Ridhiwani Kikwete anaandaliwa Urais 2030?

Desprospero

JF-Expert Member
Feb 1, 2023
887
2,201
Wana JF, hizi taarifa nimezipata kwa mtu mkubwa sana ndani ya TISS na ambaye amewahi kuwa kigogo wa idara hiyo.

Ameniambia Mzee Jakaya Kikwete ndiye yuko nyuma ya Mpango huu na sehemu kubwa ya vigogo ndani na nje ya idara. Moja ya mkakati ulifanikiwa ni kuhakikisha baada ya sheria ilikuwa asomee Masters ya International Relation na kweli tayari amehitimu ili msije kusema haijui Dunia.

Lakini pili nimeambiwa Ulinzi wa Ridhiwan Kikwete ni tofauti na mawaziri wenzake wote. Tayari amezungukwa muda wote na suti nyeusi wawili muda wote kuhakikisha nyendo zake zinakuwa salama. Rais Samia Suluhu Hassan naye anaujua Mpango huu.

Hatua ya tatu ni kuwapoteza watu maboya kwa kumhusisha na kumtaja January Makamba kama mgombea Urais 2030 lakini nia ni Makamba kumficha asionekane lakini mwisho yeye January Makamba atakuja kuwa Waziri Mkuu wa Ridhiwan Kikwete. Nguvu nyingine ni kutoka kwa Rais mstaafu wa Kenya Uhuru Kenyatta naye anasaidia mpango kwa Hali na Mali.

Baadhi ya mawaziri wanaojua mpango huu ni pamoja na Jenister Mhagama na Hussein Bashe ambao tayari wameanza "kujisogeza" kwa dogo kwa matumaini ya baadaye.
 
We unashangaa nini, CCM hata ikitaka tumbili iongoze hii nchi itaongoza, na wa Tanzania walivyo wanafiki watasema kwenye mitandao tumbili inaupiga mwingi imeleta maji na umeme, wengine watakuwa wanalalama kwa nini waongozwe na tumbili na si binadamu, malalamiko yataishia kwenye social medias na ku post vi memes baadae wanasahau.. Mi hata sishangai.
 
Huyo ni ngumu kuwa rais japo genge la wauza madawa ya kulevya wa dunia wanatamani sana wafanikishe jambo hilo la kumweka madarakani mtu wao maana anamikataba ya damu na wauza ngada wa dunia...wauza ngada wa dunia wanataka kutengeneza tena tanzania iwe heaven peace ya biashara ya madawa ya kulevya.
 
Wana JF, hizi taarifa nimezipata kwa mtu mkubwa sana ndani ya TISS na ambaye amewahi kuwa kigogo wa idara hiyo.

Ameniambia Mzee Jakaya Kikwete ndiye yuko nyuma ya Mpango huu na sehemu kubwa ya vigogo ndani na nje ya idara. Moja ya mkakati ulifanikiwa ni kuhakikisha baada ya sheria ilikuwa asomee Masters ya International Relation na kweli tayari amehitimu ili msije kusema haijui Dunia.

Lakini pili nimeambiwa Ulinzi wa Ridhiwan Kikwete ni tofauti na mawaziri wenzake wote. Tayari amezungukwa muda wote na suti nyeusi wawili muda wote kuhakikisha nyendo zake zinakuwa salama. Rais Samia Suluhu Hassan naye anaujua Mpango huu.

Hatua ya tatu ni kuwapoteza watu maboya kwa kumhusisha na kumtaja January Makamba kama mgombea Urais 2030 lakini nia ni Makamba kumficha asionekane lakini mwisho yeye January Makamba atakuja kuwa Waziri Mkuu wa Ridhiwan Kikwete. Nguvu nyingine ni kutoka kwa Rais mstaafu wa Kenya Uhuru Kenyatta naye anasaidia mpango kwa Hali na Mali.

Baadhi ya mawaziri wanaojua mpango huu ni pamoja na Jenister Mhagama na Hussein Bashe ambao tayari wameanza "kujisogeza" kwa dogo kwa matumaini ya baadaye.
WACHA AANDALIWE WATANZANIA NI WAJINGA SANA NA MACHAWA SANA

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
 
Wana JF, hizi taarifa nimezipata kwa mtu mkubwa sana ndani ya TISS na ambaye amewahi kuwa kigogo wa idara hiyo.

Ameniambia Mzee Jakaya Kikwete ndiye yuko nyuma ya Mpango huu na sehemu kubwa ya vigogo ndani na nje ya idara. Moja ya mkakati ulifanikiwa ni kuhakikisha baada ya sheria ilikuwa asomee Masters ya International Relation na kweli tayari amehitimu ili msije kusema haijui Dunia.

Lakini pili nimeambiwa Ulinzi wa Ridhiwan Kikwete ni tofauti na mawaziri wenzake wote. Tayari amezungukwa muda wote na suti nyeusi wawili muda wote kuhakikisha nyendo zake zinakuwa salama. Rais Samia Suluhu Hassan naye anaujua Mpango huu.

Hatua ya tatu ni kuwapoteza watu maboya kwa kumhusisha na kumtaja January Makamba kama mgombea Urais 2030 lakini nia ni Makamba kumficha asionekane lakini mwisho yeye January Makamba atakuja kuwa Waziri Mkuu wa Ridhiwan Kikwete. Nguvu nyingine ni kutoka kwa Rais mstaafu wa Kenya Uhuru Kenyatta naye anasaidia mpango kwa Hali na Mali.

Baadhi ya mawaziri wanaojua mpango huu ni pamoja na Jenister Mhagama na Hussein Bashe ambao tayari wameanza "kujisogeza" kwa dogo kwa matumaini ya baadaye.
Tanzania siyo nchi ya kifalme.

Aidha, katika utafiti wangu binafsi niliofanya nimegundua kwamba watu wengi wa ukanda wa Pwani hawako serious kabisa kwenye suala la utendaji kazi hususani zile kazi za uongozi wa nchi na maendeleo yake. Wanachoweza wao ni mambo ya kiswahili-swahili, mipasho na blah blah nyingi za kisiasa. Completely, they are not serious.
 
Wana JF, hizi taarifa nimezipata kwa mtu mkubwa sana ndani ya TISS na ambaye amewahi kuwa kigogo wa idara hiyo.

Ameniambia Mzee Jakaya Kikwete ndiye yuko nyuma ya Mpango huu na sehemu kubwa ya vigogo ndani na nje ya idara. Moja ya mkakati ulifanikiwa ni kuhakikisha baada ya sheria ilikuwa asomee Masters ya International Relation na kweli tayari amehitimu ili msije kusema haijui Dunia.

Lakini pili nimeambiwa Ulinzi wa Ridhiwan Kikwete ni tofauti na mawaziri wenzake wote. Tayari amezungukwa muda wote na suti nyeusi wawili muda wote kuhakikisha nyendo zake zinakuwa salama. Rais Samia Suluhu Hassan naye anaujua Mpango huu.

Hatua ya tatu ni kuwapoteza watu maboya kwa kumhusisha na kumtaja January Makamba kama mgombea Urais 2030 lakini nia ni Makamba kumficha asionekane lakini mwisho yeye January Makamba atakuja kuwa Waziri Mkuu wa Ridhiwan Kikwete. Nguvu nyingine ni kutoka kwa Rais mstaafu wa Kenya Uhuru Kenyatta naye anasaidia mpango kwa Hali na Mali.

Baadhi ya mawaziri wanaojua mpango huu ni pamoja na Jenister Mhagama na Hussein Bashe ambao tayari wameanza "kujisogeza" kwa dogo kwa matumaini ya baadaye.
Kila la kheri nia yake itimie!
 
Back
Top Bottom