Ridhiwani Kikwete, thibitisha au kanusha

Ridhiwani Kikwete, thibitisha au kanusha

Never the less,hata kabla baba yake hajawa rais alishakua tajiri.sasa unategemea mtoto wa kiume azaliwe kwenye familia tajiri af awe maskini!ye hajui kutafta?!.ulimbukeni..
Wew unasifia mijizi inayoiba fedha za walipa kodi ambayo ingesaidia baba mamako.unaona fisadi1 mjanja kutumia mgongo WA ikulu kujitajirisha...ulimbukeni mzigo!
 
Una ushahidi gani kuwa mali zote hizo ni zake? kama ameandikisha majina ya watu wengine bure yake hiyo imekula kwake, baba mwanaasha mda ukifika wa kuachia mpini wa kisu, basi wale mlioandikishwa mtieni ndani hizo mali, kama huwa mnatoa sadaka msikitini au kanisani endeleeni na mzidishe zaidi, kwani utajiri wa bure mungu amewatelemshia
KAMA PROMO VILE!!!??? napita nitaludi
 
Wabongo ni noma, nashangaa Riz anavyopata utetezi wa nguvu kwa kumiliki ukwasi wa kutisha. Huku wabongo haohao walimponda Mkapa na mwanae kumiliki Kiwira tu! Inaelekea Kikwete na mwanae ndio wanaonekana wawekezaji wakubwa nchi hii
 
Nami PAYE zangu za kila mwezi zimelijenga! dah! nchi inaliwa na wenye meno, lkn kuliko kuzitoreshea nje wacha zikae kwa umiliki wa kifisadijapo itis sad
 
Wewe unataka watu walale kwenye nyumba za Tembe ndio uonekane Mtazania.
Mkuu nauza shamba Oyoyo just next to Mama Salma Kikwete farmland,ekari 19.
Bei 350m
0754 856277/0714 381704.
 
Ridhiwani Kikwete huyu dogo nimtafutaji sana,
Nilikutana naye mahali akisaka msitu wa kulima wakati na
mie niko kwenye mishe mishe zangu huko huko porini
haki ya nani hautaamini lakini nilimshuhudia kwa macho yangu
japo sikutaka kusemezana naye.

Watu wakiwa na mali kweli wanazipata kwa jacho;
japo hata mie wakati fulani nilikuwa namtazama kwa jicho baya
lakini ninazidi kuelewa sasa.
 
watu wengne kwa wivu wakijinga hawajambo kwan riz haruhusiwi kuwa mjasiliamari me namuunga mkono mtu yeyote anayewaza maendeleo kwa kuwekeza.
 
Sioni umuhimu wa hoja hii. Kama ni lake au si lake umuhimu wa hoja hii ni nini? Hivi mtu ukizaliwa na Rais unazuiwa kujenga!! au kufanyabiashara!!
 
duh!! Huyu ridhiwan atakuwa analingana na bill gates sasa, maana kila jengo na biashara mpya hapa bongo ni ya kwake. Wakuu hebu tuwacheni umbeya na uongo tujadili hoja za maana

acheni kumzonga ba mdogo. Mbona huko cc... Vabaka wengi hamwasemi?
 
Baba ndiye Rais na mimi ni mwanae. TANZANIA NI YETU, UNATAKA NINI?
 
achene wivu. mbona jingo hili ni la kawaida! au hamuoni majengo yanayojengwa maeneo ya posta jijini dar!? kama wewe una uvivu wa kujituma kihalali, usiwaonee wivu wanaoendelea. hivi miaka 8 ya jk hana uwezo wa kumjengea ridhiwani nyumba ya ghorofa 5!? achene ujuha!
 
Maneno tu huwa ayaishag kabisa wanasema eti kila mbuzi atakula kwa uref wa kamba yake so tujitume tu ndo mpango mzima tuache visununu visununu m
 
Ridhiwani Kikwete huyu dogo nimtafutaji sana,
Nilikutana naye mahali akisaka msitu wa kulima wakati na
mie niko kwenye miche miche zangu huko huko porini
haki ya nani hautaamini lakini nilimshuhudia kwa macho yangu
japo sikutaka kusemezana naye.

Watu wakiwa na mali kweli wanazipata kwa jacho;
japo hata mie wakati fulani nilikuwa namtazama kwa jicho baya
lakini ninazidi kuelewa sasa.
Wewe tunakuju a humu, huna jipya.
 
Why Riziwani? Watoto wa viongozi toka tumepata uhuru ni wengi sana. Kwanini kashfa za ukwasi usio na maelezo zinamwandama Riziwani tu?
 
Ridhiwani Kikwete huyu dogo nimtafutaji sana,
Nilikutana naye mahali akisaka msitu wa kulima wakati na
mie niko kwenye miche miche zangu huko huko porini
haki ya nani hautaamini lakini nilimshuhudia kwa macho yangu
japo sikutaka kusemezana naye.

Watu wakiwa na mali kweli wanazipata kwa jacho;
japo hata mie wakati fulani nilikuwa namtazama kwa jicho baya
lakini ninazidi kuelewa sasa.

Bidada mbona S na C kwenye keyboard haziko mstari mmoja, au wewe ni msambaa?? Please GO BACK to School.

Sasa tuletee na TAX RETURN zake tuone kama kipato chake ni halali. Kwa wastani wa dunia, mtu anatakiwa awe amelipa kodi kwa theluthi moja ya mali anazomiliki, yaani walau 30%. Kwa maana hiyo kama Riziwani Kikwete utajiri wake ni Bilioni 100, pale TRA inatakiwa kuwe na risiti za kodi inayozidi Bilioni 30 alizolipa huyu jamaa. Kinyume na hapo ajitahidi kutumia mbinu zote hata za kumwaga damu kuhakikisha CCM inashinda 2015, vinginevyo SEGEREA inamnyemelea kwa Tax Evasions, Money Laundering, Bigtime Swindling etc..
 
Back
Top Bottom