Teamo
JF-Expert Member
- Jan 9, 2009
- 12,272
- 1,035
..........TRUTH TAKES...
ahahahahahah!TRUTH TAKES TIME.
sasa mkuu,kama tunajua wazi kwamba rosti-tamu is working under-cover,na watu wenye immunity,na tunajua kwamba the giant is working for ccm,na tunajua kwamba miradi mingi ya serikali(kuanzia umeme,madini,n.k),madaraka makubwa kwenye chama,na mambo mengine mengi muiran huyu anapewa na serikali KAMA AHSANTE KWA KAZI NZURI,au tuseme fadhila!ANAPEWA NA SERIKALI.hili ndugu yangu ndio tatizo langu.angalia mlinganyo ufuatao:
CCM=SERIKALI(kwamba serikali inaongozwa na ccm kwa awamu kadhaa)
CCM=ROSTAM(kwa maana kwamba rostam in mhimili mkubwa ndani ya chama-tawala,ikumbukwe pia aliwahi pewa UHAZINI WA CHAMA-TAIFA,sasa madhumuni ni nini UTABRAINSTORM mwenyewe,ila wafuatiliaji tunajua)
sasa J.K,BEN,EDDO (na wafuasi wao woooooooote)ndio serikali yenyewe.ngozi nyeusi inatamaa sana jamani.na wabaya hapa ni hawa SERIKALI.rostamu anapotumika KUKWAPUA HELA IKATUMIKA KUMUWEKA SERIKALI MADARAKANI,fadhila zinarudishwa kwa mtindo ambao UMESHINDWA KUJIFICHA KWA SASA!
hapo hapo wajasiliamali WAKAMTUMIA(madam yeye ana commission yake,HAJALI),rostam unamkuta richimond(sasa dowans,mchezo mchafu ambao sitakaa niamini kwamba jk alikuwa hajui,hasa kwa ukaribu wa hawa BOYS2MEN),rostam unamkuta kagoda pia.na miradi mingine mingi ambayo WASWAHILI WAMEWEKA MIKONO YAO.ikafika mahala hadi 'mwenyekuchunga' kalamba milion 3 kwa rostam.
MTIZAMO WANGU SASA:mengi na rostam INAWEZA KUWA NI USHINDANI WA BIASHARA ZAO.wakienda mahakamani mtaona wenyewe kesi itakavyoisha.mengi ana maswali ya kujibu,and so is ROSTAM.najiuliza sana je,kama mengi angepewa nafasi ya KUKWAPUA ili sisiemu washinde ANGEONGEA?
mtu yoyote anaechukia mafisadi HAWEZI KUWA UPANDE WA J.K(ambae amewaweka),hapo mengi ndo ninapomuona MSANII(AU MJASILIAMALI)
kwanini tusideal na watu RESPONSIBLE na mikataba na miradi ya serikali?waseme ILIENDA ENDA VIPI?