bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,370
- 24,652
Nenda airport Pana free wifi kwa ajili ya abiria
Kilimanjaro Kempinski.Za sahizi binadamu wenzangu.
Nipo Dar es Salaam Nilikuwa nauliza ni restaurant au hotel gani ninaweza kupata WIFI yenye kasi sana na ambayo ina GB nyingi nina ma file ninayotakiwa ku download kwenye PC yangu jumla ni 156GB.
Sasa mimi hiyo budget siwezi kuitumia kwenye manunuzi ya bundle za kawaida maana ni kubwa sana.
Natanguliza shukrani.
Shukran mkuu acha nijaribu.Kama ni kushusha tu hayo mafaili njia rahisi tafuta wanaoingiza game kwenye playstation zile za kuchezea kwenye Tv, kwa kukadiria wanaweza kukichaji elf 10 hadi 30.
Ni kawaida game moja kuwa Gb 30 hadi 80, games kama 9 wanakuingizia kwa kudownload kwa elf 80 na hapo kuna mambo yao ya kukusetia accounts za game.
Ni kwamba wao wanatumia Fibre za Zuku, Ttcl, n.k. hizi zinatumia mkonge hakuna kikomo, ukilipia Mwezi unakamua unavyotaka, ila sasa ni sehemu chache kuna hizo nguzo.
Mfano huyu yupo Mbezi Mwisho nimemkuta huko Fb View attachment 2742730
Ipo wapi hii.Njoo Kona baa.
TuliaNunua bundle lako acha uvivu, wizi, ubahili na utegemezi. Uanaume ni kujitegemea.
Ndo hivyo mkuu lazima tupite nayo utafanya eje sasa 😆😆Ndio maana Africa hatutoboi. Tunaakili zs kichawi sana, mtu umrwekeza, limits linataka life lifaidi jasho la uwekezaji wako bure
Ukifika uwe tayari na link za kudownload iwe ushazipangilia kwenye laptop yako kurahisisha zoezi wawe na uhakika kwamba unadownload Gb kadhaa.Shukran mkuu acha nijaribu.
Wewe ni ovyo kabisa ha ha haUna Tsh ngapi nikulete kazini kwetu unatumia waya (Ethernet cable).
Hiyo karambezi ipo wapi?karambezi cafe nao wanawifi yenye speed ya 5G
SimjuiNani kaweka hiyo wifi
Za sahizi binadamu wenzangu.
Nipo Dar es Salaam Nilikuwa nauliza ni restaurant au hotel gani ninaweza kupata WIFI yenye kasi sana na ambayo ina GB nyingi nina ma file ninayotakiwa ku download kwenye PC yangu jumla ni 156GB.
Sasa mimi hiyo budget siwezi kuitumia kwenye manunuzi ya bundle za kawaida maana ni kubwa sana.
Natanguliza shukrani.
Cha ajabu anataka kulala au kula kempisk au sehemu ya matawi ya juu, hasa hiyo Ela si kununua tu bando na kuweka tu.Nunua bundle lako acha uvivu, wizi, ubahili na utegemezi. Uanaume ni kujitegemea.