Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo nalo neno!!!
Mix with yours
Jamaa kala kona!
GS kuutetea uwongo hadharani yataka pumzi.....!
Mix with yours
Yawezekana amewadharau tu....
Omarilyas
MBWAMBO ASOME WASIFU WA HAWA WATU (WATHINGU) NDIO ATAJUA NINI MAANA YA KUWA PIGIA CHAPUO WANAO:
List of Children of Presidents
YouTube - Malia and Sasha Obama in the White House: Doug Wead interviewed
- George Washington 1789-1797
- John Adams 1797-1801
- Thomas Jefferson 1801-1809
- James Madison 1809-1817
- James Monroe 1817-1825
- John Quincy Adams 1825-1829
- Andrew Jackson 1829-1837
- Andrew Jackson 1829-1837
- Martin Van Buren 1837-1841
- William Henry Harrison 1841
- John Tyler 1841-1845
- James K. Polk 1845-1849
- Zachary Taylor 1849-1850
- Millard Fillmore 1850-1853
- Franklin Pierce 1853-1857
- James Buchanan 1857-1861
- Abraham Lincoln 1861-1865
- Andrew Johnson 1865-1869
- Ulysses S. Grant 1869-1877
- Rutherford B. Hayes 1877-1881
- James A. Garfield 1881
- Chester Alan Arthur 1881-1885
- Grover Cleveland 1885-1889 and 1893-1897
- Benjamin Harrison 1889-1893
- William McKinley 1897-1901
- Theodore Roosevelt 1901-1909
- William Howard Taft 1909-1913
- Woodrow Wilson 1913-1921
- Warren G. Harding 1921-1923
- Calvin Coolidge 1923-1929
- Herbert Clark Hoover 1929-1933
- Franklin Delano Roosevelt 1933-1945
- Harry S. Truman 1945-1953
- Dwight David Eisenhower 1953-1961
- John Fitzgerald Kennedy 1961-1963
- John Fitzgerald Kennedy 1961-1963
- Lyndon Baines Johnson 1963-1969
- Richard Milhous Nixon 1969-1974
- Gerald Rudolph Ford 1974-1977
- James Earl Carter, Jr. 1977-1981
- Ronald Wilson Reagan 1981-1989
- George Herbert Walker Bush 1989-1993
- William Jefferson Clinton 1993-2001
- George W. Bush 2001-
Hujaelewa mada si habari ya fundi bomba na fundi bomba...rudi tena uisomeMwandishi wa hii makala inaelekea hajutaka kujikita katika hali halisi ya kimaisha. Si ajabu mtoto wa askari kuwa askari, mtoto wa fundi bomba kuwa fundi bomba, na mtoto wa mwana siasa kuwa mwanasiasa. Siasa huwa zinakuwepo mpaka nyumbani, na maandalizi ya kisiasa kwa watu kama akina January na Ridhiwani wanaweza kuwa walikuwa wanayapata tangu wakiwa wadogo. Marekani pekee yake imekwisha to Marais watatu ambao ni watoto au ndugu wa Rais aliyekuwepo madarakani.
Hivyo siajabu kwa mlimao kuzaa mlimao na ukizaa mchungwa basi unaweza kuwa wa kupandikizwa hivi ndivyo tunavyoamini kule kwetu Uchina. Mpiga zumari anaweza kuzaa mtoto bingwa wa kucheza zumari au bingwa wa kulipiga. hivyo mwandishi hakuitendea wema taaluma yake kwasababu alichukuwa hisia zake kumwongoza katika uandishi wa makala hiyo zaidi ya ilivyotakiwa kwa tafakuri na taaluma na mitaala yake ya uandishi wa habari na makala hayo.
Inabidi kuwapa watoto fursa mbali mbali ili waweze kuwa na uwigo mkubwa wa kuchagua nini wanataka kukifanya. Wakichaguwa siasa wasaidie tu, wakichagua kulima wape jembe walime, wakiamua kucheza sinema wapeleke shule za mchepuo huo na wakiamua kuwa wajasiria mali wape mtaji na mwongozo wa kufanya hivyo. ila tu tusilalamike bila sababu za msingi.
Unadhani wewe peke yako ndio unaowajua hao.....toka mwanzo nimesema namjua ridhiwani na sio januaryI hope unachokijua ndio ukweli hata kama unaowahukumu huwajui....
omarilyas
Hello Ngoshwe,
Hiyo ni list of Children of presidents au ni list of presidents?
Watu wanaweza kuelewa kuwa marais wote wa USA baba zao walikuwa marais.
Si busara kuamini kuwa viongozi lazima watokane na uongozi wa wazazi wao, wakati mwingine juhudi binfsi zinwafikisha walikofika!
Namheshimu sana Ndugu Mbwambo. Hivyo napenda kumpa zoezi moja. Ajitahidi kuwajua kina Ridhwan na January Makamba kama wao na sio watoto wa "wakubwa" halafu ndio atoe judgment yake. Pia kuhusu suala la Hussein Mwinyi na elimu yake ya udaktari, napenda kuuliza kuwa ni wanasiasa ama viongozi gani na wangapi wamesomea sayansi ya siasa ama utawala? Hivi hakuna wahandisi ambao ni mawaziri tena wa wizara tofauti na elimu zao? Hivi kaka Mbwambo katika maisha yake yote amefanya kazi ile tu inayoendana na elimu ama fani aliyosomea tu? Lakini pia yeye kama mwandishi asingependa kuona mwanawe mmojawapo anakuwa muandishi na akapata mafanikio kama yeye? Lakini pia anaposema kuwa wazungu hawapendi kubebwa anaamini hivyo ama ni njia ya kurembesha maandiko yake? Hivi kweli mfano wa mtoto wa Buffet ambaye baba yake anajulikana duniani kote kuwa ni tajiri asiye na makuu ndio uwe mfano wa wazungu wote?
Ni hayo tu...
Omarilyas
Namheshimu sana Ndugu Mbwambo. Hivyo napenda kumpa zoezi moja. Ajitahidi kuwajua kina Ridhwan na January Makamba kama wao na sio watoto wa "wakubwa" halafu ndio atoe judgment yake. Pia kuhusu suala la Hussein Mwinyi na elimu yake ya udaktari, napenda kuuliza kuwa ni wanasiasa ama viongozi gani na wangapi wamesomea sayansi ya siasa ama utawala? Hivi hakuna wahandisi ambao ni mawaziri tena wa wizara tofauti na elimu zao? Hivi kaka Mbwambo katika maisha yake yote amefanya kazi ile tu inayoendana na elimu ama fani aliyosomea tu? Lakini pia yeye kama mwandishi asingependa kuona mwanawe mmojawapo anakuwa muandishi na akapata mafanikio kama yeye? Lakini pia anaposema kuwa wazungu hawapendi kubebwa anaamini hivyo ama ni njia ya kurembesha maandiko yake? Hivi kweli mfano wa mtoto wa Buffet ambaye baba yake anajulikana duniani kote kuwa ni tajiri asiye na makuu ndio uwe mfano wa wazungu wote?
Ni hayo tu...
Omarilyas
Kwa Tanzania mgongano wa kimasrahi ni vigumu sana kuukwepa.
Akina baba waliopo madarakani wanaweza jikuta wana nyimwa hata unyumba kwa ajili ya mgongano wa kimasrahi.
Sultanate of Tanzania.......
Huyo omarilyas "anajiamini" kwa hayo anayosema by virtue of his capacity as Salim Ahmed Salim's Personal Assistant. Kwa hiyo, anataka watu wote wawe na imani naye sababu anafahamiana na watoto wa vigogo kutokana na wadhifa wake huo.
Ameshindwa kabisa kuorodhesha "vigezo tosha" anavyodai hao aliowataja wanavyo kuonyesha kweli wanastahili nafasi za uongozi.
Omarilyas will always be Omarilyas... he will always so (or too) self confident even when he should not be. It could prove to be useful in some ways but I mean come on.. defending Ridhwani or Benno Malissa as COMPETENT? puleeez!
hee,na Benno naye yumo?
Msanii,heshima mbele!Tanzania sio nchi ya kisultani bwana labda Zanzibar..Hoja ya msingi hapa hivi watoto wetu hawatakiwi kutamani career za wazazi wao?