Ridhiwani Kikwete, thibitisha au kanusha

Ridhiwani Kikwete, thibitisha au kanusha

kaka inawezekana jibu likawa jepesi zaidi kuliko unavyodhani -- Mkopo wa Benki --- 10bil pia akaongezea na za kwake kidogo.

wewe unaweza kupata mkopo wa hizo 10Bn? kama jibu ni ndio ni watz wangapi wanaweza? mpaka hapo nadhani utakuwa umeanza kupata context ya mjadala huu...
 
Wabongo kama hatujatulia vile.Ukiwa mtoto wa kibosile hauruhisiwi kumilki kitu chochote au kuwa na kitega uchumi?Kama kavipata kiharali basi ruksa!!!!

kama angepata kihalali thread hii isingekuwepo... or?
 
Mr Ridhiwani hapo umenena. The problem nikwamba watu hawajui kuwa Maisha ni kombolela 'butuwa uwokoe wenzako'. Sikuzote riziki hutoka kwa mungu Leo unacho kesho huna. So just keep it up. Nakama kunakazi za kufunga electric fence, security cameras and zone security mimi ninakampuni yangu inayofanya hizo kazi. Just call me through 0712435316 for more information.
 
Wewe unataka watu walale kwenye nyumba za Tembe ndio uonekane Mtazania.

Mr. Ridhiwani hapo umenena. Tatizo watt hawajui kuwa Maisha kombolela 'butuwa uwokoe wenzako'. Sikuzote riziki hutoka kwa mungu Leo unacho kesho huna. Mimi nina kampuni ya electric fence, security cameras and zone security. Kama unakazi naungependa tujetukufungie just contact me through 0712435316 for more information. God bless you.
 
Huyu ni kati ya watu ambao sijui watajificha wapi baada ya october 2015. Najua wanang'ang'ani kipengele cha uraia wa nchi mbili ili wapate pa-kwenda. Ila wataonja shida tunazopata watanzania maskini kwa sasa.
 
duh!! Huyu ridhiwan atakuwa analingana na bill gates sasa, maana kila jengo na biashara mpya hapa bongo ni ya kwake. Wakuu hebu tuwacheni umbeya na uongo tujadili hoja za maana

kitu kimesimama hiki cha huyu dogo just along the one way road in dom town!
 
Mr. Ridhiwani hapo umenena. Tatizo watt hawajui kuwa Maisha kombolela 'butuwa uwokoe wenzako'. Sikuzote riziki hutoka kwa mungu Leo unacho kesho huna. Mimi nina kampuni ya electric fence, security cameras and zone security. Kama unakazi naungependa tujetukufungie just contact me through 0712435316 for more information. God bless you.

Wacha kupoteza muda wako sio Ridhiwani huyo I'd fake
 
Kwanini huyu jamaa anakudanganyeni yeye anaishi tandale huyo kwa tumbo
 
Wabongo kama hatujatulia vile.Ukiwa mtoto wa kibosile hauruhisiwi kumilki kitu chochote au kuwa na kitega uchumi?Kama kavipata kiharali basi ruksa!!!!

Yule mtoto wa Mkapa enzi zile aliishia wapi?
 
Mr Ridhiwani hapo umenena. The problem nikwamba watu hawajui kuwa Maisha ni kombolela 'butuwa uwokoe wenzako'. Sikuzote riziki hutoka kwa mungu Leo unacho kesho huna. So just keep it up. Nakama kunakazi za kufunga electric fence, security cameras and zone security mimi ninakampuni yangu inayofanya hizo kazi. Just call me through 0712435316 for more information.



Njaa mbaya sana!Ukiwa na njaa hata cha WIZI utaona HALALI!Huyu Ridhiwani kamaliza Chuo UDSM miaka mitano iliopita,leo hii ni bilionea wa kutupwa Tanzania!

Na ukichukulia yeye ni mtoto wa rais tunapaswa kujifunza mengi kutoka kwake kimaadili na katika bidii ya kufanya kazi,basi atuambie ni shughuli gani anazofanya yeye zinazomuingizia mabilioni ya kurudisha mkopo wa mabilioni ili na sisi tupate pa kujifunzia hata kama HATUKOPESHEKI!!

This is SERIOUS jamani tuache MASIKHARA!
 
hapo kwa jengo namuona kunguru ye kakaa saaaaafi hajui hata mwenye jengo ni nani dah, bora ningeumbwa ndege tu nisione hizi dhuluma za haki ya binadamu mwenzako,anyway riz1 kaa ukijua wote tutakufa.
 
hapo kwa jengo namuona kunguru ye kakaa saaaaafi hajui hata mwenye jengo ni nani dah, bora ningeumbwa ndege tu nisione hizi dhuluma za haki ya binadamu mwenzako,anyway riz1 kaa ukijua wote tutakufa.
hahhhahahaha,hapo mkuu umenivunja mbavu,hv kweli tumekia hatua hii yakutamn mtu ungezaliw kunguru,dah hii mpya ngoja niiweke kwny kumbkumb zang,mkuu we kiboko,nimekunyoshea mkono
 
Back
Top Bottom