NGOWILE, palasilote, asigwa, chilipamwao, MNAMBOWA, ngoshwe, Bangoo, Kizamani, MMASSI, Mwanaharakatihuru, paty, kiumbo, PPM, ngano, na wengine weengi mnaochangia mada hii, nina jambo moja la kusema.View attachment 57923Ridhiwani kikwete naomba uthibitishe au ukanushe umiliki wako wa jengo hili ndani ya Dodoma.Nitatoa nyaraka baada ya kusikia kauli.Naomba kuwasilisha.
View attachment 57923Ridhiwani kikwete naomba uthibitishe au ukanushe umiliki wako wa jengo hili ndani ya Dodoma.Nitatoa nyaraka baada ya kusikia kauli.Naomba kuwasilisha.
View attachment 57923Ridhiwani kikwete naomba uthibitishe au ukanushe umiliki wako wa jengo hili ndani ya Dodoma.Nitatoa nyaraka baada ya kusikia kauli.Naomba kuwasilisha.
Nashangaa sana - hela za kuboresha huduma za afya hakuna, lakini za kuboresha maisha ya watoto wao - hizo zipo.
Iko siku ina kuja na siku ipo ambapo - Liwalo na Liwe - Litakuwa.
Viongozi wetu ni walafi na wenye tabia kama kupe ama kunguni! Iko siku watajificha kwenye calvat/mashimo na kujivisha baibui kama ilivyowatokea akina Ghaddafi ama Mubarak na familia zao.
ndizo tunazolala...maisha bora kwa kila mtzWewe unataka watu walale kwenye nyumba za Tembe ndio uonekane Mtazania.
hakuna mtu anapenda kuzaliwa na mwizi, nani atamwonea wivu mtoto wa kibaka hata kama kupitia huo ukibaka watakuwa matajiri. Au ndio Riz1 umejibu.acha wivu ulitaka na wewe uzaliwe na kikwete?
acha wivu kijana. Naona roho imekuuma sana jamaa kufanikiwa. Hela haiji kijiweni ndugu yangu. Badala ya kutoa puvu humu JF ni bora na wewe utafute mbinu za kujenga hata kachumba kamoja.hakuna mtu anapenda kuzaliwa na mwizi, nani atamwonea wivu mtoto wa kibaka hata kama kupitia huo ukibaka watakuwa matajiri. Au ndio Riz1 umejibu.
Nashangaa sana - hela za kuboresha huduma za afya hakuna, lakini za kuboresha maisha ya watoto wao - hizo zipo.
Iko siku ina kuja na siku ipo ambapo - Liwalo na Liwe - Litakuwa.
Aliwahi kujisemea mzee wa watu marehemu Mlm JKN "Umasikini ni dhambi kwelikweli" na Mwalimu mwenzangu Dr Kopoka hapa Mlimani alisema siku moja "ukiwa tajiri na mwenzako ni masikini kupindukia, bado wewe ni masikini tu na hutakuwa salama kamwe"