Duble Chris
JF-Expert Member
- May 28, 2011
- 3,481
- 564
poleni sana wafiwa
Chadema kwa nini ajali za magari namkumbuka Wangwe
Chadema kwa nini ajali za magari namkumbuka Wangwe
Very ssad news.
Lakini, iwe fundisho kwa wabunge wote, wanaolipwa hela za proffession drivers, wanaamua kuzila na kuwanyima qualified drivers ajira.
Very ssad news.
Lakini, iwe fundisho kwa wabunge wote, wanaolipwa hela za proffession drivers, wanaamua kuzila na kuwanyima qualified drivers ajira.
poleni sana wafiwa
Chadema kwa nini ajali za magari namkumbuka Wangwe
Mkuu sentensi yako ya mwanzo ilinishtua nikadhani unamshutumu Mungu lakini ya mwisho imenifariji. Tulimpenda Regia lakini kazi ya mungu siku zote haina makosa.Jamani, kwa nini Mungu unaruhusu mambo haya!!!!!! Taarifa hiii imeumiza sana moyo wangu. Poleni sana ndugu wa karibu wa marehemu, viongozi wa chadema na watanzania kwa ujumla. Hakika tumempoteza mpiganaji mahiri ambaye pamoja na upungufu wa kimaumbile, alijipambanua kuwa rasilimali kubwa kwa mustakabali wa nchi yetu. Hakika sasa nimeamini kuwa WEMA HAWADUMU. Bwana alitoa, Bwana ametwaa, jina la Bwana libarikiwe.
Ntamaholo kama neno la nchi jirani! Ni vizuri tukaomboleza kwanza msiba huu na kama kuna issue nyingine tutaziongea baadaye. Hatuna utamaduni wa kumlaunu marehemu.Very ssad news.
Lakini, iwe fundisho kwa wabunge wote, wanaolipwa hela za proffession drivers, wanaamua kuzila na kuwanyima qualified drivers ajira.
poleni sana wafiwa
Chadema kwa nini ajali za magari namkumbuka Wangwe
habari zilizothibitishwa na jf ni kuwa regia mtema (mb) amepata ajali na kufariki dunia eneo la ruvu darajani. Ndugu wa karibu wanasema alikuwa kaenda kukagua kiwanja alichopewa na wazazi wake na baadae kwenye mkutano wa chadema huko kibaha. Habari hizi zimethibitishwa. Maneno ya regia ya kufunga mwaka 2011 (disemba 31, 2011)marehemu regia estelatus mtema,![]()
gari lililochukua uhai wake (baada ya ajali)![]()