Ee BWANA Mungu wangu wewe uketiye juu ya maserafi na makerubi mkumbuke mtumishi wako jinsi alivyopapambana kupigania haki,ee Mungu wangu fanya habari hizi kuwa ndoto kwangu nikiamka nikute SIYO ZA KWELI
kwa kweli nimepokea habari kwa mshtuko na mfadhaiko mkubwa sana.ila kama binaadamu ambaye nnaamini kila mtu ataonja mauti sina budi kuuudhibiti moyo wangu na kuyasadiki yaliojiri.pia nnawapa pole wale wote walioguswa na msiba wa kipenzichetu regia. REST IN PEACE OUR BELOVED SISTER
Halima Mchuka,ni miongoni mwa Watangazaji walionivutia sana.RIP
Kumbe ndio maana Pasco, nilikuwa nakuona Kanisani Msimbazi,Siku hizo nikiwa nasoma shule ya msingi Na sekondari.Nilikuwa nafurahi kukuona.Ulikuwa unakaa karibu Na Priva Mtema?
Ni bahati mabaya kuwa watu tusiowapenda na tusiowahitaji wakati wote huwa hawafi haraka na ni bahati mbaya sana kuwa wale tunaowapenda na kuwahitaji sana mara nyingi huwa wanatutoka mapema lakini ni bahati mbaya zaidi kuwa wale tusiowapenda, wanaotukandamizi na kutunyonya na hata kutukwamisha hawataki hata kujifunza kuwa maisha ya binadamu hutoweka haraka kama upepo uvumao kwa muda mfupi na kutoweka.
Regia Mtema alikuwa ni alama ya wanawake waliojitambua na pia walemavu ambao ulemavu ilikuwa sio kigezo cha kubweteka. Ni dada ambaye nilikuwa nikimuangalia kama mmoja wa watu wa kutumainiwa ktk harakati za kulirudisha taifa letu ktk mstari ulionyooka. RIP dada yangu niliyekuamini sana.
details za ajali za nini, Mungu ametoa Mungu ametwaa, unataka kuleta analysis za sababu za vifo kwenye msiba wa Kitanzania? Hapa tunasikitika na kumshukuru Mungu kwa kumuua Regia, kazi yake haina makosa, end of story!
HIzo ni Njama za sisi Emu kwani alikuwa anawaumiza sana kwa ubunifu wake hivyo kila siku walikuwa wanamwombea mabaya yampate,hata hivyo hawatuwezi hiyo ni sawa na kuweka petroli katika moto ARUTA KONTINUA WAJESHI.