Ridhiwan Kikwete: Mimi si fisadi

Yawezekana amewadharau tu....

Omarilyas

Ooh haipendezi kwa kiajana kama wewe kuwa na dharau,uko hivyo unaanza dharau utafiki kweli?by the way mimi naona umekujidharau mwenyewe kwani ulipaswa kujibu hoja..Sio kukimbia hoja.Mimi natafsiri kwamba umekosa la kujibu wala sio kunaidharau.
 
MBWAMBO ASOME WASIFU WA HAWA WATU (WATHINGU) NDIO ATAJUA NINI MAANA YA KUWA PIGIA CHAPUO WANAO:

List of Children of Presidents

  1. George Washington 1789-1797
  2. John Adams 1797-1801
  3. Thomas Jefferson 1801-1809
  4. James Madison 1809-1817
  5. James Monroe 1817-1825
  6. John Quincy Adams 1825-1829
  7. Andrew Jackson 1829-1837
  8. Andrew Jackson 1829-1837
  9. Martin Van Buren 1837-1841
  10. William Henry Harrison 1841
  11. John Tyler 1841-1845
  12. James K. Polk 1845-1849
  13. Zachary Taylor 1849-1850
  14. Millard Fillmore 1850-1853
  15. Franklin Pierce 1853-1857
  16. James Buchanan 1857-1861
  17. Abraham Lincoln 1861-1865
  18. Andrew Johnson 1865-1869
  19. Ulysses S. Grant 1869-1877
  20. Rutherford B. Hayes 1877-1881
  21. James A. Garfield 1881
  22. Chester Alan Arthur 1881-1885
  23. Grover Cleveland 1885-1889 and 1893-1897
  24. Benjamin Harrison 1889-1893
  25. William McKinley 1897-1901
  26. Theodore Roosevelt 1901-1909
  27. William Howard Taft 1909-1913
  28. Woodrow Wilson 1913-1921
  29. Warren G. Harding 1921-1923
  30. Calvin Coolidge 1923-1929
  31. Herbert Clark Hoover 1929-1933
  32. Franklin Delano Roosevelt 1933-1945
  33. Harry S. Truman 1945-1953
  34. Dwight David Eisenhower 1953-1961
  35. John Fitzgerald Kennedy 1961-1963
  36. John Fitzgerald Kennedy 1961-1963
  37. Lyndon Baines Johnson 1963-1969
  38. Richard Milhous Nixon 1969-1974
  39. Gerald Rudolph Ford 1974-1977
  40. James Earl Carter, Jr. 1977-1981
  41. Ronald Wilson Reagan 1981-1989
  42. George Herbert Walker Bush 1989-1993
  43. William Jefferson Clinton 1993-2001
  44. George W. Bush 2001-
YouTube - Malia and Sasha Obama in the White House: Doug Wead interviewed

Hello Ngoshwe,

Hiyo ni list of Children of presidents au ni list of presidents?
Watu wanaweza kuelewa kuwa marais wote wa USA baba zao walikuwa marais.
Si busara kuamini kuwa viongozi lazima watokane na uongozi wa wazazi wao, wakati mwingine juhudi binfsi zinwafikisha walikofika!
 
Mwandishi wa hii makala inaelekea hajutaka kujikita katika hali halisi ya kimaisha. Si ajabu mtoto wa askari kuwa askari, mtoto wa fundi bomba kuwa fundi bomba, na mtoto wa mwana siasa kuwa mwanasiasa. Siasa huwa zinakuwepo mpaka nyumbani, na maandalizi ya kisiasa kwa watu kama akina January na Ridhiwani wanaweza kuwa walikuwa wanayapata tangu wakiwa wadogo. Marekani pekee yake imekwisha to Marais watatu ambao ni watoto au ndugu wa Rais aliyekuwepo madarakani.

Hivyo siajabu kwa mlimao kuzaa mlimao na ukizaa mchungwa basi unaweza kuwa wa kupandikizwa hivi ndivyo tunavyoamini kule kwetu Uchina. Mpiga zumari anaweza kuzaa mtoto bingwa wa kucheza zumari au bingwa wa kulipiga. hivyo mwandishi hakuitendea wema taaluma yake kwasababu alichukuwa hisia zake kumwongoza katika uandishi wa makala hiyo zaidi ya ilivyotakiwa kwa tafakuri na taaluma na mitaala yake ya uandishi wa habari na makala hayo.

Inabidi kuwapa watoto fursa mbali mbali ili waweze kuwa na uwigo mkubwa wa kuchagua nini wanataka kukifanya. Wakichaguwa siasa wasaidie tu, wakichagua kulima wape jembe walime, wakiamua kucheza sinema wapeleke shule za mchepuo huo na wakiamua kuwa wajasiria mali wape mtaji na mwongozo wa kufanya hivyo. ila tu tusilalamike bila sababu za msingi.
 
Mwandishi wa hii makala inaelekea hajutaka kujikita katika hali halisi ya kimaisha. Si ajabu mtoto wa askari kuwa askari, mtoto wa fundi bomba kuwa fundi bomba, na mtoto wa mwana siasa kuwa mwanasiasa. Siasa huwa zinakuwepo mpaka nyumbani, na maandalizi ya kisiasa kwa watu kama akina January na Ridhiwani wanaweza kuwa walikuwa wanayapata tangu wakiwa wadogo. Marekani pekee yake imekwisha to Marais watatu ambao ni watoto au ndugu wa Rais aliyekuwepo madarakani.

Hivyo siajabu kwa mlimao kuzaa mlimao na ukizaa mchungwa basi unaweza kuwa wa kupandikizwa hivi ndivyo tunavyoamini kule kwetu Uchina. Mpiga zumari anaweza kuzaa mtoto bingwa wa kucheza zumari au bingwa wa kulipiga. hivyo mwandishi hakuitendea wema taaluma yake kwasababu alichukuwa hisia zake kumwongoza katika uandishi wa makala hiyo zaidi ya ilivyotakiwa kwa tafakuri na taaluma na mitaala yake ya uandishi wa habari na makala hayo.

Inabidi kuwapa watoto fursa mbali mbali ili waweze kuwa na uwigo mkubwa wa kuchagua nini wanataka kukifanya. Wakichaguwa siasa wasaidie tu, wakichagua kulima wape jembe walime, wakiamua kucheza sinema wapeleke shule za mchepuo huo na wakiamua kuwa wajasiria mali wape mtaji na mwongozo wa kufanya hivyo. ila tu tusilalamike bila sababu za msingi.
Hujaelewa mada si habari ya fundi bomba na fundi bomba...rudi tena uisome
 
I hope unachokijua ndio ukweli hata kama unaowahukumu huwajui....

omarilyas
Unadhani wewe peke yako ndio unaowajua hao.....toka mwanzo nimesema namjua ridhiwani na sio january
Ubavu wa kudharau watu katika hoja hii huna....umekimbia hoja
Mix with yours
 
Hello Ngoshwe,

Hiyo ni list of Children of presidents au ni list of presidents?
Watu wanaweza kuelewa kuwa marais wote wa USA baba zao walikuwa marais.
Si busara kuamini kuwa viongozi lazima watokane na uongozi wa wazazi wao, wakati mwingine juhudi binfsi zinwafikisha walikofika!

Umenifikirisha kitu hapa.Nilkuwa sijagutuka.
 
Namheshimu sana Ndugu Mbwambo. Hivyo napenda kumpa zoezi moja. Ajitahidi kuwajua kina Ridhwan na January Makamba kama wao na sio watoto wa "wakubwa" halafu ndio atoe judgment yake. Pia kuhusu suala la Hussein Mwinyi na elimu yake ya udaktari, napenda kuuliza kuwa ni wanasiasa ama viongozi gani na wangapi wamesomea sayansi ya siasa ama utawala? Hivi hakuna wahandisi ambao ni mawaziri tena wa wizara tofauti na elimu zao? Hivi kaka Mbwambo katika maisha yake yote amefanya kazi ile tu inayoendana na elimu ama fani aliyosomea tu? Lakini pia yeye kama mwandishi asingependa kuona mwanawe mmojawapo anakuwa muandishi na akapata mafanikio kama yeye? Lakini pia anaposema kuwa wazungu hawapendi kubebwa anaamini hivyo ama ni njia ya kurembesha maandiko yake? Hivi kweli mfano wa mtoto wa Buffet ambaye baba yake anajulikana duniani kote kuwa ni tajiri asiye na makuu ndio uwe mfano wa wazungu wote?

Ni hayo tu...

Omarilyas

Hivi Ridhwani na Januari wanalipi la kujulikana ambalo litatusaidia kwa mfano wakiwa wabunge? Si wametoka shule juzi tu na wao ndio wanatakiwa wajifunze kwa wengine kwanza?
 
Namheshimu sana Ndugu Mbwambo. Hivyo napenda kumpa zoezi moja. Ajitahidi kuwajua kina Ridhwan na January Makamba kama wao na sio watoto wa "wakubwa" halafu ndio atoe judgment yake. Pia kuhusu suala la Hussein Mwinyi na elimu yake ya udaktari, napenda kuuliza kuwa ni wanasiasa ama viongozi gani na wangapi wamesomea sayansi ya siasa ama utawala? Hivi hakuna wahandisi ambao ni mawaziri tena wa wizara tofauti na elimu zao? Hivi kaka Mbwambo katika maisha yake yote amefanya kazi ile tu inayoendana na elimu ama fani aliyosomea tu? Lakini pia yeye kama mwandishi asingependa kuona mwanawe mmojawapo anakuwa muandishi na akapata mafanikio kama yeye? Lakini pia anaposema kuwa wazungu hawapendi kubebwa anaamini hivyo ama ni njia ya kurembesha maandiko yake? Hivi kweli mfano wa mtoto wa Buffet ambaye baba yake anajulikana duniani kote kuwa ni tajiri asiye na makuu ndio uwe mfano wa wazungu wote?

Ni hayo tu...

Omarilyas

huhitaji darubini kuona kama ridhwani na januari wanabebwa na baba zao au kwa hofu ya baba zao.
 
Kwa Tanzania mgongano wa kimasrahi ni vigumu sana kuukwepa.
Akina baba waliopo madarakani wanaweza jikuta wana nyimwa hata unyumba kwa ajili ya mgongano wa kimasrahi.

Haha hapo kweli umenichekesha
 
Huyo omarilyas "anajiamini" kwa hayo anayosema by virtue of his capacity as Salim Ahmed Salim's Personal Assistant. Kwa hiyo, anataka watu wote wawe na imani naye sababu anafahamiana na watoto wa vigogo kutokana na wadhifa wake huo.

Ameshindwa kabisa kuorodhesha "vigezo tosha" anavyodai hao aliowataja wanavyo kuonyesha kweli wanastahili nafasi za uongozi.

Omarilyas will always be Omarilyas... he will always so (or too) self confident even when he should not be. It could prove to be useful in some ways but I mean come on.. defending Ridhwani or Benno Malissa as COMPETENT? puleeez!
 
Omarilyas will always be Omarilyas... he will always so (or too) self confident even when he should not be. It could prove to be useful in some ways but I mean come on.. defending Ridhwani or Benno Malissa as COMPETENT? puleeez!

hee,na Benno naye yumo?
 
Msanii,heshima mbele!Tanzania sio nchi ya kisultani bwana labda Zanzibar..Hoja ya msingi hapa hivi watoto wetu hawatakiwi kutamani career za wazazi wao?

Yes GS but nadhani its more than kutamani hapa...nilichangia thread fulani nikapinga kabisa hoja ya kusema watoto wa wanasiasa wasiwe wanasiasa...nikaeleza msimamo wangu ni kwamba kama ana uwezo wa kuongoza ana haki zote za kuwa na dhamana ya uongozi...KIBAYA NINACHOKIONA NI ILE HALI YA MTU ASIYE NA UWEZO KUONGOZA KUTAMANI KUWA KIONGOZI NA KUTuMIA MGONGO WA BABA AU MAMA YAKE ILI KUPATA UONGOZI....huuu ni upuuziiiii NAMBA 1 ....NAMBA 2 ni wananchi nao kumshabikia mtoto huyo wa mkubwa na kumpigia kura eti kwa sababu ni mtoto wa fulani....najua akitokea mtoto wa moringe hapa hata kama GARASA ataungwa mkono na wengi....
Mmmh mtoto anaweza akatamani uinjinia au udaktari wa baba yake lakini madude yakamzidia akajikuta analalala mbele....it's more than kutamani....
mix with yours
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom