Mkuu Ngowile respect.Swali langu kwako mkuu,Ridhiwani hastahili au haruhusiwi kumiliki jengo Kama Hilo?kwasababu ni Mtoto aw Raisi basi anatakiwa kuwa maskini?kwa cheo cha baba yake ni wazi kabisa Ana opportunities nyingi za kujiendeleza sasa unataka asizitumie ili aonekane mwadilifu?kama wewe ungekuwa kwenye nafasi yake ungeamua kuwa maskini ili usiandikwe vibaya magazetini?una nyaraka zozote zinazoonyesha pesa alizotumia kujenga ni za wizi(Kama kweli jengo ni lake).?mimi Kama mtanzania I think they deserve even more than that kwa kazi kubwa anayofanya baba yake kwa manufaa ya watanzania wote.hakuna haja ya kutoa majungu ya sio na msingi.kwa yoyote mwenye baba ambaye ni Raisi wa nchi angefanyathe same au hata zaidi.ukimkuta Ridhiwani barabarani anaendesha baiskeli utamcheka au utamsifia?be blessed![]()
Ridhiwani kikwete naomba uthibitishe au ukanushe umiliki wako wa jengo hili ndani ya Dodoma.Nitatoa nyaraka baada ya kusikia kauli.Naomba kuwasilisha.