Regina Mwalekwa hopeless kabisa

Namkumbuka sna huyu mama kataika kipindi chake cha acha hizo! Achana na hizooooo! Kila jpili na kipindi cha kiswahili jmos saa 2 alichokuwa ameachiwa na Charles Hilary mkwanga ,mzew wa kitimotooooooz . Dada alikuwa fresh,sauti booombaaa.hofu yangu hao klauds wasije anza naye kumpa mapouuuuuudaaa!
 
Watanzania munatakiwa kubadilika, mwanafunzi na nyinyi waandishi WA habri Ndo munaangalia mambo ya tenses na grammar sio sisi tulioko makazini cuz lengo ni mawasiliano sio kukosoana viingereza au viswahili....

Kibaki na Laila Mbona Wana kiswahili kibovu but who cares? Do you?

Probably we Ndo wale muliokuwa munakua WA kwanza darasani ktk mitihani yenu but when it comes to realy life does it matter any more?

FYI: Watu maarufu na matajiri duniani hata shule hawakumaliza.

founder of Welcome to Oric | Oric Solutions Limited, skype: alfred.kohi, 0784800989

Pitia bia mbili hapo kwa Mangi, nikija nalipa.
 
Jamani hicho kiingereza kinasikitisha. Mleta mada unaweza kuwa ni graduate ? Correct yourself mkuu.

I bet this isn't a grammar class. You got what I mean, its ok with me...
 
ukiwa kwa wapare lazima uishi kama wapare

Kwa hiyo tunaweza kusema kuwa uamuzi wa Regina kuishi na wapare haukuwa mzuri. Lakini mbona Gadner amekuwa pale kwa muda mrefu na mpaka anaondoka haku-adopt ule upuuzi?
 
Namkumbuka sna huyu mama kataika kipindi chake cha acha hizo! Achana na hizooooo! Kila jpili na kipindi cha kiswahili jmos saa 2 alichokuwa ameachiwa na Charles Hilary mkwanga ,mzew wa kitimotooooooz . Dada alikuwa fresh,sauti booombaaa.hofu yangu hao klauds wasije anza naye kumpa mapouuuuuudaaa!

Mkuu hili ndio tatizo linalofanya radio nyingi hapa nyumbani ziwe ovyo. Kigezo kikubwa cha kuwa mwandishi wa habari au mtangazaji ni kuwa mrembo, miss Dar au Miss kitongoji, au kuwa kimada wa someone kwenye radio au gazeti. Jaribu kuangalia CV za watangazaji wa clouds, unaweza kuona kuwa education-wise wengi wao ni scraps, ndio maana ukisikia wanayoongea unaweza kuona kuwa walichonacho ni sauti tu na si ubongo, na wengine walioko kwenye TV ndio hivyo hivyo, walichonacho ni sura tu ubongo sifuri.

Jaribu kumsikiliza Ephraim Kibonde unaweza kushangaa kama kweli ni mtu mwenye akili kichwani, most of what he utters is just a load of bs. Ni mzuri kwenye kusoma ads tu, kwenye real issues .......just a dumb dweeb.

Kuna siku nilimuomba jamaa mmoja clouds aandike text, sikuamini ilivyokuwa. it was as if it was written by a school kid.
 
Mkuu hili ndio tatizo linalofanya radio nyingi hapa nyumbani ziwe ovyo. Kigezo kikubwa cha kuwa mwandishi wa habari au mtangazaji ni kuwa mrembo, miss Dar au Miss kitongoji, au kuwa kimada wa someone kwenye radio au gazeti. Jaribu kuangalia CV za watangazaji wa clouds, unaweza kuona kuwa education-wise wengi wao ni scraps, ndio maana ukisikia wanayoongea unaweza kuona kuwa walichonacho ni sauti tu na si ubongo, na wengine walioko kwenye TV ndio hivyo hivyo, walichonacho ni sura tu ubongo sifuri.

Jaribu kumsikiliza Ephraim Kibonde unaweza kushangaa kama kweli ni mtu mwenye akili kichwani, most of what he utters is just a load of bs. Ni mzuri kwenye kusoma ads tu, kwenye real issues .......just a dumb dweeb.

Kuna siku nilimuomba jamaa mmoja clouds aandike text, sikuamini ilivyokuwa. it was as if it was written by a school kid.

Wengi ni failure, glad enough wana sauti nzuri.
 
Mimi sikuamini niliposikia amehamia clouds fm
na nilimsikia anacheka cheka na Kibonde nilisikitika sana
sometimes people change hadi unasikitiika

Ilinishangaza hata mimi, ila nafikiri ni katika harakati za kutafuta maisha, wakati mwingine inakulazimu kufanya mambo au vitendo usivyoendana navyo
 
kuptia clouds amepata kaz bbc swahili

Mi nasema kupitia heshima aliyoijenga wakati yuko Radio One amepata kazi BBC,,,, hapo mawingu alijipotezea muda na huenda ndio ilimpa changamoto ya kuficha aibu kwa kutafuta kazi nyingine
 
Mwacheni bwana nadhani anatafuta maslai zaidi, na pale radio one si jela mpaka umalize kifungo chako ndio uondoke mda wowote hata wewe uliopo unaweza kuondoka acheni kijicho pembe
 
I remember her times back in Radio One, she had that beautiful voice (still has up to time) and she was master of her language.
Ever since she has moved to Clouds, she adapted that talking style of XXL and Zamaradis. To hell with that Kiswahili full of unnecesary words which ruins the flow of sentences. It has been a fashion these days, talking swagnifiently.
All the best Bi. Regina, but I promise you, you wont make it like back in those Wednesdays, when you was hosting country music programme in Radio One.
Mphamvu had to miss some classes just to hear your beautiful voice... Can we go back to those days mama?

kisa cha kuandika kiinglish wakt mama wa watu ni mtaalam wa kiswahli?
 
kisa cha kuandika kiinglish wakt mama wa watu ni mtaalam wa kiswahli?

Regina amekuwa mtaalamu wa Kiswahili tangu lini, labda mie ndio nimesahau maana ya utaalamu. Mjomba Elli kuja utusaidie huku...
 
Last edited by a moderator:
Regina amekuwa mtaalamu wa Kiswahili tangu lini, labda mie ndio nimesahau maana ya utaalamu. Mjomba Elli kuja utusaidie huku...
Nani huyo tena anaharibu taaluma za watu? Kila mtu akijiita mtaalamu ndio ttunaishia kuwaita Waganga wa kienyeji "Maprofesa"
 
Mtu kafuata maslahi,
wewe unatakaje kwani?? Hivi mkoje wabongo lakin?? Clouds ni radio ya
BURUDANI, hiyo ndo style yao. Wewe kinakuuma nini???

Exactly mkuu! hapa naona watu wanachanganya mambo kama Regina alinda Clouds kufuata tonge hana budi kufuata utaratibu wao kimatangazo no matter wanatangaza kiuni au vinginevyo
Ni sawa na kuvaa hijab kwenye disco haviendani
 
Back
Top Bottom