kinepi_nepi
JF-Expert Member
- Aug 16, 2007
- 869
- 235
Kesi hujengwa na aliyeshikwa na ngozi ili awaseme ni nani walimsaidia kuchinja, kuchuna na kuiba ng'ombe.Ni kweli kabisa mwizi namba moja ni Mkapa na Kikwete Mkapa alisaidia kuiba ili amwingize Kikwete Ikulu na wote walimtumia Rostam kwani ni kijana wao.mkuu,
rostam ALIBOMOA BENKI(BOT)?,au alikula na wazawa?waliokuwa madarakani?
kuna mtu hapa katikati MZAWA/ambae umempigia kura.ndo anaerubuniwa na huyu mu-iran.
TELL ME,WHO IS TO BLAME?