Asante sana kwa taarifa mkuu. Nilisoma hii ripoti mahali fulani. Pia nikasoma kuwa kuna wana "usalama" wa Tanzania wali-demand US$5million for the "general" Bigaruka wakanyimwa, dau likashuka mpaka $3million. Inasemekana amekamatwa na DMI agents akiwa Kigoma. Hongera sana Pres Kagame na DMI yako makini kwa kumkamata gaidi huyu hatari kwa usalama si tu wa Rwanda bali pia eneo la maziwa makuu. Ushauri wa bure, moja Mtikila achukuliwe hatua kwa kuwakirimu magaidi wa FDLR na kutetea mauaji ya halaiki. Pili, Tanzania tusikubali ardhi yetu itumiwe na hawa wauaji wa FDLR.