Regia Mtema
R I P
- Nov 21, 2009
- 2,970
- 864
Duu punguza ukali basi...Poor argument.....extremely poor .....kwa kizazi tulichopo...ingekuwa nzuri 1710
Mix with yours
Duu punguza ukali basi...Poor argument.....extremely poor .....kwa kizazi tulichopo...ingekuwa nzuri 1710
Mix with yours
Nimefurahi kuona kijana wa kisilamu akiwafikishia waisilamu wenziwe ujumbe huu.
Wednesday, September 22, 2010
Ridhiwan Kikwete Akemea Udini....
Mjumbe wa Kamati ya Utekelezaji ya Baraza Kuu la Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa, Ridhiwani Kikwete, amekemea
tabia ya baadhi waumini wa dini ya kiislamu kudhihaki dini zingine
kwa kuwaita makafiri baadhi ya wagombea katika kampeni za Uchaguzi Mkuu zinazoendelea nchini.Ridhiwani,alikemea tabia hiyo katika mkutano wa kampeni juzi mjiniTunduru, baada ya kupata taarifa kuwa kuna baadhi ya viongozi wa
Chama cha Wananchi (CUF) wanatumia udini katika mikutano yao ya
kampeni kwa kuwaambia wananchi kuwa wasimchague Mgombea ubunge wa
Jimbo la Tunduru Kaskazini kupitia Chama Cha Mapinguzi (CCM),Injinia Ramo Makani kwa kumuita kafiri, kwa vile yeye ni mkristo.
Ana mamlaka ya kukemea kweli?...ukimkemea mtu maana yake akirudi unamwadhibu...sasa huyu RIZ-ONE nguvu hizo anazo?
Nimefurahi kuona kijana wa kisilamu akiwafikishia waisilamu wenziwe ujumbe huu.
Wednesday, September 22, 2010
Ridhiwan Kikwete Akemea Udini....
Mjumbe wa Kamati ya Utekelezaji ya Baraza Kuu la Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa, Ridhiwani Kikwete, amekemea
tabia ya baadhi waumini wa dini ya kiislamu kudhihaki dini zingine
kwa kuwaita makafiri baadhi ya wagombea katika kampeni za Uchaguzi Mkuu zinazoendelea nchini.Ridhiwani,alikemea tabia hiyo katika mkutano wa kampeni juzi mjiniTunduru, baada ya kupata taarifa kuwa kuna baadhi ya viongozi wa
Chama cha Wananchi (CUF) wanatumia udini katika mikutano yao ya
kampeni kwa kuwaambia wananchi kuwa wasimchague Mgombea ubunge wa
Jimbo la Tunduru Kaskazini kupitia Chama Cha Mapinguzi (CCM),Injinia Ramo Makani kwa kumuita kafiri, kwa vile yeye ni mkristo.
samahni lkn usinifungie, hapa imekuja maada ya udini, kwa hivyuo ninahaki ya kuijadili kama unavyoijadili wewe, usinifungie . sura hiyo inazungumzia nhihd. haya pia yapo ktk agano la kale. sio jipya. lile liloshuka kwa mweyewe Yesu kristo. mtoto wa maria karne zilizopita
Ana mamlaka ya kukemea kweli?...ukimkemea mtu maana yake akirudi unamwadhibu...sasa huyu RIZ-ONE nguvu hizo anazo?
Itakuwa ngumu:confused2:Akikutana nao kwenye nyumba zao za ibada anaendelea kuwakemea?
Na UDOM je? dini moja ndo wanaqualify