Mkirua
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 5,647
- 2,498
Sasa tutajuwaje hilo ni dume au la? Na hiyo picha kweli utaitumia kwenye vitu official kama passport etc?
Hii Kali.....unamhudumia vipi binadamu huyu... Kesho na keshokutwa likitokea jambo halafu ukaambiwa umtambue mahakamani kuwa ndiye uliyemhudumia unajibuje???