Rev. Mtikila Confirms Hosting FDLR Commanders in Dar es Salaam

Rev. Mtikila Confirms Hosting FDLR Commanders in Dar es Salaam

mkuu wewe nitaendelea kukutilia shaka milele na yeyote anayefuatilia uchangiaji wako katika jukwaa hili, sina shaka umetumwa kuwa sehemu ya walioandaliwa kuifuruga nchi hii, kamwe wewe na aliyekutuma hamtafanikiwa, na utalaaniwa zaidi ya kizazi cha nyoka. VIVA TANZANIA

Inayokuhifadhi! Shukuru mungu ila usiote kuwa utarudi rwanda. Hiyo sahau.
 
Hawana mkono wowote ule. Ni ajali tu.

Hata familia wamekiri hivyo. Lakini, natamani uchunguzi nje ya post mortem ya hospitalini ungeendelea (japo nyuma ya pazia).

Mfano, hayo malori au hilo gari dogo lililojaa njia yao hadi wakaenda msituni. Je kuna link yoyote?

Adui wa zamani anaweza kutumia mwanya ili ionekane 'adui' wa sasa ana mkono (Mungu wa adui wa sasa 'kalipiza'?)
 
Hata familia wamekiri hivyo. Lakini, natamani uchunguzi nje ya post mortem ya hospitalini ungeendelea (japo nyuma ya pazia).

Mfano, hayo malori au hilo gari dogo lililojaa njia yao hadi wakaenda msituni. Je kuna link yoyote?

Adui wa zamani anaweza kutumia mwanya ili ionekane 'adui' wa sasa ana mkono (Mungu wa adui wa sasa 'kalipiza'?)

Adui wa zamani anafanya kazi na adui wa sasa
Au hujui link ya Lowassa na Kagame?
 
Hata familia wamekiri hivyo. Lakini, natamani uchunguzi nje ya post mortem ya hospitalini ungeendelea (japo nyuma ya pazia).

Mfano, hayo malori au hilo gari dogo lililojaa njia yao hadi wakaenda msituni. Je kuna link yoyote?

Adui wa zamani anaweza kutumia mwanya ili ionekane 'adui' wa sasa ana mkono (Mungu wa adui wa sasa 'kalipiza'?)

Uchunguzi wa polisi umeshafanyika na hakukuwa na faulo yoyote. Tatizo ni kuwa watu wanatumia ile picha kama kigezo. Ile picha ilipigwa baadae kabisa baada ya watu kumuokota na kumkagua kagua kuona kuwa yuko hai au la. Sio kwamba ilipigwa immediately baada ya ajali. Ilipigwa baadae. Ni kwamba katika ajali, mtikila actually alikuwa amelaliwa na gari, walimchomoa toka chini ya gari na kumuweka pembeni. Kufunguliwa mkanda wa suruali, viatu na tai, ni mambo ya kawaida mtu anapopewa huduma ya kwanza.
 
Uchunguzi wa polisi umeshafanyika na hakukuwa na faulo yoyote. Tatizo ni kuwa watu wanatumia ile picha kama kigezo. Ile picha ilipigwa baadae kabisa baada ya watu kumuokota na kumkagua kagua kuona kuwa yuko hai au la. Sio kwamba ilipigwa immediately baada ya ajali. Ilipigwa baadae. Ni kwamba katika ajali, mtikila actually alikuwa amelaliwa na gari, walimchomoa toka chini ya gari na kumuweka pembeni. Kufunguliwa mkanda wa suruali, viatu na tai, ni mambo ya kawaida mtu anapopewa huduma ya kwanza.

Ripoti ya polisi haisemi kuwa alilaliwa na gari,ripoti inasema alirushwa nje ya kioo cha mbele tena mbali
 
Ripoti ya polisi haisemi kuwa alilaliwa na gari,ripoti inasema alirushwa nje ya kioo cha mbele tena mbali

Maelezo yote yametolewa na majeruhi, alirushwa na kutokea mbele, kisha gari ikamlalia, wenzake ndio walimchomoa chini before polisi kufika. Polisi wameshaungana na maelezo hayo.
 
Maelezo yote yametolewa na majeruhi, alirushwa na kutokea mbele, kisha gari ikamlalia, wenzake ndio walimchomoa chini before polisi kufika. Polisi wameshaungana na maelezo hayo.

Hebu tuache masihara mwili wa marehemu ulivyo katika picha ni wa binadamu aliyelaliwa na gari????
Hana hata mchirizi wa damu na kifua kinaonekana na uso???
Unajua uzito wa gari? Unajua ulaini wa mwili wa binadamu? Hata mkwaruzo hakuna??
Polisi waache masihara!
 
Hebu tuache masihara mwili wa marehemu ulivyo katika picha ni wa binadamu aliyelaliwa na gari????
Hana hata mchirizi wa damu na kifua kinaonekana na uso???
Unajua uzito wa gari? Unajua ulaini wa mwili wa binadamu? Hata mkwaruzo hakuna??
Polisi waache masihara!
Mtatafuta kila namna mpate sababu ya kumchafua jamaa,hapo vichwani mwenu tayari mnafikiria kumhusisha Lowassa,Lowassa hawezi kuwa mjinga kiasi hicho kwa kujihusisha na jambo kama hili ktk wakati huu wa kampeni ambapo mahasimu wake wa kisiasa wanatafuta kila njia kummaliza kisiasa....halafu ndio aje kujiingiza mwenyewe nyavuni?Think twice bruh!
 
Kwani ajari moja ya hasara zake sini kifi.R.I.P Mtikila
 
Mtatafuta kila namna mpate sababu ya kumchafua jamaa,hapo vichwani mwenu tayari mnafikiria kumhusisha Lowassa,Lowassa hawezi kuwa mjinga kiasi hicho kwa kujihusisha na jambo kama hili ktk wakati huu wa kampeni ambapo mahasimu wake wa kisiasa wanatafuta kila njia kummaliza kisiasa....halafu ndio aje kujiingiza mwenyewe nyavuni?Think twice bruh!

What do you know about Lowassa? What do you know about the people who surround him? Acha wale unaowaona katika media, nazungumzia wale tusiowaona.
Mnashabikia kwa nje lakini huko ndani hamuoni. Hata Chadema hawaoni
Pesa anazokuja na kuwabwagia mnajua zinatoka wapi? I would caution every fan of Ukawa to consider. Umesoma waraka wa Mtikila? Nenda timesoftanzania.com ukaisome ndugu yangu.
 
Hebu tuache masihara mwili wa marehemu ulivyo katika picha ni wa binadamu aliyelaliwa na gari????
Hana hata mchirizi wa damu na kifua kinaonekana na uso???
Unajua uzito wa gari? Unajua ulaini wa mwili wa binadamu? Hata mkwaruzo hakuna??
Polisi waache masihara!

Shida ya kizazi chetu cha sasa na dhahiri shahiri hatuaminiani na kamwe hata Mungu naye tunampa kisogo kwa kila jambo. Iweje tushindwe kuamini kuwa The Late Rev Mtikila kafa kwa ajali ya kawaida ksms ajali zingine zilizo gharimu maisha ya maelfu wa wanadamu? Maelezo ya awali ya majeruhi yalitanabaisha kabisa kuwako na mazingira ya hiyo gari kupata ajali - uchovu wa dereva, nwendo kasi wa gari, ubovu wa gari kwenye mfumo wa usukani lakini pia marehemu hakufunga MKANDA wa usalama. Kwa kuwa wenzake wote walinusurika kufa, tukubali tu kuwa mzee wetu siku zake zilitimu basi
 
Susuviri tupo ambao kifo cha mzee Mtikila kimetugusa na tunachukia kila mnapokifanya point of political contention. Tafadhali nakusihi kama Mtanzania uache, si hulka wala tabia yetu kufanya hivyo.

Kama una uhakika wa jambo nyuma ya pazia ambalo unadhani police hawajaliona au limewapita, ni vema ukawapa taarifa hizo ili wazifanyie kazi.

Mungu awafariji familia ya mzee wetu machachari rev. Mtikila
 
Last edited by a moderator:
Hebu tuache masihara mwili wa marehemu ulivyo katika picha ni wa binadamu aliyelaliwa na gari????
Hana hata mchirizi wa damu na kifua kinaonekana na uso???
Unajua uzito wa gari? Unajua ulaini wa mwili wa binadamu? Hata mkwaruzo hakuna??
Polisi waache masihara!

wewe kama una utaalamu mwingine wowote unakaribishwa kuutoa, ila uchunguzi wa wataalamu umeshathibitisha kuwa marehemu alivunjika mbavu saba zilizopelekea kuvuja damu ndani kwa ndani. Ni hayo tu.
 
Back
Top Bottom