Victoire
JF-Expert Member
- Jul 4, 2008
- 25,001
- 60,070
Ina maana hakwenda chuo?Amesoma Tabora boys advance kuanzia 2007 to 2009 ndio akaingia top ten from PCM.Ila olevel kasom iyunga tech mbeya 2003-2006
Ina maana hakwenda chuo?Amesoma Tabora boys advance kuanzia 2007 to 2009 ndio akaingia top ten from PCM.Ila olevel kasom iyunga tech mbeya 2003-2006
Inamana wanao stahili kufa ni wale wenye afya mgogoro!? Lowassa vs Sittahuyu jamaa si amemaliza juzi juzi tu hapo udsm?
mbona nilikua namuona kama ana afya njema tu
Frank shega, Charles simkonda hizi namba nyingine kabisa toka pale iyunga zilibamiza point 7 na advance zikapiga 3 makiniAmesoma Tabora boys advance kuanzia 2007 to 2009 ndio akaingia top ten from PCM.Ila olevel kasom iyunga tech mbeya 2003-2006
Amepiga telecom udsm kama sikoseiIna maana hakwenda chuo?
Frank shega, Charles simkonda hizi namba nyingine kabisa toka pale iyunga zilibamiza point 7 na advance zikapiga 3 makini
RIP frank shega bro.
huyu dogo kafa kweli jamani au madogo wamekosa mkopo wanataka hela?
huyu jamaa si amemaliza juzi juzi tu hapo udsm?
mbona nilikua namuona kama ana afya njema tu
huyu dogo kafa kweli jamani au madogo wamekosa mkopo wanataka hela?
Amepiga telecom udsm kama sikosei
Inamana wanao stahili kufa ni wale wenye afya mgogoro!? Lowassa vs Sitta
R.I.P kamanda
Aliyewahi kuwa Tanzania One Form six 2009 PCM toka Tabora boys Frank Shega,amefariki Dunia,kwa wale waliosoma Iyunga sec2003 Mpaka 2006,na Tabora boys 2007/2009 sio mgeni kwao,juhudi za kuchangisha kwa ajili ya Rambi Rambi zinaendelea katika group la WhatsApp 0713 268 218 wasiliana na admins wa group kupata taratibu zaidi za mazishi
msiba upo whatsup?Itakua amefariki kweli si unaona hadi grupun kwao wamesema,
Hahaha msiba upo whatsapphuyu dogo kafa kweli jamani au madogo wamekosa mkopo wanataka hela?