SEX(sex slave)…….(28)
MTUNZI….EMMANUEL F.KWAY
Contact…+255718 862176
AGE….(18+)
ILIPOISHIA.
“Gloriaaaaa,njooo basi mpenzi panda kitandaani tulaleee”
Nickson aliongea huku akimtimza Msichana huyu wa kazi aliyekuwa mremo mbele ya macho yake,akamvuta kama umeme kitandani kwake! Katika hali ya kutokutegemea akampandia kwa juu ya kuanza kulana denda,Nickson akili zake zilimtuma kuwa huyu ndiyo Gloria mke wake na hapo walipokuwa ni chumbani kwao.
SONGA NAYO.
Mambo yaliyokuwa yanaendelea hayakuwa sinema ya ngono ya kuigiza bali yalikuwa ni ukweli mtupu,Kitandani alilala Rukia na Nickson, kwa waliyokuwa wanayafanya usingebisha ungeambiwa kwamba wanacheza filamu ya X.Rukia alikuwa juu ya Nickson, hakutofautishwa na kungwi mcheza ngono maarufu duniani aliyeitwa Pretty Diego.Wakati Nickson akiwa chali yeye alikuwa juu yake, tena kapiga magoti kashika koni ya Nickson anailamba, hakutaka kufanya makosa,alielewa kuwa tendo hilo hakulifanya siku nyingi,kwake ilikuwa kama embe kudondoka chini ya mchungwa,alielewa kwamba kuna uwezekano mkubwa asubuhi ya kesho yake angefukuzwa kazi, ndiyo maana alitaka kufanya kila jitihada mfaidi bosi wake ambaye yeye mwenyewe aliingia kwenye anga zake.
“Mhhhh”
Nickson alitoa miguno baada ya Rukia kuzidi kunyonya koni tena akiwa amejaza mate mdomoni mwake,alikuwa akiichua taratibu mno na kuilamba kiufundi,alimuendea Nickson kifuani na kuanza kumnyonya kifua akaenda mpaka shingoni mwake na kuanza kumnyonya shingo,akapitisha ulimi wake mpaka ndani ya masikio ya Nickson,kila Nickson alipotaka kujiinua, Rukia alimrudisha hakutaka kumpa hata nafasi ya kujitetea hata kidogo na ivyo ndivyo ilivyotokea.Akazidi kumlamba kifua, macho na kushuka chini kwenye tumbo akashuka tena mpaka kwenye mkongojo,akaanza kuunyonya, tena kwa madoido,akashuka mpaka kwenye goroli akafanya ivyo ivyo pia.Raha alizosikia Nickson hakuwahi kuzisikia tangu azaliwe, aliishia kuhema juu juu kama bata mzinga,huku akitoa miguno ya puani,alikishika kichwa cha Rukia vizuri na kuanza kukikandamiza vizuri kabisa kwenye koni yake huku akiwa ameyafumba macho yake.
“Ahhh Ivy..o ivy…o.”
Nickson alisema huku macho yake yakiwa yamefungwa,Rukia alishajua nini maana yake alichofanya ni kujitoa kimahaba.Ilibidi Nickson ayafumbue macho yake sababu utamu ulikuwa umekatika ghafla,kama chui Rukia akamrukia Nickson Mdomoni wakaanza kulana denda,mambo yalikuwa mazuri kwa Nickson pombe taratibu zikaanza kumwisha,mapigo yake ya moyo yalikuwa yakimwenda kwa kasi huku Jogoo wake akiwa wima amesimama imara,Rukia alishuka na kumlamba lamba tena huku akijishika maziwa yake,nia yake ilikuwa ayatoe madini kidogo kwenye ikulu yake,jambo hilo lilivyokamilika akapanua miguu yake akaikalia Karoti ya Nickson nayo ikapita bila wasiwasi kutokana na mgodi ulikuwa tayari umelowa,Rukia alikizungusha kiuoni chake na kukinyonga kisawasawa huku akiwa juu ameinama anampiga Denda Nickson, aliyekuwa ameyafumba macho yake kama mtu anayejichokonoa masikio na pamba ‘stick’.Rukia alizidisha madoido, akajichomoa na kujiweka upande wa chini yaani alikuwa akiitizama miguu ya Nickson,akaanza kujiinua na kukaa huku akiwa ameiweka mikono ya Nickson kwenye kiuno chake,alizungusha kiuno chake pande zote za dunia,akazidi kumpagawisha bosi wake,kadri sekunde zilivyozidi kwenda mbele ndipo Rukia alizidi kukinyonga kiuno chake vilivyo, Nickson ndiye akazidi kuchanganya, nayeye akijitahidi Rukia ndiyo akaweka gia namba tano,
kilichosikika hapo zilikuwa ni kelele za chaga,kila mtu alifanya juhudi.
“Aaaaaaah aaaaaaaaaah mmmhhhh”
Nickson ndiyo alikuwa akitoa mguno mzito wa ki utu uzima,huku akimvuta Rukia mdomoni wakaanza kulana denda na Rukia naye akamng’ang’ania ikawa wote kwa pamoja wamevunja yai la bata.Rukia hakuogopa alilala juu ya Kifua cha Nickson,kutokana na wote kuwa na uchovu walijikuta wamepitiwa na usingizi!
*****
Hakuna siku aliyoamka akiwa mwenye haya na aibu kama siku hiyo asubuhi,sio kwamba hakuweza kukumbuka yaliyotokea usiku wa jana bali alishindwa kuelewa atamuangalia vipi Rukia mfanyakazi wake wa ndani,alijikuta anazilaumu pombe kupita kiasi,kichwa kilimuuma sana siku hiyo alivyomka na kujikuta yupo chumbani kwa Rukia tena bila nguo zozote mwilini.
“Sijui itakuwaje,au nimfukuze ili nitoe hii aibu”
Nickson alijiuliza na kujijibu mwenyewe akainuka kivivu na kuvaa nguo zake harakaharaka bila kuangalia nyuma akapita mpaka chumbani kwake.Akajitupa kitandani akazama kwenye mawazo.
Hata kwa Rukia ivyo ndivyo ilivyokuwa, hakuelewa sura yake ataificha wapi,dalili za kufukuzwa kazi zilikuwa waziwazi hakutaka kuonana na Bosi wake,alitamani ardhi ipasuke aingie ndani ili aikimbie aibu!
“Bora hata niondoke zangu kuliko kusubiri kufukuzwa kazi,nishaharibu,sijui kwanini nilifanya vile jamani”
Aliwaza Rukia, akashika kikombe na semosi ya chai ili kuweka mezani kwa ajili ya bosi wake apate kifungua kinywa,akawa anatetemeka mno kitendo cha kushika vikombe akajikuta vimem-teleza na kudondoka chini vyote vikapasuka hapohapo.
Nickson aliyekuwa chumbani alitoka haraka na kufika mpaka seblen.
“Vipi?”
Lilikuwa ni swali kutoka kwa Nickson,lakini Rukia hakuweza kugeuka nyuma.
“Hakuna kitu bosi”
Alijibu bila kugeuka.
“Hujaumia?”
“Hapana sijaumia”
“Sonia amekunywa uji?”
Kwa Nickson hilo lilikuwa swali la kijinga ama jibu lake lilikuwa wazi kabisa,alijikuta anauliza bila kutegemea, sababu alimuacha Sonia chumbani kwake.
“Hapana bosi,kwani keshaamka?”
Hapo ndipo Nickson akageuza na kwenda chumbani kwake kisha kumbeba Sonia mpaka seblen akamkabidhi Rukia,Picha ya usiku wake wa jana ilikuwa ikipita kichwani kwake na kuonekana kama sinema ya kuigiza akajiona alivyokuwa na Rukia kitandani,wanafanya ngono zilikuwa ni raha ambazo alikuwa akizikumbuka,tena alivyogusisha mikono yake kwenye mwili wa Rukia akahisi kama amepigwa na shoti ya umeme wa Transfoma! akabaki anamtizama Rukia ambaye alikuwa anaangalia chini kwa aibu.
“Mpe maziwa ya kutosha”
“Sawa Bosi”
Nickson akarudi chumbani kwake kupumzika.
****
“Unamuulizia nani?”
“Nyagogo”
“Nyagogo?”
“Ndio!Nyagogo hapa ndiyo kwake?”
“Hapa ndiyo kwake,wewe ni nani?”
“Mimi ni mchumba wake”
“Tangu lini?”
“Haaa,mbona una maswali ivyo kama polisi?embu nipishe nipite basi nikapumzike”
“wewe mwanamke umetumwa au?”
“Nyagogo yupo au hayupo?”
“Subiri nikuitie,subiri hapo hapo”
“Ndio nasubiri”
Gloria alikuwa amevimba kwa hasira,yupo nje ya jumba kubwa la Nyagogo.Alimsubiri kwa hamu sana.Hakuna kitu kilichomuuma kama kuachwa Hotelini kwa muda wa siku kumi na moja wakiwa washarejea wapo Mkoani Mwanza, wakitokea moja kwa moja nchini China,Wahudumu wa Hotel iliyokuwa Kilumba walishachukua simu yake kutokana na kudaiwa pesa za kulala,alivyompigia Nyagogo simu hakumpata hewani na wakati mwingine ilivyoita haikupokelewa,hapo ndipo alipoamua kumtafuta nyumba kwa nyumba akimuulizia.Nyagogo alikuwa ni mfanyabiashara mkubwa ndiyo maana ilikuwa rahisi kuoneshwa nyumbani kwake.
Alikuwa amechanganyikiwa zaidi baada ya kufunguliwa geti na mwanamke mtu mzima.
“Huyu mwanamke ananijibu nyodo?hajui kuwa mimi hapa Nyagogo ndiyo kafunga breki,nikiingia humo ndani kwanza nitamfukuza ndani.Hawezi kunijibu shombo”
Hayo aliwaza Gloria akiwa nje ya geti,baada ya dakika moja akasikia sauti ya Mwanamke aliyekuwa amemfungulia geti na baadaye akasikia sauti nzito,haikuchukua muda sana kuitambua kuwa ilikuwa ya Nyagogo,akatulia na geti likafunguliwa sura ya Nyagogo ikatokeza na mwanamke mtu mzima.
“Baba Irene,leo utanieleza huyu ni nani”
“Yupi?”
Siyo kwamba Nyagogo hakumuona Gloria bali alijifanya kuuliza swali.
“Yupi eeeh?huyu mwanamke ni nani?”
“Mimi?huyu?mimi simjui”
Nyagogo akamkana Gloria kama Petro alivyomkana Yesu!
“Nyagogo hunijui mimi leo?kweli?”
“Dada mimi sikujui,naomba usitake kuniharibia ndoa yangu kabisa.Ujue mke wangu hawa wanafunzi wa vyuo vya Sauti,wanakuwa wana shobo sana,nakumbuka hata Yule rafiki yangu Loso,alikumbwa na balaa hili hili akagombana na mke wake”
“Nyagogo,leo unaniambia mimi ivyo?kumbe una mke?umeniacha hotelini simu yangu imechukuliwa kisa we…..”
“Wewe dada,wewe dada….embu nitokee mbele yangu,toa lisura lako hapa sasa hivi.potea”
Nyagogo akaongea kwa ukali na kutaka kufunga geti lakini likazuiwa na mke wake.
“Baba Irene,usijifanye kuniletea vimaigizo vyako hapa,naona umenisahau,haiwezekani huyu mtoto atoke huko kooooooooote aje hapa,embu ongea ukweli,usiniletee za kuleta”
Mama Irene akawa amepandisha hasira ajabu,akawa amemkwida shati mume wake, yote yalikuwa yanatokea mbele ya Gloria.
“Niambie ukweli huyu mwanamke ni nani,baba Irene”
Kabla ya Nyagogo kujibu lolote alipokea ukofi mkali wa shavu akapigwa na kingine.Siku zote Nyagogo alimuogopa sana Mke wake,alikuwa amemuoa mwanamke wa Kikurya,alikuwa akifanya kosa kidogo lazima achezee misumbwi.
“Nawewe Malaya,bado upo?”
Mama Irene aliuliza kwa ukali huku akimgeukia Gloria.Kwa picha alioiona hapo Gloria alitimua mbio ndefu breki ya kwanza alipanda daladala na hakujua ni wapi anaenda,kutokana na hofu kumtanda.
****
SIKU ZOTE MKATAA PEMA PABAYA PANAMWITA! Kwa mara ya Kwanza Gloria alijua nini maana ya njaa,alikuwa hajaweka kitu chochote mdomoni tangu asubuhi mpaka usiku unaingia, mdomo ulimkauka alitanga tanga huku na kule,mwisho akaenda kukaa katikakati ya uwanja wa CCM kilumba,alikuwa ana mawazo mengi mno,dunia ilimpa kisogo,akajikuta anajuta kupita kiasi,hakuamini kuwa kulala na kuamka ametengwa kiasi hicho, wakati mwingine alidhani yupo ndotoni anaota ndoto ya kutisha.
Ghafla sura ya mume wake Nickson ikamjia kichwani akakumbuka mapendo na mema yote aliyokuwa amemfanyia,akaona ni lazima hiyo ilikuwa ni laana ya Nickson.
“Itabidi nimuombe msamahaa Nickson wangu,tukamlee Sonia,Mungu naomba unisamehee,Najua Nickson ananipenda sana nina imani atanisamehee tu”
Asilimia tisini na tatu zilikuwa kwake zote,msamaha ulikuwa teyari umetolewa, hilo Gloria alilijua kabisa,akajipa moyo akasimama na kujifuta michaga,akatembea mpaka barabarani ili kuomba msaada wa simu.Namba ya Nickson siku zote hakuweza kuisahau hata mara moja.
“Kaka habari”
Gloria akamsalimia mvulana muuza duka.
“Salama dada karibu sana”
“Ahsante,mimi mwenzako nina shida”
“Shida gani tena?nieleze”
“Nina shida na simu,nataka kupiga tafadhali naomba unisaidie”
“Duuu!simu yangu hapa dada haina pesa alafu ina deni,lakini ngoja nikuombee”
Kijana wa dukani akatoka nje,baada ya kama dakika moja akarudi na simu akamkabidhi Gloria,kwa haraka akaanza kubonyeza namba Fulani kisha akaweka simu sikioni.
“Halloooo,Nickson….Mimi Gloria mke wako”
Gloria aliongea harakaharaka.
“Gloriaaaaaaaaa!”
Nickson akashtuka simuni.
“Nickson naomba unisamehe mume wangu,nipo chini ya miguu yako najua nimekukosea sana mume wangu,ni shetani tu,nina matatizo makubwa Sana,niamini kwamba nitabadilika,nipo Mwanza,naomba uje kunichukua Baba Sonia,vipi Sonia hajambo?”
Gloria alikuwa akiongea lakini upande wa pili wa simu ulikuwa kimnya kabisa!Nickson hakujibu chochote.
“Nickson unanisikia Mume wangu?”
Gloria akauliza tena.
“Kwahiyo?embu nisikilize kwa umakini wewe Malaya mchafu,naomba uniache na maisha yangu nimekupa uhuru fanya unavyojisikia,ukiamua kuolewa na wanaume wengine sawa, nimekupa ruksa,usinitafute tusitafutane”
Nickson aliongea kwa sauti ya hasira kupita kiasi.
“Nickson Mume wangu samahani….tititiiiiii”
Nickson akamkatia simu Gloria,hakutaka kumsikiliza tena!
Sasa unaweza kusoma hadithi za mtunzi kway insta@storyzakway
ITAENDELEA.
(kwa hadithi nyingine nyingi za kusisimua fuata hii link
www.facebook.com/STORYZAKWAY.)