Regina Mwalekwa hopeless kabisa

Regina Mwalekwa hopeless kabisa

Kama unalengo la kumsaidia,tafuta no yake mpigie umshauri,kuliko kumchana hapa hadharani...na wewe umekua wa mipasho au?by the way kama unamfuatilia vzuri mwanzoni hakua na kipindi maalum lakini sasa wamempa kile cha jicho la tatu ambacho mi naona kinaendana nae sana tu.
 
Mimi kilichonifurahisha ni kiingereza cha mtoa mada...inaonyesha na yeye alikimbia umande..kiingereza dhaifu kabisa kwenye muundo wa maneno! eg. "she was master"; "words which ruins"; "you was hosting";

Watanzania munatakiwa kubadilika, mwanafunzi na nyinyi waandishi WA habri Ndo munaangalia mambo ya tenses na grammar sio sisi tulioko makazini cuz lengo ni mawasiliano sio kukosoana viingereza au viswahili....

Kibaki na Laila Mbona Wana kiswahili kibovu but who cares? Do you?

Probably we Ndo wale muliokuwa munakua WA kwanza darasani ktk mitihani yenu but when it comes to realy life does it matter any more?

FYI: Watu maarufu na matajiri duniani hata shule hawakumaliza.

founder of www.oric.co.tz, skype: alfred.kohi, 0784800989
 
Hata mimi nilisikitika sana alipoondoka redio One, kule aling'ara sana hasa katika kipindi kile cha kiswahili jumamosi asubuhi.
 
Kwani do you think hakuomba ushauri alivyotoka radio one kwenda clouds

Au ulitaka aje akuombe wewe ushauri??

Jaribuni kuheshimu mawazo ya mtu wakuu so long as anafanya hivyo kwa maisha yake

That's it! This is rhetoric and says a lot about you!
 
Jamani hicho kiingereza kinasikitisha. Mleta mada unaweza kuwa ni graduate ? Correct yourself mkuu.
 
Unasahau kuwa kuna stage ya maisha ya binadamu kila unalofanya (whatever the benefits you get) there is public limelight? Kwa mfano kama uchangu unalipa na Regina akaamua kuwa changu ungemuunga mkono just because anapata manufaa zaidi ya pesa? What about integrity?[/QUOTE

MKUU MFANO ULIOTOA HAUSIANI KABISA NA MADA AMBAYO TUNAYOONGELEA HAPA HAPA TUNAONGELEA UBADILISHAJI WA KITUO CHA KAZI KWA FANI YAKO ILE ILE KAMA ALIVYOFANYA REGINA WEWE UMETOLEA MFANO WA KAZI KUTOKA UTANGAZAJI KWENDA KWENYE UCHANGU

HOW?
 
MKUU MFANO ULIOTOA HAUSIANI KABISA NA MADA AMBAYO TUNAYOONGELEA HAPA HAPA TUNAONGELEA UBADILISHAJI WA KITUO CHA KAZI KWA FANI YAKO ILE ILE KAMA ALIVYOFANYA REGINA WEWE UMETOLEA MFANO WA KAZI KUTOKA UTANGAZAJI KWENDA KWENYE UCHANGU HOW?

Sasa wewe unaona CLOUDS sawa na ITV hata kama wanalipa zaidi?
 
unasahau kuwa kuna stage ya maisha ya binadamu kila unalofanya (whatever the benefits you get) there is public limelight? Kwa mfano kama uchangu unalipa na regina akaamua kuwa changu ungemuunga mkono just because anapata manufaa zaidi ya pesa? What about integrity?[/quote

mkuu mfano uliotoa hausiani kabisa na mada ambayo tunayoongelea hapa hapa tunaongelea ubadilishaji wa kituo cha kazi kwa fani yako ile ile kama alivyofanya regina wewe umetolea mfano wa kazi kutoka utangazaji kwenda kwenye uchangu
how?

kaka c.t.u... kwa haya uliyoandika naona ndio maana unatofautiana na wachangia mada walio wengi kuhusiana na hili...

Ishu hapa isiwe uhamaji wa kituo hiki kwenda kile...ishu iwe ni kiwango, heshima na staha ya mtangazaji ikilinganishwa na kituo alichokuwa kabla hajahama..

Focal point of discussion iwe ni regina kupanda na kuanguka kwake ki-maadili ya utangazaji jinsi anavyochukuliwa/tazamwa na jamii inayomzunguka.
 
naunga hoja mkono, Regina huku kwa sasa sio size yake kabisaaa.
 
I remember her times back in Radio One, she had that beautiful voice (still has up to time) and she was master of her language.
Ever since she has moved to Clouds, she adapted that talking style of XXL and Zamaradis. To hell with that Kiswahili full of unnecesary words which ruins the flow of sentences. It has been a fashion these days, talking swagnifiently.
All the best Bi. Regina, but I promise you, you wont make it like back in those Wednesdays, when you was hosting country music programme in Radio One.
Mphamvu had to miss some classes just to hear your beautiful voice... Can we go back to those days mama?

ukiwa kwa wapare lazima uishi kama wapare
 
kaka c.t.u... kwa haya uliyoandika naona ndio maana unatofautiana na wachangia mada walio wengi kuhusiana na hili...

Ishu hapa isiwe uhamaji wa kituo hiki kwenda kile...ishu iwe ni kiwango, heshima na staha ya mtangazaji ikilinganishwa na kituo alichokuwa kabla hajahama..

Focal point of discussion iwe ni regina kupanda na kuanguka kwake ki-maadili ya utangazaji jinsi anavyochukuliwa/tazamwa na jamii inayomzunguka.

mkuu nimekuelewa sana ila naona hapa watu naona wanaongelea heshima or something but since clouds ni radio ya burudani sina tatizo na hilo tena mimi namchukulia kama mtangazaji anayeweza kubadilika na ku fit sehemu yeyote ile

hapa watu wana issues zao na clouds fm mbaya zaidi hizo issues zinakwenda mpaka kwa mtu mmoja mmoja thats bad
 
kubadilika ni jambo jema, lakini alivyobadilika Regina ni kama amedidimiza kiwango chake. Nalikuwa shabiki wake mkubwa wakati yupo Radio one lakini tangu aingie Clouds kiwango kimezorota sana. Tofauti kabisa na Tido Mhando, jamaa aling'aa sana BBC, hata alipokuja TBC1 origino aling'aa vilevile. Wasiwasi wangu ni kuwa Regina alipokuwa Radio One kuna wataalamu walikuwa wanamfunda ili awe kiwango, huko Clouds pengine hana kungwi.

Relevantly Argument kama hii ndio niliyokuwa naitafuta baada ya kupitia zote., Ongera Mkuu!, wajua kuna Msemo mmoja wa wanazuoni wa mambo ya dini ( Theologist) unasema,.." KUHANI jinsi alivyo, ndivyo WAHUMINI wake walivyo"
Kwahiyo kwa dada yangu regi, ndio Matokeo ya the all entire of clouds Management...,she is out of control kwakweli tumuhurumie.
 
hiyo redio ni kama kijiweni kwahiyo hata kama umeenda pale na ufaham unakutoka too much blablaa

Kupitia JF, pamoja na upungufu wake wote ilionao, ni much better than kusikiliza Clouds, clouds ni ya watoto, na wale wenye blah blah....issues za maana ziko hapa JF. I would real suggest people drop it, let kids listen to it.
 
Kupitia JF, pamoja na upungufu wake wote ilionao, ni much better than kusikiliza Clouds, clouds ni ya watoto, na wale wenye blah blah....issues za maana ziko hapa JF. I would real suggest people drop it, let kids listen to it.
Mkuu kuana usemi huku mtaani kwetu kuwa wanaosikiliza clouds radio wan IQ ndogo
 
I remember her times back in Radio One, she had that beautiful voice (still has up to time) and she was master of her language.
Ever since she has moved to Clouds, she adapted that talking style of XXL and Zamaradis. To hell with that Kiswahili full of unnecesary words which ruins the flow of sentences. It has been a fashion these days, talking swagnifiently.
All the best Bi. Regina, but I promise you, you wont make it like back in those Wednesdays, when you was hosting country music programme in Radio One.
Mphamvu had to miss some classes just to hear your beautiful voice... Can we go back to those days mama?

mods sio mbaya km ungeanzisha namna ya kuvalisha shanga na dela profile ya mtu kwa aliyezidi umbea na majungu.
 
I remember her times back in Radio One, she had that beautiful voice (still has up to time) and she was master of her language.
Ever since she has moved to Clouds, she adapted that talking style of XXL and Zamaradis. To hell with that Kiswahili full of unnecesary words which ruins the flow of sentences. It has been a fashion these days, talking swagnifiently.
All the best Bi. Regina, but I promise you, you wont make it like back in those Wednesdays, when you was hosting country music programme in Radio One.
Mphamvu had to miss some classes just to hear your beautiful voice... Can we go back to those days mama?

Mkuu am not good in english,but hapa nahisi umeingia CHAKA!
 
I remember her times back
in Radio One, she had that beautiful voice (still has up to time) and
she was master of her language.
Ever since she has moved to Clouds, she adapted that talking style of
XXL and Zamaradis. To hell with that Kiswahili full of unnecesary words
which ruins the flow of sentences. It has been a fashion these days,
talking swagnifiently.
All the best Bi. Regina, but I promise you, you wont make it like back
in those Wednesdays, when you was hosting country music programme in
Radio One.
Mphamvu had to miss some classes just to hear your beautiful voice...
Can we go back to those days mama?

Kaishavurugwa huyo!
 
Back
Top Bottom