murutongore
JF-Expert Member
- Jun 29, 2013
- 2,051
- 639
Haifunguki
Usijichanganye na hizo multiple ID. Haitakusaidia
Haifunguki
No need to mention him. Coz he is a chicken and too emotional for my liking. This forum is not for cry babies. Which I'm beginning to believe that you are too.
za news of rwanda zinafunguka lakini hii tu ndio haifunguki, in our legal proffession, that is an admission of defeat.
usizugee, ulikuwa hujui! hahahaha.
Naona mmeamua jupambana humu JF,aya endeleeni,tunawasoma
Haifunguki
Usijichanganye na hizo multiple ID. Haitakusaidia
Murutongore's join date: 29th June 2013
korofu's join date: 21st june 2013.
Jmali's join date: 9th Nov 2010
Let's see i joined first, then korofu, then YOU! and now korofu is supposedly my extra ID? only a dimwit....
Ukisoma huu uzi na nyingine za aina hii ambazo karibu ni watu walewale wanabishana unatambua jambo moja kwamba watawala wetu wa sasa wamejiingiza ktk moja ya siasa chafu ambazo mwisho ni aibu!
Ukiwasoma kwa makini kama akili yako ni nzuri utagundua kuna watu wanamtukana Kagame na Rwanda na hawakosekani ktk threads za aina hii lakini ni ktk kutafiti kuwafahamu mahasimu wao vizuri.
Jambo jingine naliona hapa na pengine ntaendelea kujifunza na kutafiti zaidi ni msimamo halisi wa Mtikila. Inawezekana kama kawaida yake anatumika upande wa Kagame huku akijidai ni mchochezi mkubwa na hasimu mkubwa wa Watutsi!
Logic yako ni kama ya nzi...what does that have to do with you having multiple IDs....:loco:
1. Mbona unaona wanaomtukana kagame tu? Always hapa JF ukiona kagame anatajwa ni katika defense ya Tanzania sio offensive, inakuwaje wewe unaona upande huu tu wa kujibu mashambulizi badala ya kuangalia anayeshambulia?
2. Mtikila anatumikaje upande wa kagame exactly? Kagame mwenyewe ameshawahi kumtaja mtikila wazi wazi hii inawezekanaje?
Ooooh...you are loosing it. Mbona naona unaanza kuwa defensive. Usinikatishe tamaa. You are becoming like rushasha (the emotional wreck)
ndio. wewe unajua sana. umeshinda .unataka zawadi gani? peremende?
OOh Rwanda iko juu kwa ICT, ooh chekechea zote kuna Ipad, ooh wi-fi mpaka chooni, ooh... kumbe hata ku-mention mtu kwenye forum (btw, hakuna hata forum moja Rwanda) hamjui, tehetehe Ipad zenu za mbao nini?
Nimekuuliza unataka peremende?
Mkuu jmali, ndiyo maana zinaitwa secret service, they have to operate secretly.Hiyo DMI inaruhusiwa kufanya shughuli zake nchi za wenzao au walipata ruhusa ya TZ?
sitaki " i fear the tutsi (extremists) even when they bring gifts."
Mkuu jmali, ndiyo maana zinaitwa secret service, they have to operate secretly.
point yangu ni kwamba ni kinyume cha sheria, tena i think an act of war, kufanya vitendo vya kijasusi nchi nyingine bila ruhusa yao. DMI ya Rwanda inatuhumiwa kufanya sana vitendo hivi kwa sababu Rwanda ni dictatorship.
Huyu mtuhumiwa yuko kwenye list ya kimataifa ya UN, hawa DMI kama wamehusika kumteka ujue wamemuua tu, hawataki aende kortini.
sitaki " i fear the tutsi (extremists) even when they bring gifts."
Yeah. Thats more like you. Wuss