Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,381
- 176,235
Nami nimelishangaa hilo, kwanini asingeweka angalau link ili wahusika waende huko kuliko kuanika namba zao namna hiyo!!Mwanga wa milele umuangazie...apumzike kwa amani.
Ila kuweka namba za simu za watu hadharani naona hujawatendea haki kabisa na sidhani kama wana taarifa kuwa umewaweka hewani hapa JF