We kulima hutaki,kujishughulisha hutaki,unangojea kugawana mali ambayo hujaitolea jasho! Chadema mna kazi! Ni sawa jitoto teja lisilopenda kufanya shughuli yoyote ya kujiongezea kipato kwa kusubiri urithi wa babake akifa!siku moja tutagawana mali za hawa mafisadi , siku moja liwalo litakuwa
We kulima hutaki,kujishughulisha hutaki,unangojea kugawana mali ambayo hujaitolea jasho! Chadema mna kazi! Ni sawa jitoto teja lisilopenda kufanya shughuli yoyote ya kujiongezea kipato kwa kusubiri urithi wa babake akifa!
Aliwahi kujisemea mzee wa watu marehemu Mlm JKN "Umasikini ni dhambi kwelikweli" na Mwalimu mwenzangu Dr Kopoka hapa Mlimani alisema siku moja "ukiwa tajiri na mwenzako ni masikini kupindukia, bado wewe ni masikini tu na hutakuwa salama kamwe"
Siyo dhambi akimiliki ilimradi tu awe amemiliki kihalali
Ridhiwani kikwete naomba uthibitishe au ukanushe umiliki wako wa jengo hili ndani ya Dodoma.Nitatoa nyaraka baada ya kusikia kauli.Naomba kuwasilisha.
Mimi ni Ritz, wa JF sina uhusiano na JK.
wachaga hawaibi wanafanya biashara.mijizi mijizi mijizi.kumbe si wachaga tu wezi hata wazaramo?wezi wezi wezi