“Safari njema,Mimi nitajua cha kufanya”
“Usinitishie wala nini”
Gloria alijitamba hakuelewa Mchungaji Patrick ana maana gani,akasimama na kuondoka zake.
****
UKWELI NI KWAMBA GLORIA ALIAMUA KUBADILIKA NA KUZIDISHA UPENDO KWA NICKSON,akampenda kupita kiasi ili mapenzi kuyanogesha ilikuwa kila Jumamosi na Jumapili watoke kwenda maeneo mbalimbali ya jiji la Dar es salaam wakiwa na mtoto wao Sonia.Siku hiyo waliamua kwenda kula chakula cha mchana NEW AFRICA HOTEL ili mradi tu wabadili mazingizra,Gloria akafurahi,Sonia ndiyo usiseme akajihisi ni mtoto wa Kishua,Hotel hiyo ilikuwa ya kisasa,walivyomaliza kula,wakatoka nje sababu jioni ilikuwa teyari imefika.Wakaingia ndani ya gari lao la kifahari LANDCRUISER V8 wakaanza safari,Nickson akawa bize kwenye usukani muda wote anatabasamu.Ghafla walivyofika maeneo ya Kariakoo mtaa wa kongo, kupitia ‘site mirror’ za nje pembeni Nickson aliona Deffender zinakuja kwa kasi ya ajabu nyuma yake, mbili zikampita kwa spidi na mbili zikabaki nyuma yake.Katika hali ya kushangaza Diffenda zilizompita zilipiga breki za ghafla wakashuka askari watano ardhini huku wakiwa na mitutu mabegani kumi wakatoka kwenye magari ya nyuma,Nickson akaweka mguu kati akapiga Breki,hapo hapo maaskari wakaliliweka gari lake kati,Wakalizingira!
“’Fungua Kioo”
Askari mmoja aliamuru,kwa mbali Nickson aliisikia sauti hiyo,akakubali kushusha kioo.
“Habari za wakati huu afande?”
“Salama shuka ndani ya gari”
Gloria na Sonia walikuwa wakitetemeka kupita kiasi, lilikuwa ni tukio la kutisha kwao.Nickson akatoa mkanda wa gari na kuteremka, akatii amri ya jeshi la polisi.
“Twende huku,fungua boneti fanya upesi”
Askari mmoja aliamuru akiwa na mtutu begani,raia walikuwa tayari wameanza kujazana ili kushuhudia tukio zima,kama kawaida ya wabongo wenye simu za kisasa walianza kupiga picha.Nickson akajiamini na kuvuta boneti la gari mlango wa nyuma ukafunguka.Macho yake yakashangaa kuona boxi kubwa,katika akili yake hakukumbuka kama aliweka kitu kama hicho ndani ya gari lake.
“Hicho nini?”
LILIKUWA ni swali kutoka kwa Kamishna wa polisi wa wilaya ya Ilala, afande Miraji.
“Sijui afande”
“Hujui sio?”
“Ndiyo”
“Litoe”
Nickson alilitizama boxi hilo,kabla ya kufanya lolote aligeuka kwa maaskari.
“Hapana siwezi kuligusa,nyie ndiyo mlitoe au kama kuna askari mwenye gloves afanye ivy….”
Nickson kabla ya kumalizia sentensi alipigwa na kitako cha mtutu akajing’ata ulimi damu zikaanza kumvuja akalazimishwa alishike boxi lililokutwa ndani ya gari lake,Kwakuwa alikuwa ni mwanasheria na anajua sheria hakutaka kufanya ivyo kuogopa kusingiziwa kesi au kupoteza ushahidi.Wakazidi kumpiga mpaka akadondoka chini akawa anavuja damu.Gloria na Sonia walivyotaka kutoka nje walitulizwa.
“Af…ande siiwe…zi kushika hilo boxi mimi silijui”
Nickson aliongea akiwa katika hali ya uchungu,akapigwa kirungu cha kichwa kikampasua vibaya sana akawa anavuja damu nyingi sana zinamchuruzika kama mchuzi unaovuja kwenye sufuria.
“Afande Moses,embu toa hilo boxi”
Boxi likavutwa,likafunguliwa hapohapo Askari wote wakatupa macho ndani, wakashtuka baada ya kukuta kichwa cha ALBINO.
Sasa unaweza kusoma hadithi za mtunzi kway insta@storyzakway
ITAENDELEA.
(kwa hadithi nyingi za kusisimua fuata hii link
www.facebook.com/STORYZAKWAY.)
[12:25, 2/28/2016] EMMANUEL RIWAYA: SLAVE SEX(mtumwa wa ngono)…….(39)
MTUNZI….EMMANUEL F.KWAY
Contact…+255718 862176
AGE…..(18+)
ILIPOISHIA.
.Akapanda ngazi,lakini baada ya kufika alipigwa na butwaa la ajabu alivyokumkuta Mke wa Bosi wake Magugu akiwa na kanga moja peke yake amejilaza chumbani huku mapaja yake manene yakiwa wazi.
“Karibu Nickson”
Mama Jenifa alilegeza sauti yake na kusimama kitandani,mapigo ya moyo ya Nickson yakazidi kupiga kwa nguvu.
SONGA NAYO.
Mwili wake aliuhisi una ganzi,akatamani kufanya ngono wakati huohuo na Nickson, ni wazi kuwa alimpenda kijana huyu mdogo wa umri kwake, akawa yupo tayari kwa lolote lile, ilimradi aonje ndizi yake.Nickson alikuwa kama mtu aliyepigwa na shoti ya umeme haelewi ni kitu gani akifanye, macho yake yalitua juu ya mapaja ya Mke wa bosi wake,mwili wake ukamsisimka.
“Naomba nie nie niende,au vaa basi uniambie hiyo kesi”
Nickson akashikwa na kigugumizi cha ghafla, hakuelewa kimetoka wapi.
“Nickson sogea karibu basi,mbona upo mbali?”
“Hapana,hapa pananitosha”
“Sawa, basi ngoja nikufate”
Mama Jeni au Mke wa Bosi Magugu akasimama akiwa na kanga moja, ambayo iliyafunika maziwa yake ikawa imeishia mapajani,mguu wake mnene ulibeba makalio makubwa kiasi,akatembea mpaka kwa Nickson na kumshika mashavu.
“Unajua kuwa wewe ni mzuri sana?”
“Ma..ma naomba nien…nde niwahi ofifisini”
“Unawahi wapi Nickson jamani”
Mama akapitisha mkono wake kwenye kitasa na kuufunga na funguo kisha kuzichomoa kwenye kitasa,akamuendea Nickson karibu yake,akamfuata midomoni akatoa ulimi wake, lakini Nickson akakwepesha mdomo wake.
“Nicsk…”
“Mama,mimi naomba niende bwana”
“Nickson naomba, nakuomba,nip….”
Mama akashika mashavu ya Nickson akaanza kumnyonya mdomo wake taratibu,Damu ya Nickson ikazidi kumwenda mbio, akahisi kama amepigwa shoti ya Umeme, mama huyu alichukua mkono wake na kuushusha mpaka kwenye suruali ya Nickson na kuanza kuchua Pump.Akili ya Nickson haikuwa hapo tena ilisafiri maili nyingi sana akakumbuka mateso aliyokuwa anateswa na bosi wake kazini,
akatafakari jinsi alivyodhalilishwa kama mbwa,na leo hii yupo na mke wa bosi huyohuyo aliyekuwa ana mdharau.Ilikuwa ni kama mbuzi kafia kwa mpika supu,akapata hasira akaapia kwamba ni lazima amdatishe mke huyu wa bosi ili kesho arudi tena,japokuwa mama huyo alikuwa ana mwili mkubwa Nickson alimbeba na kumtupa puu! Kitandani kisha yeye kufuata juu yake,akaitoa kanga ya Mama Jeni akaanza kumnyonya maziwa taratibu huku akiupitisha mkono wake taratibu kwenye Pango akagusa kinyama cha juu kilaini,
hapo ndipo Mama huyu alipoanza kutoa milio ya ajabu.
“Mt…ukane Mum..eo”
Nickson akatingisha kiberiti,akamkumbuka rafiki yake Akinyemi Malekano mpenda wake za watu,kila akilala na mke watu ni lazima amwambie hilo neno akazidi kukumbuka stori mbalimbali za kihuni.
“Mtukane Mum.eo”
“Mum..e aaah aaaah Mu..me wangu Msen** aaaaaah aaah Nicks..on”
“Mtukane tena”
“Mu..me wa..ngu hanisi ha…nisi ha..na lol…t..te aaaah aaah shhsss aaah”
Mama Jeni alizidi kutoa sauti za huba,Nickson hakuishia hapo alishusha ulimi wake mpaka chini akaishika miguu ya mama huyu huku na kule akaingiza kichwa chake katikati, akatoa ulimi wake na kuanza kudeki bahari taratibu sana tena bila madoido huku akitumia kidole,alitema mate juu ya mgodi na kuendelea kuulamba.
Mama Jeni alishindwa kuvumilia alichofanya ni kuendelea kushika kichwa cha Nickson, akizidi kukikandamiza kwa ndani huku akiyashikashika maziwa yake.
Hayo yote yalitokea akiwa hajitambui yupo hoi bin taaban hajiwezi.Ni kweli kwamba Nickson aliipania mechi hiyo, alitaka amkomeshe bosi wake,ikawa vita vya panzi furaha kwa kunguru.Mama Jeni alizidi kujikunja kunja, Nickson akapanda juu ya maziwa yake na kuanza kunyonya chuchu za Mama huyu mtu mzima.
Haraka haraka akavua shati lake, Mama Jeni akamsaidia kuitoa suruali yake kisha Boxa kufuatia,kabla ya Nickson kufanya lolote Mama Jeni akashika AK47 yake haraka akaiingiza ndani ya msitu wa solondo ili vita ianze.Kitendo cha Mtutu kuingia ndani ya ikulu, Mama Jeni aliachia mdomo wazi akazidi kuusikilizia,akaanza kukatika taratibu akiwa chini amewekwa kifo cha mende.Nickson akamtoa kitandani.
“Shika hapa Mama”
“Mhhh”
“Shika vizuri”
Mama akabong’oa, akawa ameshika pembe ya kitanda, Nickson akamshika kiuno kwa mikono yake miwili,akaingiza Turbo ndani ya Gear box ya Mama Jeni,hapo ndipo Mama huyu alihisi joto la hali ya juu,Urefu na unene wa Gunzi la Nickson ulimfanya Mama Jeni aanze kukatika kama feni,Nickson hakutaka kwenda mbio,Mechi hiyo alitaka asiharibu hata kidogo,akazidi kupeleka misumbwi.Mguu wa Mama Jeni mmoja ukawa umepanuliwa Nickson akachomoa akaingiza tena.
Mambo yalienda asteaste.Mama Jeni akaanza kusema siri zote za mume wake.
“Uhhh..ahaaa Nick…son na..ungu..a Mume wa..ngu ana ki..pipi hana uwezo wa kuni.fi.kisha Nickson ivyo i..vyo Ba..by aaaashhhh aaaaah”
Mama Jeni alizidi kusema kwa sauti ya huba.Huku Nickson akisikiliza kwa umakini sana siri hizo.
*****
“Nickson yuko wapi?”
Mzee Magugu alikuwa ofisini, alimuulizia Nickson baada ya kupiga simu yake bila kupokelewa.
“Aliaga,kuna kesi anafuatilia”
“Ndivyo alivyoaga hivyo?”
“Ndio bosi”
“Katoka saa ngapi?”
“Tangu saa tatu asubuhi”
Mzee Magugu alipoangalia saa yake ya mkononi ilikuwa imegonga saa tisa ya alasiri.
“Anyway endelea na kazi”
Mzee Magugu akaenda mpaka ofisini kwake na kuketi,akawa anakagua kagua makaratasi ndani ya ofisi yake,akavuta madroo akaonekana kuchanganyikiwa mno, kuna kitu alionekana akiwa anakitafuta lakini akakikosa,akatafakari kwa muda na kutoa simu yake mfukoni akaenda mpaka kwenye majina akatafuta neno WIFE akaipa simu ‘ok’ ili itoke,Simu ya Mke wake au Mama Jeni ikaanza kuita.
“Halloo Mama Jeni”
Mzee Magugu alisema baada ya simu kupokelewa.
“Abee”
“Sasa hapo Mezani!upo nyumbani kwanza?”
“Mimi?mimi ndiyo nipo Nyumbani”
Mama Jeni alidanganya.
“Hapo chumbani kuna document yangu,ndani ya kabati embu niangalizie vizuri kama ipo,ukifungua droo la katikati chini kuna bahasha kubwa ya kaki”
“Ngoja kidogo nitakupigia subiri niiangalie”Simu ikakatwa.
Mama Jeni alikuwa akiongea maneno hayo akiwa juu ya kifua cha Nickson wala sio kwake,tena amejiachia kama ndiye mume wake halali wa ndoa,akasahau kwamba alikuwa ni mchepuko tu,raha alizopewa dakika tano zilizopita zilimpagawisha mno!
Hakutamani kurudi tena nyumbani kwake akamchukia mume wake kupita kiasi,kwa kumnyima haki anayostaili.
“Sasa itakuwaje?”
Nickson akauliza huku akitabasamu,alishaelewa ni aina gani ya dozi aliyotoa, hata yeye alijikubali.
“Nicskon”
“Naam Mama”
“Usiniite Mama”
“Naam,Mpenzi”
“Nakupenda sana,hatuwezi siku tukatoka nje ya mji huu tafadhali hata ikiwezekana tutoroke tu”
“Tutoroke!?”
“Ndio”
“Twende wapi?”
“Popote pale,ili mradi tu niwe nawewe”
“Mimi nina Mke ujue”
“Hata kama Nickson,mimi sijali ili mradi nitakuwa nawewe, nipo kukufanyia chochote unachotaka”
“Kweli unataka kutoroka namimi?”
“Niamini Mpenzi,umenipagawisha sana”
“Nitafutie Milioni Mia mbili”
“Nickson!nitatoa wapi pesa zote hizo?”
“Iba hata kwa mumeo,kwani hujui akaunti zake za benki,kama hutaki basi achana na mimi”
Nickson akatingisha kiberiti.Alifanya ivyo makusudi,nia yake ilikuwa Mzee Magugu aibiwe pesa katika akaunti zake zote hata za ofisi ili afikuzwe kazi, kwa upande mwingine Mzee Magugu alikuwa ni muhasibu mkuu na huo ndiyo ulikuwa wakati wa Nickson kumtesa Mzee Magugu,akataka kumfunza adabu na kulipiza yote yaliyotokea nyuma.
“Sawa,nitajaribu Mpenzi”
Ni kweli, kwa jinsi Mama Jeni alivyopagawishwa alikuwa yupo radhi kufanya chochote ilimradi Nickson afurahi.
Sasa unaweza kusoma hadithi za mtunzi kway insta@storyzakway
ITAENDELEA.
(kwa hadithi nyingi za kusisimua fuata hii link
www.facebook.com/STORYZAKWAY.)