Ridhiwani Kikwete, thibitisha au kanusha

siku moja tutagawana mali za hawa mafisadi , siku moja liwalo litakuwa
We kulima hutaki,kujishughulisha hutaki,unangojea kugawana mali ambayo hujaitolea jasho! Chadema mna kazi! Ni sawa jitoto teja lisilopenda kufanya shughuli yoyote ya kujiongezea kipato kwa kusubiri urithi wa babake akifa!
 
Fanyeni juhudi mkatafute mbinu za kupata Mikopo n mitaji, madeni ya hawa watu ni makubwa ni nyinyi tu hamjui. Tembelea benki uliza taratibu, tembelea taasisi mbalimbali kama vile kituo cha uwekezaji nk. Kinachowashidna wengi ni ile pesa ya kuandaa logistics za mikopo mfano kuandaa mortgage, mikataba, na taratibu mbalimbali kuna ada fulani fulani huwa wengi unakuta hizo hela zinakuwa hazipo karibu. Mfano mkopo wa Milioni 100 wa kujenga unaweza kuhitaji logistic money kiasi kisichopungua milioni 5 mpaka kumi.

Ila pia usisahau kwa jina lake bila hata msaada wa Baba, anaweza kupewa michongo na madili na wafanya biashara wakubwa ili kulinda biashara zao. Kivipi? Afisa wa serikali akijua kuna mkono wa mtoto, hathubutu kukurupuka kuingilia au kuchunguza biashara hiyo kivile, na hii ni tabia tu wala si sheria. Na baba anaweza kuwa anajua. Hapo si lazima kuwe na ufisadi, lakini utamaduni wa serikali na maofisa wake ni cha mkubwa ni cha mkubwa. So baba anaweza kuwa anapewa taarifa aidha na mwanawe au watu wa usalama maana ni muhimu, lakini si kweli kuwa kila mali anayoweza kumiliki sasa sio halali.
 
We kulima hutaki,kujishughulisha hutaki,unangojea kugawana mali ambayo hujaitolea jasho! Chadema mna kazi! Ni sawa jitoto teja lisilopenda kufanya shughuli yoyote ya kujiongezea kipato kwa kusubiri urithi wa babake akifa!

nimekusoma mzee wa sembe , maana nyie mafisadi mmezidi ku extend sector , siku izi mmekuwa wazee wa sembe ana ephedrine
 
Tunajua mengi, tukitiririka hapa itakuwa balaa, ngoja niende lee kutafakari ntapataje laki tano iliyopungua nikate kacorolla kangu coz storage charges inazidi kuongezeka. Vidole havilingani.
 
Aliwahi kujisemea mzee wa watu marehemu Mlm JKN "Umasikini ni dhambi kwelikweli" na Mwalimu mwenzangu Dr Kopoka hapa Mlimani alisema siku moja "ukiwa tajiri na mwenzako ni masikini kupindukia, bado wewe ni masikini tu na hutakuwa salama kamwe"

"the poorer" dah! Mkuu u remind me those days.
 
attachment.php

Ridhiwani kikwete naomba uthibitishe au ukanushe umiliki wako wa jengo hili ndani ya Dodoma.Nitatoa nyaraka baada ya kusikia kauli.Naomba kuwasilisha.
Siyo dhambi akimiliki ilimradi tu awe amemiliki kihalali
 
Bro ritz Watoto wa mwalimu nyerere na bibi yetu vipi MKILA NATIONAL CAKE mnawagawia ? ? ? Na nyie wana jamvi je . .? Baba kama nyerere na baba kama kikwete yupi bora?
 
Back
Top Bottom