Sasa ukiwekwa mda mfupi watu watakula wapi pesa za ubwete? Watu wanataka miaka 7 wale Pesa kitu cha kukamilika mwaka na Nusu,Karne ya 21 Reli ya Dsm - Moro, only 300Km inajengwa kwa miaka 7...
....ikumbukwe pia, hio saga ng'ombe iliyofanyika, yaani Ukatili uliofanyika kwa mababu zetu kutekeleza hayo ilikuwa ni balaa.1254Km ilijengwa kwa miaka 7 (1905 - 19014) wakati teknolojia ikiwa duni.
Mkuu weka masahihisho ni miaka 9 na si miaka saba.Reli ya kati Dsm - Kigoma;
1254Km ilijengwa kwa miaka 7 (1905 - 19014) wakati teknolojia ikiwa duni.
TAZARA
1860Km ilijengwa kwa miaka 5 (1970-76).
Karne ya 21 Reli ya Dsm - Moro, only 300Km inajengwa kwa miaka 7.
Hili Taifa limelaaniwa kwa hujuma, uzembe na ufala...
.
.
CnP
Majangili ya CCM hayawezi kukubali sababu yana mabasi na maloriReli ya kati Dsm - Kigoma;
1254Km ilijengwa kwa miaka 7 (1905 - 19014) wakati teknolojia ikiwa duni.
TAZARA
1860Km ilijengwa kwa miaka 5 (1970-76).
Karne ya 21 Reli ya Dsm - Moro, only 300Km inajengwa kwa miaka 7.
Hili Taifa limelaaniwa kwa hujuma, uzembe na ufala...
.
.
CnP
Sisi tunanufaika na reli hizo mpaka Leo....ikumbukwe pia, hio saga ng'ombe iliyofanyika, yaani Ukatili uliofanyika kwa mababu zetu kutekeleza hayo ilikuwa ni balaa.
....mababu zetu hawakulipwa fidia pale ilipobidi reli kupita kwenye vijiji vyao
....mababu zetu hawakulipwa mishahara mizuri.
...faida kubwa ya Reli hizo zilikuwa zikienda Kujenga Ulaya
....
Daaaa! Inasikitisha kwa kweli.Reli ya kati DSM - Kigoma;
1254Km ilijengwa kwa miaka 7 (1905 - 1914) wakati teknolojia ikiwa duni.
TAZARA
1860Km ilijengwa kwa miaka 5 (1970-76).
Karne ya 21 Reli ya DSM - Moro, only 300Km inajengwa kwa miaka 7.
CnP
Watu walibeba mawe kwa kichwani na kutembea kwa Miguu....hizi tech za wachina wanabeba malori na matruck ya kufa mtu wanajenga kwa miaka 10 tena inadumu miaka 20 tu inaanza kubomoka.Reli ya kati DSM - Kigoma;
1254Km ilijengwa kwa miaka 7 (1905 - 1914) wakati teknolojia ikiwa duni.
TAZARA
1860Km ilijengwa kwa miaka 5 (1970-76).
Karne ya 21 Reli ya DSM - Moro, only 300Km inajengwa kwa miaka 7.
CnP
Mkuu, hesabu zinakusumbua?Reli ya kati DSM - Kigoma;
1254Km ilijengwa kwa miaka 7 (1905 - 1914) wakati teknolojia ikiwa duni.
TAZARA
1860Km ilijengwa kwa miaka 5 (1970-76).
Karne ya 21 Reli ya DSM - Moro, only 300Km inajengwa kwa miaka 7.
CnP
Ukisema sisi una maana gani. Ndio kina nani?Sisi tunanufaika na reli hizo mpaka Leo
Tuliopata faida ni sisi
??Wale walikuwa watumwa waliopata kile kinachoitwa hasara ndio wamepata faida
TANZANIA NI NCHI TAJIRI CHAPA KAZIReli ya kati DSM - Kigoma;
1254Km ilijengwa kwa miaka 7 (1905 - 1914) wakati teknolojia ikiwa duni.
TAZARA
1860Km ilijengwa kwa miaka 5 (1970-76).
Karne ya 21 Reli ya DSM - Moro, only 300Km inajengwa kwa miaka 7.
CnP
Inasikitisha sanaSasa ukiwekwa mda mfupi watu watakula wapi pesa za ubwete? Watu wanataka miaka 7 wale Pesa kitu cha kukamilika mwaka na Nusu,
Tukisema CCM inatupeleka kaburini hamtuamini.Reli ya kati DSM - Kigoma;
1254Km ilijengwa kwa miaka 7 (1905 - 1914) wakati teknolojia ikiwa duni.
TAZARA
1860Km ilijengwa kwa miaka 5 (1970-76).
Karne ya 21 Reli ya DSM - Moro, only 300Km inajengwa kwa miaka 7.
CnP