GalileiGalileo
Senior Member
- Nov 19, 2011
- 165
- 225
Mh! Kwa hiyo hapa tunatapeliwa?!!!!Masahihisho T. O 2009 FORM SIX PCM alikuwa ni Aude Kileo.
Mh! Kwa hiyo hapa tunatapeliwa?!!!!Masahihisho T. O 2009 FORM SIX PCM alikuwa ni Aude Kileo.
Hapa umemjibu nani sasa?! Hebu tuwe tuna-reply kwa ku-quote post husika!Akili za makinikia shida tupu, bora ukose fahari zote za dunia kuliko kukosa akili, roho ya ubinadamu na utu. Umepewa details zote bado unaleta masikhara. So stupid
R.I.P young man.
Unaonekana ulitia mswaki wewe, staki ligi mkuu, R.i.p Akili kubwaKupata zero ni kesi ya kuhukumiwa kifo?kila mtu yuko kwa kusudi la aliyemuumba
Pumbafuhuyu dogo kafa kweli jamani au madogo wamekosa mkopo wanataka hela?
Kipaji kimeondokaMungu amuweke anapo stahili bwana shega..
Sidhani ila mleta Mada weka sawa huu utataMh! Kwa hiyo hapa tunatapeliwa?!!!!
Wanaishiaga kufanywa kama toilet paper tuHv Tanzania One ndo nn? Wana mchango gani kwa taifa?
Huwa wanatumika sana academically, ukichunguza walimu wengi wa vyuo na maprofesa walikuwa vipanga mashuleni.Hv Tanzania One ndo nn? Wana mchango gani kwa taifa?
Mkuu pole sana bro shega niliwahi kukaa nae bweni moja pale iyunga huyu jamaa kasaidia wengi sana kitaaluma kwake vit vilikuwa kawaida .Huwa wanatumika sana academically, ukichunguza walimu wengi wa vyuo na maprofesa walikuwa vipanga mashuleni.
Binafsi shega amenifundisha saana pale Iyunga (alinitangulia kidato). Kwahiyo unaposema wana mchango gani kwa taifa wakati wewe, mwanao na ndugu zako inawezekana mmetolewa ujinga na hao hao inakua sio sawa.
Ulazwe mahala pema kaka Shega. Gone too soon
Mwenye aķiri hafiii mkuu acha zarau...@R.I.P MWENYE AKIRIDah chama langu boyzia nimemaliza 2003 PCM. Majitu yenye akili yanatangulia yaliyopata zero yanadunda kitaaa....kweli Mungu ndiye anayejua siri ya yote.
Mungu Amuweke Pema(M.A.P)Jamani, sisi wengine ni ma-TO wa zamani kidogo, hebu mtuambie maana ya M.A.P
1Aidab kileoMasahihisho T. O 2009 FORM SIX PCM alikuwa ni Aude Kileo.
Aliyewahi kuwa Tanzania One Form six 2009 PCM toka Tabora boys Frank Shega,amefariki Dunia,
kwa wale waliosoma Iyunga sec2003 Mpaka 2006 na Tabora boys 2007/2009 sio mgeni kwao,juhudi za kuchangisha kwa ajili ya Rambi Rambi zinaendelea katika group la WhatsApp 0713 268 218 wasiliana na admins wa group kupata taratibu zaidi za mazishi
View attachment 614784 View attachment 614786
Kwa Mungu wote wapo sawa acha ujinga .....kwa maanaDah chama langu boyzia nimemaliza 2003 PCM. Majitu yenye akili yanatangulia yaliyopata zero yanadunda kitaaa....kweli Mungu ndiye anayejua siri ya yote.
futa kauli wewe jamaaWahuni tunadunda, hazina ya taifa katangulia.
Pumzika kwa amani akili kubwa.