Rev. Mtikila Confirms Hosting FDLR Commanders in Dar es Salaam

Rev. Mtikila Confirms Hosting FDLR Commanders in Dar es Salaam

Kwa uzoefu wangu kiasi niseme wazi ningekuwa Kikwete nisingejiingiza ktk hizi mishemishe za matatizo ya nchi za Maziwa Makuu wakati muda wangu unaisha na kama nchi hatuna sera rasmi kuhusu migogoro ya muda mrefu ktk eneo hilo. Kwa Mtikila kusema hivyo ni kucover face ya Watawala. Mtikila atamwalika vipi na kumwingiza nchini mtu anayekabiliwa na vikwazo vya UN??
Na niseme hiki kibarua anachotumika Mtikila sasa, na kampeni yake ya kuchochea chuki kwa Watutsi sitashangaa akimaliza maisha yake ktk jela za UN!
Mkuu unaamini Kuwa Mtikila ndiye kafanya mipango yote Mpaka kuwaleta Jamaa nchini na kukaa nao bila serikali kujua? Tuanze na usalama wetu kwanza Kabla ya kumfikia Mch. Uhamiaji na TISS walikuwa wapi? Nachelea kusema Kuwa mpango huu serikali ndiyo yakulaumu.
 
he most significant event of the year was the military defeat of the
Mouvement du 23 mars (M23) rebel moveme
nt in the Democratic Republic of the
Congo and its flight to Rwanda and Uganda. The Group of Experts on the
Democratic Republic of the Congo documented human rights abuses by M23 during
2013 and confirmed that M23 received various forms of support from Rwandan
territory, including recruitment, troop reinforcement, ammunition deliveries and fire
support. At the time of writing the present report, the Group had received credible
information that sanctioned M23 leaders were
moving freely in Uganda and that M23
continued to recruit in Rwanda

Yani wewe unaenda out of topic,huoni huyo malaya wenu mtikila kwamba anaweza tumiwa na yeyote hata kuihujumu tanzania?
 
Tuanze na usalama wetu kwanza Kabla ya kumfikia Mch. Uhamiaji na TISS walikuwa wapi?.

Kazi ya TISS ni kushughulikia usalama wa Tanzania sio usalama wa Rwanda.TISS wala Uhamiaji si waajiriwa wa Rwanda na hawawajibiki kwa lolote kwa Rwanda na hawawajibiki kuifanyia kazi ya aina yoyote ya Rwanda iwe ya kiuhamiaji au kiusalama .

Uhamiaji ya Tanzania na TISS sio idara ya Rwanda hivyo huna haki ya kuhoji walikuwa wapi kufanya kazi kwa niaba ya Rwanda.TISS AND IMMIGRATION ARE NOT AGENTS OR POLICE POST OF RWANDA. Waache TISS na UHAMIAJI wetu.Uwaache na uwakome kabisa.
 
Zanzibar-Nyamwezi kiongozi hapana sijasema hilo. Ripoti niliyoisoma inadai kuwa kuna wana usalama walipomuweka huyo FDLR genocidaire under house arrest waliwafamisha FDLR ya kuwa kama wanataka aachiwe ni shurti walipe hizo US$5million. Zilipokataliwa, dau likashuka mpaka US$3million. Sasa sijui kama zilitolewa au la. Lakini ripoti inasema kuwa Bigaruka alidakwa akiwa Kigoma na DMI. Uhusika au ushirikiano wa Mtikila na wana usalama siufahamu na sina habari nao kwa kuwa haunihusu.

Hiyo DMI inaruhusiwa kufanya shughuli zake nchi za wenzao au walipata ruhusa ya TZ?
 
Mkuu unaamini Kuwa Mtikila ndiye kafanya mipango yote Mpaka kuwaleta Jamaa nchini na kukaa nao bila serikali kujua? Tuanze na usalama wetu kwanza Kabla ya kumfikia Mch. Uhamiaji na TISS walikuwa wapi? Nachelea kusema Kuwa mpango huu serikali ndiyo yakulaumu.

wahamiaji haramu mliojiharamisha kwa maovu yenu mtahangaika sana kabla ya kihama chenu
 
Kazi ya TISS ni kushughulikia usalama wa Tanzania sio usalama wa Rwanda.TISS wala Uhamiaji si waajiriwa wa Rwanda na hawawajibiki kwa lolote kwa Rwanda na hawawajibiki kuifanyia kazi ya aina yoyote ya Rwanda iwe ya kiuhamiaji au kiusalama .

Uhamiaji ya Tanzania na TISS sio idara ya Rwanda hivyo huna haki ya kuhoji walikuwa wapi kufanya kazi kwa niaba ya Rwanda.TISS AND IMMIGRATION ARE NOT AGENTS OR POLICE POST OF RWANDA. Waache TISS na UHAMIAJI wetu.Uwaache na uwakome kabisa.

waeleze hao wahamiaji haramu
 
cc jmali, rushasha aka mume wa shetani, mokala 1989 aka majeshi 1981 aka (foot soldier wa bigaruka)

Nyie watu mnajitapa sana kujua IT EAC, mbona unatia aibu kila siku? ukitaka kuCC unafanya:

1. andika cc: kisha weka '@' kabla ya jina la member, e.g '@murutongore' AU
2. Copy jina la member unayetaka kumcc kama lilivyo kwenye thread pamoja na link yake uipesti!
 
nyie watu mnajitapa sana kujua it eac, mbona unatia aibu kila siku? Ukitaka kucc unafanya:

1. Andika cc: Kisha weka '@' kabla ya jina la member, e.g '@murutongore' au
2. Copy jina la member unayetaka kumcc kama lilivyo kwenye thread pamoja na link yake uipesti!

achane na hilo punga, hofu imeanza kuwatanda, mtenda maovu hatakaa aishi maisha ya amani kamwe!
 
Hiyo DMI inaruhusiwa kufanya shughuli zake nchi za wenzao au walipata ruhusa ya TZ?

jMali mkuu sina uhakika kuhusu ushirikishwaji wa vyombo vya usalama wa Tanzania katika operesheni ya kumteka mhalifu-muuaji Bigaruka. Nadhani wenzi wetu walio katika nyanja ya usalama wanaweza kutuelewesha zaidi. Nilichokisoma ni kuwa huyu kamanda wa FDLR alidakwa na DMI operatives akiwa Kigoma akijiandaa kurudi DRC. Nafsi yangu, uzalendo wangu na objectivity vinanikataza kufikiria ki-nadharia.
 
Inawezekana Mtikila naye hana akili. Mtu huyu ana ulinzi gani wa kujiamini hadi kukaribisha magaidi kwa siri na kukaa nao nyumba moja?

Mtikila ni njaa kali... ndo maana aliweza kuchukuwa millioni tatu kwa RA, akaja kuumbuka ushahidi ulipotolewa, njaa kali huondoa akili...
 
wahamiaji haramu mliojiharamisha kwa maovu yenu mtahangaika sana kabla ya kihama chenu
Unajua ulichokiandika? Kihama ndiyo nini? Bora sisi wahamiaji haramu tunaoujua uharamu wetu kuliko Watu Kama wewe wasiojua Kama ni haramu au si haramu.
Ukijitambua unatambulika.
 
Kazi ya TISS ni kushughulikia usalama wa Tanzania sio usalama wa Rwanda.TISS wala Uhamiaji si waajiriwa wa Rwanda na hawawajibiki kwa lolote kwa Rwanda na hawawajibiki kuifanyia kazi ya aina yoyote ya Rwanda iwe ya kiuhamiaji au kiusalama .

Uhamiaji ya Tanzania na TISS sio idara ya Rwanda hivyo huna haki ya kuhoji walikuwa wapi kufanya kazi kwa niaba ya Rwanda.TISS AND IMMIGRATION ARE NOT AGENTS OR POLICE POST OF RWANDA. Waache TISS na UHAMIAJI wetu.Uwaache na uwakome kabisa.
Unaaminisha Kuwa Mtu toka Rwanda anaweza kuingia nchini Tanzania kwa njia za Panya na TISS na uhamiaji isiwahusu? Hatuongei kuhusu Mtu toka Tanzania kuingia Rwanda it's vise versa.
How can a mind of the living people go without noticing this kind of inefficiency performance of the people we trusted and give them mandate for our security? The guys have been banned to travel but they were here, how did they get in our land without us knowing? Bado serikali inakanusha Kuwa Jamaa walikuja wakakaa Tanzania kwa Amani kisha wakaondoka zao.
so we have to blame Rwanda for letting them come in tz without us knowing? Come on men, get up and let your mind works on behalf of the things you are sitting with!
 
Back
Top Bottom