S. S. Phares
JF-Expert Member
- Nov 27, 2006
- 2,138
- 82
This dura-maaa between Mengi and Rostam is so childish when you look at it.
Its all about she sau he say and i will sue you lakini hakuna hata mmoja wao anayetoa evidence zaidi ni kutoleana makashfa...Tanzania tupo so behind kwenye politics kama unaona kuna ufisadi toa ushahidi wako A-B-C-D full stop!...
we have long way to go!..yaani hii drah-maa ya rostam na Mengi haina tofauti na Jerry springer.
Kichwa cha hii topic kinasema As Rostam approaches PCCB: Mengi goes to Court
Au mwenzetu huoni...!!!