Muimba SINGELI
JF-Expert Member
- Dec 25, 2024
- 4,211
- 10,860
- Thread starter
-
- #221
Mkuu mimi sifanyi biashara huu uandishi, hivyo huo ujinga kwenye comment ndiyo furaha yangu.Pamoja mkuu, ila ungekuwa unaweka link ingependeza zaidi kwa sisi ambao hatupendi kusoma comments za kijinga. Japo comments zinamtia moyo mtunzi kujua kuwa tunafatilia story yake. Asante
πππKisa kizuri mwenye kujifunza amejifunza namna ya kuishi
Hilo ni pepo jitahidi kulikemea tajiriπ€£π€£π€£ tatizo kichwa kidogo hakina ubongo mkuu, ila kikiamua huwa kina kiendesha kichwa kikubwa.
Ah hiyo ilikuwa ni zamani (kipindi sina huu Utajiri) kwa sasa sina muda wa kupaparikia maungo ya binaadamu mwenzangu, labda utaratibu wa kuhamia sayari nyingine ukikamilika naweza kupaparikia viumbe wapya huko.Hilo ni pepo jitahidi kulikemea tajiri
Ina maana kwamba viumbe wa hapa Duniani umetuchokaππAh hiyo ilikuwa ni zamani (kipindi sina huu Utajiri) kwa sasa sina muda wa kupaparikia maungo ya binaadamu mwenzangu, labda utaratibu wa kuhamia sayari nyingine ukikamilika naweza kupaparikia viumbe wapya huko.
yaah kimwili lakini, ila kwenye mambo mengine kama maongezi nk, bado nawahitaji sana.Ina maana kwamba viumbe wa hapa Duniani umetuchokaππ
Unatafuta mpenzi wa kupiga naye story auπyaah kimwili lakini, ila kwenye mambo mengine kama maongezi nk, bado nawahitaji sana.
Halafu umenikumbusha kitu, kwanini jana ulikula buyu kwenye ule uzi nilikuwa Natafuta mpenzi mpya wa jf?
yaah ni stori tu na kuvimba humu jf.Unatafuta mpenzi wa kupiga naye story auπ
πππmimi mambo hayo naogopayaah ni stori tu na kuvimba humu jf.
Jana nilisema wa kukutana nae kimwili yupo ni mkorea hivyo ninapomuhitaji huwa nakwea mwewe safari..
Nakusikiliza uwanja niwako, sio bahati ya kitoto kuwa Mrs Tajiri.
π€£π€£π€£ usijali nitakukinga na shari kwa kila baya litakalo tokea.πππmimi mambo hayo naogopa
πππHauna baya Tajiri π€
Nipe muda nijifikirie huku ukinitazama mienendo yanguπ€£π€£π€£ usijali nitakukinga na shari kwa kila baya litakalo tokea.
Niite wapambe wetu hapa wakina Secretarybird Harmful dosho12 na wengine waje wakuhakikishie kuhusu hili?
Shukrani kwa kutuburudishaπππ
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£Nipe muda nijifikirie huku ukinitazama mienendo yangu
Nipe wiki mbili tu πππ€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£
π π Kama dakika ngapi?
πππuna mbwembwe sana, ntakuweza kweliSawa. Kipindi namfukuzia ephen_
Aliesa anapenda simulizi hivyo alitaka niandike simulizi ili jambo liwe jepesi ndio nikaandika ile MY FAMILY.
mh wewe je unataka nifanye nini ukiachana na kukumwagia hela?
Subiri kama lisaa hivi naingia ikulu hapa Botswana π§πΌ nitakurudia β€οΈβ€οΈβ€οΈπππuna mbwembwe sana, ntakuweza kweli