Game Theory
Platinum Member
- Sep 5, 2006
- 8,545
- 835
Kuna taarifa kuwa kuna maandamano na matamko makali yanaandaliwa na waislam kupinga wanawake ambao ni wateja na wahitaji huduma wa kiislam kupigwa marufuku kwenda kwenye ofisi za idara hii ya serikali.
Hivi kweli waislam wakilalamika wataambiwa wakorofi na wanaendekeza udini?