chlorine gas
JF-Expert Member
- Jun 12, 2015
- 2,540
- 2,683
KisusangeFrank shega, Charles simkonda hizi namba nyingine kabisa toka pale iyunga zilibamiza point 7 na advance zikapiga 3 makini
RIP frank shega bro.
KisusangeFrank shega, Charles simkonda hizi namba nyingine kabisa toka pale iyunga zilibamiza point 7 na advance zikapiga 3 makini
RIP frank shega bro.
Ni mwaka wa tatu sasa toka amefariki.Swali lake jepesi ila wewe umetoa jibu gumu...
Umeulizwa marehemu alikuwa mfanyakazi wa vodacom au mac tech.. maana watu tulianza kuponda kwa nini vodacom isimsaidie mfanyakazi wake?
Mwingine akajibu mac tech imetoa jeneza na usafiri.. ila hajasema vodacom imetoa nini?
Kabla hatujaanza kuwalaumu vodacom inabidi tupate ukweli... marehemu alikuwa muajiriwa wa vodacom?
Uko sahihi kabisa katika hizo point 1,2 mpaka 3.Kuna watu wametoa maelezo kuhusu marehemu,pamoja na kuwa amefariki(Na si tatizo kabisa) haimaanishi hayo maelezo tusip(nisipo)yaelewa sina haki ya kuuliza,kama vipi yasingetolewa. Nilivyoelewa
1)Alikuwa very bright.
2)Alikuwa muajiriwa wa Maktech
3)Vodacom walikuwa clients wa Maktech Na mpaka kifo kinamkuta ,alikuwa akiiwakilisha Maktech kule Voda