PakaJimmy
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 16,203
- 8,724
Tutalumbana na kutoleana lugha za ajabu ajabu sana hapa, lakini kusema ukweli hichoo kipengele No1 cha hilo tangazo hakifai katika jamii ya watu wenye imani tofauti...
Ni aibu kwa taasisi ya serikali kuweka tangazo ambalo liko biased, na lisilo na hekima namna hiyo...!
Suala la 'Maadili' linaingiaje hapo, especially kwenye hiyo namba moja?
Kwanini isitumike lugha mbadala ya aina ya ushauri kwa wale wanaovaa mavazi ya hivyo, ili aidha siku wakienda hapo wajiandae na option nyingine, kama ni lazima kabisa kutovaa hayo mavazi?
Anyway, miaka fulani nilisoma somo linaitwa Organizational Behavior, nikajifunza kuwa unapoingia kwenye ofisi za taasisi fulani kwa mara ya kwanza, kuna viashiria fulani utakavyoviona ambavyo vitakupa picha ya taasisi hiyo!...na hivyo hutapata shida sana kujifunza namna ya kuenenda pindi uwapo hapo!
I think that office announcement says something about the workers, and their behaviors in there!
Ni aibu kwa taasisi ya serikali kuweka tangazo ambalo liko biased, na lisilo na hekima namna hiyo...!
Suala la 'Maadili' linaingiaje hapo, especially kwenye hiyo namba moja?
Kwanini isitumike lugha mbadala ya aina ya ushauri kwa wale wanaovaa mavazi ya hivyo, ili aidha siku wakienda hapo wajiandae na option nyingine, kama ni lazima kabisa kutovaa hayo mavazi?
Anyway, miaka fulani nilisoma somo linaitwa Organizational Behavior, nikajifunza kuwa unapoingia kwenye ofisi za taasisi fulani kwa mara ya kwanza, kuna viashiria fulani utakavyoviona ambavyo vitakupa picha ya taasisi hiyo!...na hivyo hutapata shida sana kujifunza namna ya kuenenda pindi uwapo hapo!
I think that office announcement says something about the workers, and their behaviors in there!